Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 13:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 Lakini nabii huyo ao mwota-ndoto huyo anapaswa kuuawa,+ kwa sababu alichochea uasi juu ya Yehova Mungu wenu⁠—​mwenye aliwatosha katika inchi ya Misri na kukukomboa katika nyumba ya utumwa⁠—​ili kukutosha katika njia yenye Yehova Mungu wako amekuamuru utembee ndani yake. Na unapaswa kuondoa jambo la mubaya katikati yako.+

  • Kumbukumbu la Torati 18:20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 “Kama nabii yeyote anasema kwa kimbelembele katika jina langu neno lenye sikumuamuru aseme ao anasema katika jina la miungu mingine, nabii huyo anapaswa kufa.+

  • Yeremia 29:32
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 32 kwa hiyo Yehova anasema hivi: ‘Angalia, ninageuza uangalifu wangu kuelekea Shemaya wa Nehelamu na wazao wake. Hakuna mutu yeyote kati ya watu wake mwenye ataokoka kati ya watu hawa, na hataona mema yenye nitatendea watu wangu,’ ni vile Yehova anasema, ‘kwa maana amechochea uasi juu ya Yehova.’”’”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine