Yohana 13:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 Kwa maana niliwawekea ninyi mufano, ili kama vile niliwafanyia ninyi, ninyi pia mufanye vilevile.+ Waroma 6:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Kama tumeungana pamoja naye katika mufano wa kifo chake,+ hakika sisi tutaunganishwa pia pamoja naye katika mufano wa ufufuo wake.+ 1 Wakorinto 15:49 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 49 Na kama vile tumechukua mufano wa ule mwenye alifanywa kwa mavumbi,+ tutachukua pia mufano wa ule wa mbinguni.+
15 Kwa maana niliwawekea ninyi mufano, ili kama vile niliwafanyia ninyi, ninyi pia mufanye vilevile.+
5 Kama tumeungana pamoja naye katika mufano wa kifo chake,+ hakika sisi tutaunganishwa pia pamoja naye katika mufano wa ufufuo wake.+
49 Na kama vile tumechukua mufano wa ule mwenye alifanywa kwa mavumbi,+ tutachukua pia mufano wa ule wa mbinguni.+