Yohana 14:16 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 Na nitamuomba Baba, na atawapatia ninyi musaidizi* mwingine akuwe pamoja na ninyi milele,+ Yohana 14:26 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 26 Lakini musaidizi, roho takatifu yenye Baba atatuma katika jina langu, huyo atawafundisha mambo yote na kuwakumbusha mambo yote yenye niliwaambia.+ Yohana 16:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Hata hivyo, ninawaambia ninyi kweli, ninaenda kwa faida yenu. Kwa maana kama siende, musaidizi+ hatakuja kwenu; lakini kama ninaenda, nitamutuma kwenu.
26 Lakini musaidizi, roho takatifu yenye Baba atatuma katika jina langu, huyo atawafundisha mambo yote na kuwakumbusha mambo yote yenye niliwaambia.+
7 Hata hivyo, ninawaambia ninyi kweli, ninaenda kwa faida yenu. Kwa maana kama siende, musaidizi+ hatakuja kwenu; lakini kama ninaenda, nitamutuma kwenu.