Zaburi 118:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Yehova iko* upande wangu; sitaogopa.+ Mwanadamu anaweza kunifanya nini?+ 1 Yohana 4:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Ninyi munatokana na Mungu, watoto wadogo, na mumewashinda,+ kwa sababu ule mwenye kuwa katika umoja na ninyi+ ni mukubwa kuliko ule mwenye kuwa katika umoja na ulimwengu.+
4 Ninyi munatokana na Mungu, watoto wadogo, na mumewashinda,+ kwa sababu ule mwenye kuwa katika umoja na ninyi+ ni mukubwa kuliko ule mwenye kuwa katika umoja na ulimwengu.+