11 Basi nimejaa kasirani kali ya Yehova,
Na nimechoka kuibeba.”+
“Uimwange juu ya mutoto katika barabara,+
Juu ya vikundi vya vijana wenye kukusanyika pamoja.
Wote watakamatwa, mwanaume pamoja na bibi yake,
Wenye kuzeeka pamoja na wenye kuzeeka sana.+