18 Kwa hiyo, basi, kama vile kupitia kosa moja matokeo kwa watu wa namna zote yalikuwa kuhesabiwa kuwa na kosa,+ vilevile kupitia tendo moja la kutetewa kuwa wenye haki, matokeo kwa watu wa namna zote+ ni wao kutangazwa kuwa wenye haki kwa ajili ya uzima.+