Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Muhubiri 10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Muhubiri

      • Upumbavu kidogo unaharibu hekima (1)

      • Hatari za kukosa kuwa na uwezo wa kufanya mambo kwa njia ya muzuri (2-11)

      • Hali yenye kuhuzunisha ya wapumbavu (12-15)

      • Upumbavu kati ya watawala (16-20)

        • Ndege anaweza kurudilia maneno yako (20)

Muhubiri 10:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 20:10, 12; 2 Sa. 12:9-11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2006, uku. 16

    Amuka!,

    22/2/2001, uku. 26-27

Muhubiri 10:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “uko kwenye mukono wake wa kuume.”

  • *

    Tnn., “uko kwenye mukono wake wa kushoto.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 14:8; 17:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2006, uku. 15

Muhubiri 10:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “moyo wake unakosewa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 10:23
  • +Mez. 13:16; 18:7

Muhubiri 10:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “roho, pumuzi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 8:2, 3
  • +1 Sa. 25:23, 24; Mez. 25:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2006, uku. 16

Muhubiri 10:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 26:21; 1 Fal. 12:13, 14

Muhubiri 10:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wenye uwezo.”

Muhubiri 10:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 30:21-23

Muhubiri 10:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 26:27

Muhubiri 10:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “anapaswa kufanya angalisho navyo.”

Muhubiri 10:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    2/2014, uku. 6

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2000, uku. 16

Muhubiri 10:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mwenye anajua sana kutumia ulimi.”

Muhubiri 10:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 10:6, 8; Zab 37:30; Lu 4:22; Efe 4:29
  • +Zab 64:2, 8; Mez. 10:14, 21; 14:3

Muhubiri 10:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 25:10, 11

Muhubiri 10:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 10:19; 15:2
  • +Mez. 27:1; Mhu. 6:12; Yak 4:13, 14

Muhubiri 10:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2006, uku. 15

Muhubiri 10:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 13:7; 36:9

Muhubiri 10:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 31:4, 5

Muhubiri 10:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 21:25; 24:33, 34

Muhubiri 10:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Chakula kinafanywa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 104:15; Mhu. 9:7
  • +Mhu. 7:12

Muhubiri 10:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “kwenye kitanda chako.”

  • *

    Ao “usiseme mufalme mubaya.”

  • *

    Tnn., “kiumbe mwenye kuruka wa mbinguni.”

  • *

    Ao “habari.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 22:28

Maandiko ingine

Muh. 10:1Hes 20:10, 12; 2 Sa. 12:9-11
Muh. 10:2Mez. 14:8; 17:16
Muh. 10:3Mez. 10:23
Muh. 10:3Mez. 13:16; 18:7
Muh. 10:4Mhu. 8:2, 3
Muh. 10:41 Sa. 25:23, 24; Mez. 25:15
Muh. 10:51 Sa. 26:21; 1 Fal. 12:13, 14
Muh. 10:7Mez. 30:21-23
Muh. 10:8Mez. 26:27
Muh. 10:121 Fal. 10:6, 8; Zab 37:30; Lu 4:22; Efe 4:29
Muh. 10:12Zab 64:2, 8; Mez. 10:14, 21; 14:3
Muh. 10:131 Sa. 25:10, 11
Muh. 10:14Mez. 10:19; 15:2
Muh. 10:14Mez. 27:1; Mhu. 6:12; Yak 4:13, 14
Muh. 10:162Nya 13:7; 36:9
Muh. 10:17Mez. 31:4, 5
Muh. 10:18Mez. 21:25; 24:33, 34
Muh. 10:19Zab 104:15; Mhu. 9:7
Muh. 10:19Mhu. 7:12
Muh. 10:20Kut 22:28
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Muhubiri 10:1-20

Muhubiri

10 Kama vile mainzi wenye kufa wanafanya mafuta ya mutengenezaji wa marashi yanuke na kutoa pofu, ni vile pia upumbavu kidogo unaharibu hekima na utukufu.+

2 Moyo wa mwenye hekima unamuongoza katika njia yenye inafaa,* lakini moyo wa mujinga unamuongoza katika njia yenye haifae.*+ 3 Katika kila njia yenye mupumbavu anatembea, hana akili ya muzuri,*+ na anafanya kila mutu ajue kwamba yeye ni mupumbavu.+

4 Kama kasirani* ya mutawala inawaka juu yako, usitoke mahali pako,+ kwa maana utulivu unatuliza zambi kubwa.+

5 Kuko jambo lenye kuhuzunisha lenye nimeona chini ya jua, kosa fulani lenye linafanywa na wenye mamlaka:+ 6 Upumbavu umepewa vyeo vingi vya juu, lakini matajiri* wanabakia katika vyeo vya chini.

7 Nimeona watumishi wakiwa kwenye migongo ya farasi lakini wakubwa wakitembea kwa miguu kama vile watumishi.+

8 Mwenye anachimba shimo anaweza kuangukia ndani;+ na mwenye anabomoa ukuta wa majiwe anaweza kuumwa na nyoka.

9 Mwenye anachimbua majiwe yatamuumiza, na mwenye anapasua vipande vikubwa vya muti anaweza kuwa katika hatari kwa sababu ya vipande hivyo.*

10 Kama kifaa cha chuma kinapoteza makali na kama mutu hakinoe, atahitaji kutumia nguvu nyingi zaidi. Lakini hekima inasaidia kupata mafanikio.

11 Kama nyoka anauma mbele ya kuchezeshwa, mutu mwenye kuchezesha nyoka mwenye ufundi* hapate faida yoyote.

12 Maneno yenye kutoka katika kinywa cha mwenye hekima yanafanya akubaliwe,+ lakini midomo ya mujinga ndiyo inamuharibu.+ 13 Maneno ya kwanza yenye kutoka katika kinywa chake ni upumbavu,+ na maneno yake ya mwisho ni wazimu wenye kuleta musiba. 14 Lakini mupumbavu anaendelea kusema.+

Mwanadamu hajue mambo yenye yatatokea; ni nani anaweza kumuambia mambo yenye yatakuja kisha yeye?+

15 Kazi ya nguvu ya mujinga inamuchokesha, kwa sababu hajue hata namna ya kupata njia ya kuenda katika muji.

16 Ole wake inchi wakati mufalme wake ni kijana+ na wakubwa wanaanza kufanya karamu asubui! 17 Heri inchi yenye mufalme wake ni mwana wa watu wenye vyeo na yenye wakubwa wake wanakula kwa wakati wenye unafaa ili kupata nguvu, haiko juu ya kulewa!+

18 Kwa sababu ya uvivu mukubwa sehemu ya juu ya nyumba inabonyea, na kwa sababu ya mikono yenye uvivu, nyumba inavuya.+

19 Mukate unafanywa* ili kuleta kicheko, na divai inafanya maisha yafurahishe;+ lakini feza zinatimiza mahitaji yote.+

20 Hata katika mawazo yako,* usilaani mufalme,*+ wala usilaani tajiri katika chumba chako cha kulala; kwa sababu ndege* anaweza kupeleka sauti,* ao kiumbe chenye mabawa kinaweza kurudilia mambo yenye yalisemwa.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine