Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 14
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Kumbukumbu la Torati

      • Njia zenye hazifae za kuomboleza (1, 2)

      • Vyakula vyenye kuwa safi na vyenye haviko safi (3-21)

      • Sehemu moja ya kumi kwa ajili ya Yehova (22-29)

Kumbukumbu la Torati 14:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kutia (kunyoa) upara katikati ya macho yenu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 19:28
  • +Law. 21:1, 5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2004, uku. 27

Kumbukumbu la Torati 14:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mali yake yenye anapendezwa nayo sana.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 19:2; 20:26; Kum 28:9; 1 Pe. 1:15
  • +Kut 19:5, 6; Kum 7:6

Kumbukumbu la Torati 14:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 11:43; 20:25; Mdo 10:14

Kumbukumbu la Torati 14:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 11:2, 3

Kumbukumbu la Torati 14:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Kwato ni sehemu ngumu ya chini ya muguu wa munyama.

Kumbukumbu la Torati 14:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Kwato ni sehemu ngumu ya chini ya muguu wa munyama.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 11:4-8

Kumbukumbu la Torati 14:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

  • *

    Kwato ni sehemu ngumu ya chini ya muguu wa munyama.

Kumbukumbu la Torati 14:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Pezi ni kiungo cha samaki chenye kinamusaidia kuogelea.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 11:9, 10

Kumbukumbu la Torati 14:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Pezi ni kiungo cha samaki chenye kinamusaidia kuogelea.

Kumbukumbu la Torati 14:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 11:13-20

Kumbukumbu la Torati 14:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kidudu.”

Kumbukumbu la Torati 14:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “milango yenu mikubwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 22:31; Law. 17:15
  • +Kut 23:19; 34:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2005, uku. 27

    15/9/2004, uku. 26

Kumbukumbu la Torati 14:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “zaka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 12:11; 26:12

Kumbukumbu la Torati 14:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 12:5, 17; 15:19, 20
  • +Zab 111:10

Kumbukumbu la Torati 14:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 12:5, 6

Kumbukumbu la Torati 14:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yako inatamani.”

  • *

    Ao “kitu chochote chenye nafsi yako inakuomba.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 12:7; 26:11; Zab 100:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2010, uku. 23

Kumbukumbu la Torati 14:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 18:21; 2Nya 31:4; 1 Kor. 9:13
  • +Hes 18:20; Kum 10:9

Kumbukumbu la Torati 14:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 26:12

Kumbukumbu la Torati 14:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “yatima.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 22:21; Kum 10:18; Yak 1:27
  • +Kum 15:10; Zab 41:1; Mez. 11:24; 19:17; Mal 3:10; Lu 6:35

Maandiko ingine

Kum. 14:1Law. 19:28
Kum. 14:1Law. 21:1, 5
Kum. 14:2Law. 19:2; 20:26; Kum 28:9; 1 Pe. 1:15
Kum. 14:2Kut 19:5, 6; Kum 7:6
Kum. 14:3Law. 11:43; 20:25; Mdo 10:14
Kum. 14:4Law. 11:2, 3
Kum. 14:7Law. 11:4-8
Kum. 14:9Law. 11:9, 10
Kum. 14:12Law. 11:13-20
Kum. 14:21Kut 22:31; Law. 17:15
Kum. 14:21Kut 23:19; 34:26
Kum. 14:22Kum 12:11; 26:12
Kum. 14:23Kum 12:5, 17; 15:19, 20
Kum. 14:23Zab 111:10
Kum. 14:24Kum 12:5, 6
Kum. 14:26Kum 12:7; 26:11; Zab 100:2
Kum. 14:27Hes 18:21; 2Nya 31:4; 1 Kor. 9:13
Kum. 14:27Hes 18:20; Kum 10:9
Kum. 14:28Kum 26:12
Kum. 14:29Kut 22:21; Kum 10:18; Yak 1:27
Kum. 14:29Kum 15:10; Zab 41:1; Mez. 11:24; 19:17; Mal 3:10; Lu 6:35
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Kumbukumbu la Torati 14:1-29

Kumbukumbu la Torati

14 “Ninyi ni wana wa Yehova Mungu wenu. Musijikatekate+ wala kunyoa upara kwenye mapaji ya nyuso zenu* kwa ajili ya mutu mwenye amekufa.+ 2 Kwa maana wewe ni kikundi cha watu watakatifu+ kwa ajili ya Yehova Mungu wako, na Yehova amekuchagua kuwa kikundi chake cha watu, mali yake ya pekee,* katikati ya vikundi vyote vya watu vyenye kuwa juu ya uso wa dunia.+

3 “Haupaswe kula kitu chochote chenye kuchukiza.+ 4 Hawa ndio wanyama wenye munaweza kula:+ ngombe-dume, kondoo, mbuzi, 5 paa, swala, kulungu, mbuzi wa pori, mbawala, kondoo wa pori, na kondoo wa mulima. 6 Munaweza kula munyama yeyote mwenye kwato* yenye kupasuka katikati na kugawanyika mara mbili na mwenye anacheua chakula. 7 Lakini hamupaswe kula wanyama wenye kufuata wenye wanacheua ao wenye kwato zenye kupasuka katikati: ngamia, sungura, na wibari, kwa sababu wanacheua lakini hawana kwato* zenye kupasuka katikati. Hawako safi kwenu.+ 8 Pia nguruwe kwa sababu iko* na kwato* yenye kupasuka katikati lakini hacheue. Yeye haiko safi kwenu. Hamupaswe kula nyama yao wala kugusa mizoga yao.

9 “Katikati ya viumbe vyote vyenye kuishi ndani ya maji, munaweza kula hivi: Kitu chochote chenye mapezi* na magamba, munaweza kula.+ 10 Lakini hamupaswe kula kitu chochote chenye hakina mapezi* na magamba. Hakiko safi kwenu.

11 “Munaweza kula ndege yeyote mwenye kuwa safi. 12 Lakini hamupaswe kula hawa: tai, furukombe, tumbusi mweusi,+ 13 mwewe mwekundu, mwewe mweusi, kila aina ya mbua, 14 kila aina ya kunguru, 15 mbuni, bundi, shakwe, kila aina ya kipanga, 16 bundi mudogo, bundi mwenye masikio ya murefu, bata-maji, 17 mwari, tumbusi, munandi, 18 korongo, kila aina ya kulastara, hudihudi, na popo. 19 Pia, kila kiumbe chenye mabawa chenye kupatikana kwa wingi* hakiko safi kwenu. Havipaswe kukuliwa. 20 Munaweza kula kiumbe chochote safi chenye kuruka.

21 “Hamupaswe kula munyama yeyote mwenye alipatikana amekufa.+ Munaweza kumupatia mukaaji mugeni mwenye kuwa ndani ya miji yenu,* na anaweza kumukula, ao munyama huyo anaweza kuuzishwa kwa mugeni. Kwa maana wewe ni kikundi cha watu watakatifu kwa ajili ya Yehova Mungu wako.

“Haupaswe kutokotesha mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.+

22 “Unapaswa kabisa kutoa sehemu moja ya kumi (1/10)* ya kila kitu chenye mbegu yako inazaa katika mashamba mwaka kwa mwaka.+ 23 Utakula sehemu moja ya kumi (1/10) ya nafaka yako, divai yako mupya, mafuta yako, na muzaliwa wa kwanza wa mifugo yako na wa kundi lako mbele ya Yehova Mungu wako mahali kwenye atachagua jina lake likae,+ ili ujifunze kumuogopa Yehova Mungu wako sikuzote.+

24 “Lakini kama safari ni murefu sana kwako na hivyo hauweze kuipeleka mahali kwenye Yehova Mungu wako anachagua jina lake likae,+ kwa sababu ni mbali sana na wewe (kwa sababu Yehova Mungu wako atakubariki), 25 basi unaweza kuibadilisha kwa feza, na ukiwa na feza zako katika mukono wako, fanya safari mupaka mahali kwenye Yehova Mungu wako atachagua. 26 Kisha unaweza kutumia feza hizo kuuza kitu chochote chenye unatamani*⁠—​ngombe, kondoo, mbuzi, divai na pombe zingine, na kitu chochote chenye unapenda;* na utakulia kule mbele ya Yehova Mungu wako na kushangilia, wewe na watu wa nyumba yako.+ 27 Na usimuzarau Mulawi mwenye kuwa ndani ya miji yako,+ kwa sababu hakupewa fungu wala uriti pamoja na wewe.+

28 “Kwenye mwisho wa kila miaka tatu (3), unapaswa kupeleka inje sehemu moja yote ya kumi (1/10) ya mazao yako ya mwaka huo na kuiweka ndani ya miji yako.+ 29 Kisha Mulawi, mwenye hakupewa fungu wala uriti katikati yako, mukaaji mugeni, mutoto mwenye hana baba,* na mujane mwenye kuwa ndani ya miji yako atakuja na kula na kushiba,+ ili Yehova Mungu wako akubariki katika mambo yote yenye unafanya.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine