Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 4
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Samweli

      • Ish-bosheti anauawa (1-8)

      • Daudi anaamuru wauaji wauawe (9-12)

2 Samweli 4:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mikono yake ikaregea.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 2:8
  • +2 Sa. 3:27

2 Samweli 4:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 9:17; 18:21, 25

2 Samweli 4:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 11:31, 33

2 Samweli 4:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 20:16
  • +2 Sa. 9:3
  • +1 Sa. 29:1, 11
  • +2 Sa. 9:13; 1Nya 8:34

2 Samweli 4:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 4:2

2 Samweli 4:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 2:10
  • +1 Sa. 18:28, 29
  • +1 Sa. 18:10, 11; 20:1, 33; 23:15

2 Samweli 4:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “alikomboa nafsi yangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 24:12; 26:25; 2 Sa. 12:7; Zab 34:7

2 Samweli 4:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 1:2, 4
  • +2 Sa. 1:13-15

2 Samweli 4:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 9:6; Kut 21:12; Hes 35:16, 30

2 Samweli 4:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 55:23
  • +Kum 21:22

Maandiko ingine

2 Sam. 4:12 Sa. 2:8
2 Sam. 4:12 Sa. 3:27
2 Sam. 4:2Yosh. 9:17; 18:21, 25
2 Sam. 4:3Ne 11:31, 33
2 Sam. 4:41 Sa. 20:16
2 Sam. 4:42 Sa. 9:3
2 Sam. 4:41 Sa. 29:1, 11
2 Sam. 4:42 Sa. 9:13; 1Nya 8:34
2 Sam. 4:62 Sa. 4:2
2 Sam. 4:82 Sa. 2:10
2 Sam. 4:81 Sa. 18:28, 29
2 Sam. 4:81 Sa. 18:10, 11; 20:1, 33; 23:15
2 Sam. 4:91 Sa. 24:12; 26:25; 2 Sa. 12:7; Zab 34:7
2 Sam. 4:102 Sa. 1:2, 4
2 Sam. 4:102 Sa. 1:13-15
2 Sam. 4:11Mwa 9:6; Kut 21:12; Hes 35:16, 30
2 Sam. 4:12Zab 55:23
2 Sam. 4:12Kum 21:22
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Samweli 4:1-12

Cha Pili cha Samweli

4 Wakati Ish-bosheti+ mwana wa Sauli alisikia kwamba Abneri alikuwa amekufa kule Hebroni,+ akapoteza uhodari wake* na Waisraeli wote wakavurugika. 2 Kulikuwa watu wawili wenye walisimamia vikundi vya wanyanganyi vya mwana wa Sauli: mumoja aliitwa Baana na mwingine Rekabu. Walikuwa wana wa Rimoni Mubeeroti, wa kabila la Benyamini. (Kwa maana Beeroti+ pia ilikuwa inahesabiwa kuwa sehemu ya Benyamini. 3 Wabeeroti walikimbilia Gitaimu,+ na wako wakaaji wageni kule mupaka leo.)

4 Sasa Yonatani+ mwana wa Sauli alikuwa na mwana mwenye alikuwa kilema wa miguu.+ Alikuwa na miaka tano (5) wakati habari kuhusu Sauli na Yonatani ilifika kutoka Yezreeli,+ na mulezi wake akamubeba na kukimbia, lakini wakati alikuwa anakimbia akiwa na woga, mutoto huyo mwanaume alianguka na kuwa kilema wa miguu. Jina la mutoto huyo mwanaume lilikuwa Mefibosheti.+

5 Wana wa Rimoni, Rekabu na Baana, Mubeeroti, walienda kwenye nyumba ya Ish-bosheti wakati wa jua kali la muchana, wakati alikuwa anafanya pumuziko lake la katikati ya muchana. 6 Wakaingia ndani ya nyumba kama vile watu wenye walitaka kuchukua ngano, na wakamupiga katika tumbo; kisha Rekabu na Baana ndugu yake+ wakakimbia. 7 Wakati walikuwa wameingia katika nyumba, alikuwa amelala kwenye kitanda chake katika chumba chake cha kulala, na wakamupiga na kumuua, kisha wakamukata kichwa. Halafu wakakamata kichwa chake na kutembea usiku wote kwenye barabara ya kuenda Araba. 8 Na wakamuletea Daudi kichwa cha Ish-bosheti+ kule Hebroni na kumuambia mufalme: “Ndicho hiki kichwa cha Ish-bosheti mwana wa Sauli adui yako+ mwenye alitafuta uzima wako.*+ Leo hii Yehova amemulipizia kisasi bwana wangu mufalme juu ya Sauli na wazao wake.”

9 Lakini, Daudi akamujibu Rekabu na Baana ndugu yake, wana wa Rimoni Mubeeroti, na akawaambia: “Kama vile hakika Yehova anaishi, mwenye aliniokoa* katika taabu zote,+ 10 wakati mutu fulani aliniambia, ‘Angalia Sauli amekufa,’+ na aliwaza alikuwa ananiletea habari ya muzuri, nilimukamata na kumuua+ kule Siklagi. Hiyo ndiyo zawabu ya mujumbe yenye alipokea kutoka kwangu! 11 Itakuwa namna gani wakati watu waovu wamemuua mwenye haki katika nyumba yake mwenyewe kwenye kitanda chake? Je, sitaomba damu yake katika mikono yenu+ na kuwaondoa katika dunia?” 12 Kisha Daudi akaamuru vijana hao wawaue.+ Wakawakata mikono na miguu yao na kuwatundika+ karibu na kiziwa cha maji kule Hebroni. Lakini akakamata kichwa cha Ish-bosheti na kukizika katika kaburi la Abneri kule Hebroni.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine