-
Kumbukumbu la Torati 28:15Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
15 “Lakini kama hautasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa muangalifu ili kutenda amri zake zote na sheria zake zenye ninakuamuru leo, laana hizi zote zitakuja juu yako na kukufikia:+
-
-
2 Wafalme 25:11, 12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Nebuzaradani mukubwa wa walinzi akapeleka katika uhamisho watu wengine wenye walibakia wenye waliachwa katika muji, wale wenye walikimbia na kuenda kwa mufalme wa Babiloni, na watu wengine wenye walibakia.+ 12 Lakini mukubwa wa walinzi akaacha wamoja kati ya watu maskini sana wa inchi watumike wakiwa watunza-mizabibu na wafanyakazi wa kulazimishwa.+
-