Yohana 15:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Mukae katika umoja na mimi, na mimi nitakaa katika umoja na ninyi. Kama vile tawi likiwa peke yake haliwezi kuzaa matunda ikiwa halikae kwenye muzabibu, vilevile ninyi hamuwezi kuzaa matunda ikiwa hamukae katika umoja na mimi.+
4 Mukae katika umoja na mimi, na mimi nitakaa katika umoja na ninyi. Kama vile tawi likiwa peke yake haliwezi kuzaa matunda ikiwa halikae kwenye muzabibu, vilevile ninyi hamuwezi kuzaa matunda ikiwa hamukae katika umoja na mimi.+