Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Samweli

      • Ushindi mbalimbali juu ya Waamoni na Wasiria (1-19)

2 Samweli 10:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 19:36, 38; Amu 10:7; 11:12, 33; 1 Sa. 11:1
  • +1Nya 19:1-5

2 Samweli 10:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 19:27

2 Samweli 10:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 18:21

2 Samweli 10:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “watu wa Tobu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 13:21
  • +2 Sa. 8:5
  • +Yosh. 13:13
  • +1Nya 19:6, 7

2 Samweli 10:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 23:8; 1Nya 19:8, 9

2 Samweli 10:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “watu wa Tobu.”

2 Samweli 10:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 19:10-13

2 Samweli 10:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “katika mukono.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 26:6; 2 Sa. 2:18; 23:18; 1Nya 2:15, 16
  • +Hes 21:24

2 Samweli 10:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 31:6
  • +Zab 37:5; 44:5; Mez. 29:25

2 Samweli 10:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 19:14, 15

2 Samweli 10:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 19:16

2 Samweli 10:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, Efrati.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 8:3-5
  • +Mwa 15:18; Kut 23:31

2 Samweli 10:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 19:17-19

2 Samweli 10:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 20:1; Zab 18:37, 38

2 Samweli 10:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 15:18; Kum 20:10, 11

Maandiko ingine

2 Sam. 10:1Mwa 19:36, 38; Amu 10:7; 11:12, 33; 1 Sa. 11:1
2 Sam. 10:11Nya 19:1-5
2 Sam. 10:4Law. 19:27
2 Sam. 10:5Yosh. 18:21
2 Sam. 10:6Hes 13:21
2 Sam. 10:62 Sa. 8:5
2 Sam. 10:6Yosh. 13:13
2 Sam. 10:61Nya 19:6, 7
2 Sam. 10:72 Sa. 23:8; 1Nya 19:8, 9
2 Sam. 10:91Nya 19:10-13
2 Sam. 10:101 Sa. 26:6; 2 Sa. 2:18; 23:18; 1Nya 2:15, 16
2 Sam. 10:10Hes 21:24
2 Sam. 10:12Kum 31:6
2 Sam. 10:12Zab 37:5; 44:5; Mez. 29:25
2 Sam. 10:131Nya 19:14, 15
2 Sam. 10:151Nya 19:16
2 Sam. 10:162 Sa. 8:3-5
2 Sam. 10:16Mwa 15:18; Kut 23:31
2 Sam. 10:171Nya 19:17-19
2 Sam. 10:18Kum 20:1; Zab 18:37, 38
2 Sam. 10:19Mwa 15:18; Kum 20:10, 11
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Samweli 10:1-19

Cha Pili cha Samweli

10 Kisha wakati fulani mufalme wa Waamoni+ akakufa, na Hanuni mwana wake akakuwa mufalme pa nafasi yake.+ 2 Halafu Daudi akasema: “Nitamuonyesha Hanuni mwana wa Nahashi upendo mushikamanifu kama vile baba yake alinionyesha upendo mushikamanifu.” Basi Daudi akatuma watumishi wake ili wamufariji juu ya kifo cha baba yake. Lakini wakati watumishi wa Daudi waliingia katika inchi ya Waamoni, 3 wakubwa wa Waamoni wakamuambia Hanuni bwana wao: “Je, unawaza kwamba Daudi anamuheshimia baba yako kwa kukutumia wafariji? Je, haiko kwa sababu ya kuchunguza muji na kuupeleleza na kuupindua ndiyo maana Daudi ametuma watumishi wake kwako?” 4 Basi Hanuni akachukua wale watumishi wa Daudi na kunyoa nusu ya ndevu zao+ na akakata nguo zao katikati, kwenye matako yao, na akawafukuza. 5 Wakati Daudi aliambiwa, mara moja akatuma watu waende kukutana nao, kwa sababu watu hao walikuwa wamepatishwa haya sana; na mufalme akawaambia: “Mubakie katika Yeriko+ mupaka wakati ndevu zenu zitaota tena, na kisha murudie.”

6 Kisha wakati fulani Waamoni wakaona kwamba wamenuka mubaya mbele ya Daudi, basi Waamoni wakatuma wajumbe na kukodi Wasiria wa Bet-rehobu+ na Wasiria wa Soba,+ maaskari elfu makumi mbili (20 000) wenye kutembea kwa miguu; na mufalme wa Maaka,+ pamoja na watu elfu moja (1 000); na kutoka Ishtobu,* watu elfu kumi na mbili (12 000).+ 7 Wakati Daudi alisikia habari hizo, akatuma Yoabu na jeshi lote, kutia ndani wapiganaji-vita wake wenye nguvu zaidi.+ 8 Na Waamoni wakatoka na kujipanga kwa ajili ya vita kwenye muingilio wa mulango mukubwa wa muji, wakati huo Wasiria wa Soba na wa Rehobu, pamoja na Ishtobu* na Maaka, walikuwa peke yao katika eneo lenye kuwa wazi la mashamba.

9 Wakati Yoabu aliona kwamba alikuwa anashambuliwa kutoka upande wa mbele na wa nyuma, akachagua wamoja kati ya maaskari wazuri zaidi katika Israeli na akawapanga kwa ajili ya vita ili wakutane na Wasiria.+ 10 Wanaume wenye walibakia akawaweka chini ya usimamizi* wa Abishai ndugu yake,+ kusudi awapange kwa ajili ya vita ili kukutana na Waamoni.+ 11 Kisha akasema: “Kama Wasiria wanakuwa na nguvu kunipita, basi unapaswa kuja kuniokoa; lakini kama Waamoni wanakuwa na nguvu kukupita, nitakuja kukuokoa. 12 Tunapaswa kuwa wenye nguvu na hodari+ kwa ajili ya watu wetu na kwa ajili ya miji ya Mungu wetu, na Yehova atafanya mambo ya muzuri mbele ya macho yake.”+

13 Kisha Yoabu na watu wake wakasonga mbele ili kukutana na Wasiria katika pigano, na wakakimbia kutoka mbele yake.+ 14 Wakati Waamoni waliona kwamba Wasiria walikuwa wamekimbia, wakamukimbia Abishai na kuingia katika muji. Kisha, Yoabu akarudia kutoka kwa Waamoni na akakuja Yerusalemu.

15 Wakati Wasiria waliona kwamba walikuwa wameshindwa mbele ya Israeli, wakajikusanya tena.+ 16 Kwa hiyo Hadadezeri+ akaitisha Wasiria kutoka katika eneo la ule Muto,*+ na kisha wakakuja Helamu, wakiongozwa na Shobaki mukubwa wa jeshi la Hadadezeri.

17 Wakati Daudi aliambiwa habari hiyo, mara moja akakusanya Israeli wote na wakavuka Yordani na kufika Helamu. Kisha Wasiria wakajipanga kwa ajili ya vita ili kukutana na Daudi na wakapigana naye.+ 18 Lakini Wasiria wakakimbia kutoka mbele ya Israeli; na Daudi akaua watu mia saba (700) waendesha-magari na wapanda-farasi elfu makumi ine (40 000) wa Wasiria, na akamupiga na kumuua Shobaki mukubwa wa jeshi, naye akakufa pale.+ 19 Wakati wafalme wote, watumishi wa Hadadezeri, waliona kwamba walikuwa wameshindwa mbele ya Israeli, mara moja wakafanya amani na Israeli na wakakuwa raia wao;+ na Wasiria wakaogopa kusaidia tena Waamoni.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine