Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Kumbukumbu la Torati

      • Agano la Yehova kule Horebu (1-5)

      • Amri Kumi zinarudiliwa (6-22)

      • Watu wanaogopa kwenye Mulima Sinai (23-33)

Kumbukumbu la Torati 5:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:5; Ebr 9:19, 20

Kumbukumbu la Torati 5:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:9, 18; Mdo 7:38

Kumbukumbu la Torati 5:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:19; Gal 3:19
  • +Kut 19:16

Kumbukumbu la Torati 5:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 13:3; 20:2

Kumbukumbu la Torati 5:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kwa kunizarau mimi.” Tnn., “zidi ya uso wangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:3-6; 2 Fal. 17:35

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/3/2012, uku. 23

Kumbukumbu la Torati 5:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mufano wa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:1; Kum 4:15, 16, 23; 27:15; Mdo 17:29

Kumbukumbu la Torati 5:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:24; 1 Kor. 10:14
  • +Kut 34:14; Kum 4:24; Isa 42:8; Mt 4:10
  • +Kut 34:6, 7

Kumbukumbu la Torati 5:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “fazili zenye upendo.”

Kumbukumbu la Torati 5:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 22:28; Law. 19:12
  • +Kut 20:7; Law. 24:16

Kumbukumbu la Torati 5:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 16:23; 20:8-10; 31:13

Kumbukumbu la Torati 5:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 34:21

Kumbukumbu la Torati 5:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “milango yako mikubwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 16:29
  • +Ne 13:15
  • +Kut 23:12
  • +Kum 10:17; Efe 6:9

Kumbukumbu la Torati 5:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 6:6; Kum 4:34

Kumbukumbu la Torati 5:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “na mambo yakuendee muzuri.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 21:15; Law. 19:3; Kum 27:16; Mez. 1:8; Mk 7:10
  • +Kut 20:12; Efe 6:2, 3

Kumbukumbu la Torati 5:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 9:6; Kut 20:13; Hes 35:20, 21; Mt 5:21; Rom. 13:9

Kumbukumbu la Torati 5:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:14; 1 Kor. 6:18; Ebr 13:4

Kumbukumbu la Torati 5:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:15; Law. 19:11; Mez. 30:8, 9; 1 Kor. 6:10; Efe 4:28

Kumbukumbu la Torati 5:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:16; 23:1; Law. 19:16; Kum 19:16-19; Mez. 6:16, 19; 19:5

Kumbukumbu la Torati 5:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 5:28
  • +Kut 20:17; Lu 12:15; Rom. 7:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2012, uku. 7

Kumbukumbu la Torati 5:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “maneno.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:9, 18
  • +Kut 24:12; 31:18; Kum 4:12, 13

Kumbukumbu la Torati 5:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:18; Ebr 12:18, 19

Kumbukumbu la Torati 5:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 24:17
  • +Kum 4:33, 36

Kumbukumbu la Torati 5:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “katikati ya wanadamu wote.”

Kumbukumbu la Torati 5:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:19; Ebr 12:18, 19

Kumbukumbu la Torati 5:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 18:16, 17

Kumbukumbu la Torati 5:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 10:12; Yob 28:28; Mez. 1:7; Mt 10:28; 1 Pe. 2:17
  • +Mez. 4:4; 7:2; Mhu. 12:13; Isa 48:18; 1 Yo. 5:3
  • +Zab 19:8, 11; Yak 1:25

Kumbukumbu la Torati 5:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 6:3, 25; 8:1
  • +Kum 12:32; Yosh. 1:7, 8

Kumbukumbu la Torati 5:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 10:12
  • +Kum 4:40; 12:28; Rom. 10:5

Maandiko ingine

Kum. 5:2Kut 19:5; Ebr 9:19, 20
Kum. 5:4Kut 19:9, 18; Mdo 7:38
Kum. 5:5Kut 20:19; Gal 3:19
Kum. 5:5Kut 19:16
Kum. 5:6Kut 13:3; 20:2
Kum. 5:7Kut 20:3-6; 2 Fal. 17:35
Kum. 5:8Law. 26:1; Kum 4:15, 16, 23; 27:15; Mdo 17:29
Kum. 5:9Kut 23:24; 1 Kor. 10:14
Kum. 5:9Kut 34:14; Kum 4:24; Isa 42:8; Mt 4:10
Kum. 5:9Kut 34:6, 7
Kum. 5:11Kut 22:28; Law. 19:12
Kum. 5:11Kut 20:7; Law. 24:16
Kum. 5:12Kut 16:23; 20:8-10; 31:13
Kum. 5:13Kut 34:21
Kum. 5:14Kut 16:29
Kum. 5:14Ne 13:15
Kum. 5:14Kut 23:12
Kum. 5:14Kum 10:17; Efe 6:9
Kum. 5:15Kut 6:6; Kum 4:34
Kum. 5:16Kut 21:15; Law. 19:3; Kum 27:16; Mez. 1:8; Mk 7:10
Kum. 5:16Kut 20:12; Efe 6:2, 3
Kum. 5:17Mwa 9:6; Kut 20:13; Hes 35:20, 21; Mt 5:21; Rom. 13:9
Kum. 5:18Kut 20:14; 1 Kor. 6:18; Ebr 13:4
Kum. 5:19Kut 20:15; Law. 19:11; Mez. 30:8, 9; 1 Kor. 6:10; Efe 4:28
Kum. 5:20Kut 20:16; 23:1; Law. 19:16; Kum 19:16-19; Mez. 6:16, 19; 19:5
Kum. 5:21Mt 5:28
Kum. 5:21Kut 20:17; Lu 12:15; Rom. 7:7
Kum. 5:22Kut 19:9, 18
Kum. 5:22Kut 24:12; 31:18; Kum 4:12, 13
Kum. 5:23Kut 20:18; Ebr 12:18, 19
Kum. 5:24Kut 24:17
Kum. 5:24Kum 4:33, 36
Kum. 5:27Kut 20:19; Ebr 12:18, 19
Kum. 5:28Kum 18:16, 17
Kum. 5:29Kum 10:12; Yob 28:28; Mez. 1:7; Mt 10:28; 1 Pe. 2:17
Kum. 5:29Mez. 4:4; 7:2; Mhu. 12:13; Isa 48:18; 1 Yo. 5:3
Kum. 5:29Zab 19:8, 11; Yak 1:25
Kum. 5:32Kum 6:3, 25; 8:1
Kum. 5:32Kum 12:32; Yosh. 1:7, 8
Kum. 5:33Kum 10:12
Kum. 5:33Kum 4:40; 12:28; Rom. 10:5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Kumbukumbu la Torati 5:1-33

Kumbukumbu la Torati

5 Kisha Musa akaita Israeli wote na kuwaambia: “Sikia, Ee Israeli, masharti na maamuzi ya hukumu yenye ninakutangazia leo, na unapaswa kujifunza na kushika kwa uangalifu masharti na maamuzi hayo ya hukumu. 2 Yehova Mungu wetu alifanya agano pamoja na sisi katika Horebu.+ 3 Yehova hakufanya agano hilo pamoja na mababu zetu, lakini pamoja na sisi, sisi wote wenye kuwa wazima hapa leo. 4 Yehova alisema na ninyi uso kwa uso katika mulima, kutoka katika moto.+ 5 Nilisimama katikati yenu na Yehova wakati huo+ ili niwaambie neno la Yehova, kwa maana muliogopa kwa sababu ya moto na hamukupanda katika mulima.+ Alisema:

6 “‘Mimi ni Yehova Mungu wako, mwenye alikutosha katika inchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.+ 7 Haupaswe hata kidogo kuwa na miungu mingine isipokuwa mimi.*+

8 “‘Haupaswe kujifanyia sanamu ya kuchongwa+ wala umbo ya* kitu chochote chenye kuwa juu mbinguni ao chenye kuwa hapa chini juu ya dunia ao chenye kuwa ndani ya maji chini ya dunia. 9 Haupaswe kuviinamia wala kushawishiwa kuvitumikia,+ kwa sababu mimi, Yehova Mungu wako, ni Mungu mwenye anataka watu washikamane na yeye tu,+ mwenye analeta azabu juu ya wana kwa sababu ya kosa la baba, juu ya kizazi cha tatu (3) na juu ya kizazi cha ine (4) cha wale wenye kunichukia,+ 10 lakini mwenye kuonyesha upendo mushikamanifu* kwa kizazi cha elfu (1 000) cha wale wenye kunipenda na kushika amri zangu.

11 “‘Haupaswe kutumia jina la Yehova Mungu wako kwa njia yenye haifae,+ kwa maana Yehova hatakosa kumupatia azabu mutu yeyote mwenye anatumia jina lake kwa njia yenye haifae.+

12 “‘Shika siku ya Sabato ili uione kuwa takatifu, kama vile Yehova Mungu wako alikuamuru.+ 13 Utatumika na kufanya kazi zako zote kwa siku sita (6),+ 14 lakini siku ya saba (7) ni sabato kwa ajili ya Yehova Mungu wako.+ Haupaswe kufanya kazi yoyote,+ wewe, wala mutoto wako mwanaume wala mutoto wako mwanamuke wala mutumwa wako mwanaume wala mutumwa wako mwanamuke wala ngombe-dume wako wala punda wako wala munyama yeyote katikati ya wanyama wako wa kufugwa wala mukaaji mugeni mwenye kuwa katika miji yako,*+ ili mutumwa wako mwanaume na mutumwa wako mwanamuke wapumuzike kama wewe.+ 15 Kumbuka kwamba ulikuwa mutumwa katika inchi ya Misri na kwamba Yehova Mungu wako alikutosha kule kwa mukono wenye nguvu na mukono wenye kunyooshwa.+ Ndiyo sababu Yehova Mungu wako alikuamuru ushike siku ya Sabato.

16 “‘Heshimia baba yako na mama yako,+ kama vile Yehova Mungu wako amekuamuru, ili uishi wakati murefu na kufanikiwa* katika inchi yenye Yehova Mungu wako anakupatia.+

17 “‘Haupaswe kuua.+

18 “‘Wala haupaswe kufanya uzinifu.+

19 “‘Wala haupaswe kuiba.+

20 “‘Wala haupaswe kutoa ushahidi wa uongo juu ya mwenzako.+

21 “‘Wala haupaswe kutamani bibi ya mwenzako.+ Wala haupaswe kutamani kwa uchoyo nyumba ya mwenzako wala shamba lake wala mutumwa wake mwanaume wala mutumwa wake mwanamuke wala ngombe-dume wake wala punda wake wala kitu chochote cha mwenzako.’+

22 “Yehova aliambia kutaniko lenu lote amri* hizo kwenye mulima, kutoka katika moto, wingu, na giza nzito,+ kwa sauti kubwa, na hakuongeza jambo lolote; kisha akaziandika kwenye mabamba mbili ya majiwe na kunipatia.+

23 “Lakini wakati tu mulisikia sauti kutoka katika lile giza, wakati mulima ulikuwa unawaka moto,+ vichwa vyote vya makabila yenu na wazee wakanikaribia. 24 Kisha mukasema, ‘Angalia, Yehova Mungu wetu ametuonyesha utukufu wake na ukubwa wake, na tumesikia sauti yake kutoka katika moto.+ Leo tumeona kwamba Mungu anaweza kuongea na mwanadamu na mwanadamu huyo anaweza kuendelea kuishi.+ 25 Sasa, sababu gani tukufe? Kwa maana moto huu mukubwa unaweza kututeketeza. Kama tunaendelea kusikia sauti ya Yehova Mungu wetu, hakika tutakufa. 26 Kwa maana ni nani kati ya miili yote* mwenye amesikia sauti ya Mungu mwenye kuishi ikiongea kutoka katika moto kama vile tulisikia na bado anaendelea kuishi? 27 Wewe mwenyewe unapaswa kuenda karibu ili usikie mambo yote yenye Yehova Mungu wetu atasema, na ni wewe utatuambia mambo yote yenye Yehova Mungu wetu anakuambia, na sisi tutasikiliza na kuyatenda.’+

28 “Kwa hiyo Yehova alisikia maneno yenye muliniambia, na Yehova akaniambia, ‘Nimesikia maneno yenye watu hawa wamekuambia. Mambo yote yenye wamesema ni sawa.+ 29 Kama tu wangekuwa sikuzote na moyo wenye muelekeo wa kuniogopa+ na kushika amri zangu zote,+ basi mambo yangewaendea muzuri wao na wana wao milele!+ 30 Uende uwaambie: “Murudie kwenye mahema yenu.” 31 Lakini unapaswa kubakia hapa pamoja na mimi, na uache nikuambie amri zote, masharti, na maamuzi ya hukumu yenye unapaswa kuwafundisha na yenye wanapaswa kushika katika inchi yenye ninawapatia ili wairiti.’ 32 Sasa ninyi watu munapaswa kuwa waangalifu kufanya kama vile Yehova Mungu wenu amewaamuru.+ Musigeuke kuenda kuume wala kushoto.+ 33 Munapaswa kutembea katika njia yote yenye Yehova Mungu wenu amewaamuru,+ ili muishi na kufanikiwa na kurefusha siku zenu katika inchi yenye mutariti.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine