Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Wimbo wa Sulemani 6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Wimbo wa Sulemani

    • MUSHULAMI AKIWA YERUSALEMU (3:6–8:4)

Wimbo wa Sulemani 6:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Wim 1:7; 2:16

Wimbo wa Sulemani 6:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Wim 7:10
  • +Wim 2:16

Wimbo wa Sulemani 6:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Muji Wenye Kupendeza.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 14:17; 15:33
  • +Wim 1:9
  • +Zab 48:2
  • +Wim 6:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2006, uku. 20

Wimbo wa Sulemani 6:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Wim 1:15; 4:9; 7:4
  • +Wim 4:1-3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2006, uku. 19

Wimbo wa Sulemani 6:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 11:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2011, uku. 11

Wimbo wa Sulemani 6:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Yeye ndiye mwenye kuwa safi wa.”

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Wim 2:14

Wimbo wa Sulemani 6:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kuangalia chini.”

  • *

    Mapambazuko ni wakati mwangaza wa asubui unaanza kutokea.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Wim 6:4

Wimbo wa Sulemani 6:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “bonde la muto.”

  • *

    Ao “umetokeza matumba.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 2:5

Wimbo wa Sulemani 6:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nafsi.”

  • *

    Ao “watu wangu wenye kujipendea.”

Wimbo wa Sulemani 6:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “dansi ya Mahanaimu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Wim 1:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2006, uku. 20

Maandiko ingine

Wim. 6:2Wim 1:7; 2:16
Wim. 6:3Wim 7:10
Wim. 6:3Wim 2:16
Wim. 6:41 Fal. 14:17; 15:33
Wim. 6:4Wim 1:9
Wim. 6:4Zab 48:2
Wim. 6:4Wim 6:10
Wim. 6:5Wim 1:15; 4:9; 7:4
Wim. 6:5Wim 4:1-3
Wim. 6:81 Fal. 11:1
Wim. 6:9Wim 2:14
Wim. 6:10Wim 6:4
Wim. 6:11Mhu. 2:5
Wim. 6:13Wim 1:6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Wimbo wa Sulemani 6:1-13

Wimbo wa Sulemani

6 “Mupenzi wako ameenda wapi,

Ee mwenye sura na umbo ya muzuri sana kuliko wanamuke wote?

Mupenzi wako amefuata njia gani?

Acha tumutafute pamoja.”

 2 “Mupenzi wangu ameenda kwenye bustani yake,

Kwenye bustani yenye mimea yenye kutoa harufu ya muzuri,

Ili kuchunga kondoo kati ya mabustani

Na kuchuma maua ya mayungiyungi.+

 3 Mimi ni wa mupenzi wangu,

Na mupenzi wangu ni wangu.+

Anachunga wanyama kati ya maua ya mayungiyungi.”+

 4 “Uko mwenye sura na umbo ya muzuri kama Tirza,*+ mupendwa wangu,+

Unapendeza kama Yerusalemu,+

Unashangaza kama majeshi yenye kukusanyika kuzunguka bendera zao.+

 5 Geuzia macho yako+ mbali na mimi,

Kwa sababu yananilemea.

Nywele zako ziko kama kundi la mbuzi

Wenye kushuka kwenye milima ya Gileadi.+

 6 Meno yako ni kama kundi la kondoo

Wenye wametoka kunawishwa,

Wote wamezaa mapacha,

Na hakuna mwenye amepoteza kitoto chake.

 7 Kama kipande cha tunda la komamanga

Ni vile mashavu yako yanaonekana nyuma ya kitambaa chako cha kufunika kichwa.

 8 Kunaweza kuwa malkia makumi sita (60)

Na masuria* makumi munane (80)

Na vijana wanamuke wenye hawana hesabu,+

 9 Lakini mumoja tu ndiye njiwa wangu,+ wangu mwenye hana kasoro.

Mutoto wa pekee wa mama yake.

Anapendwa sana na* ule mwenye alimuzaa.

Mabinti wanamuona, na wanamutangaza kuwa mwenye furaha;

Malkia na masuria,* na wanamusifu.

10 ‘Ni mwanamuke gani mwenye kungaa* kama mapambazuko,*

Mwenye sura na umbo ya muzuri kama mwezi wenye kuenea,

Mwenye kutakata kama mwangaza wa jua,

Mwenye kushangaza kama majeshi yenye kukusanyika kuzunguka bendera zao?’”+

11 “Nilishuka kwenye bustani ya miti ya lozi+

Ili nione machipukizi katika bonde,*

Ili nione kama muzabibu umechipuka*

Kama miti ya mikomamanga imetoa maua.

12 Bila kujua,

Tamaa* yangu ilinitia

Kwenye magari ya watu wangu wenye vyeo.”*

13 “Rudia, rudia, Ee Mushulami!

Rudia, rudia,

Ili tukuone!”

“Sababu gani munamuangalia Mushulami?”+

“Yeye ni kama dansi ya vikundi mbili!”*

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine