Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Mambo ya Nyakati

      • Sulemani anaomba hekima (1-12)

      • Utajiri wa Sulemani (13-17)

2 Mambo ya Nyakati 1:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 29:25; Mhu. 2:9; Mt 6:28, 29; 12:42

2 Mambo ya Nyakati 1:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 3:4; 1Nya 21:29

2 Mambo ya Nyakati 1:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 13:5
  • +1Nya 16:1

2 Mambo ya Nyakati 1:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “walikuwa wanamuuliza Yeye pale.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 38:1, 2
  • +Kut 31:2-5

2 Mambo ya Nyakati 1:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 3:4

2 Mambo ya Nyakati 1:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 3:5-9

2 Mambo ya Nyakati 1:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:8
  • +1Nya 28:5; Zab 89:28, 29

2 Mambo ya Nyakati 1:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:12; 1Nya 28:6; Zab 132:11
  • +Mwa 13:14, 16

2 Mambo ya Nyakati 1:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nitoke inje mbele ya watu hawa na niingie ndani.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 2:6; Yak 1:5
  • +Zab 72:1, 2

2 Mambo ya Nyakati 1:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi ya.”

  • *

    Tnn., “siku nyingi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 3:10-13, 28

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/12/2005, uku. 19

2 Mambo ya Nyakati 1:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 29:25; 2Nya 9:22; Mhu. 2:9

2 Mambo ya Nyakati 1:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 3:4

2 Mambo ya Nyakati 1:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wapanda-farasi.”

  • *

    Ao “wapanda-farasi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 17:16; 1 Fal. 4:26
  • +2Nya 8:5, 6
  • +2Nya 9:25

2 Mambo ya Nyakati 1:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 10:21
  • +1 Fal. 10:27; 2Nya 9:27

2 Mambo ya Nyakati 1:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “kutoka Misri na kutoka Kue; wafanyabiashara wa mufalme walikuwa wanawanunua kutoka Kue,” pengine ni Kilikia.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 9:28
  • +1 Fal. 10:28, 29

Maandiko ingine

2 Nya. 1:11Nya 29:25; Mhu. 2:9; Mt 6:28, 29; 12:42
2 Nya. 1:31 Fal. 3:4; 1Nya 21:29
2 Nya. 1:41Nya 13:5
2 Nya. 1:41Nya 16:1
2 Nya. 1:5Kut 38:1, 2
2 Nya. 1:5Kut 31:2-5
2 Nya. 1:61 Fal. 3:4
2 Nya. 1:71 Fal. 3:5-9
2 Nya. 1:82 Sa. 7:8
2 Nya. 1:81Nya 28:5; Zab 89:28, 29
2 Nya. 1:92 Sa. 7:12; 1Nya 28:6; Zab 132:11
2 Nya. 1:9Mwa 13:14, 16
2 Nya. 1:10Mez. 2:6; Yak 1:5
2 Nya. 1:10Zab 72:1, 2
2 Nya. 1:111 Fal. 3:10-13, 28
2 Nya. 1:121Nya 29:25; 2Nya 9:22; Mhu. 2:9
2 Nya. 1:131 Fal. 3:4
2 Nya. 1:14Kum 17:16; 1 Fal. 4:26
2 Nya. 1:142Nya 8:5, 6
2 Nya. 1:142Nya 9:25
2 Nya. 1:151 Fal. 10:21
2 Nya. 1:151 Fal. 10:27; 2Nya 9:27
2 Nya. 1:162Nya 9:28
2 Nya. 1:161 Fal. 10:28, 29
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Mambo ya Nyakati 1:1-17

Cha Pili cha Mambo ya Nyakati

1 Sulemani mwana wa Daudi akaendelea kuwa na nguvu katika ufalme wake, na Yehova Mungu wake alikuwa pamoja naye na akamufanya kuwa mukubwa sana.+

2 Sulemani akaagiza Israeli wote wakusanywe, wakubwa wa maelfu na wa mamia, waamuzi, na wakubwa wote wa Israeli yote, vichwa vya jamaa za upande wa baba. 3 Kisha Sulemani na kutaniko lote wakaenda mahali pa juu kule Gibeoni,+ kwa maana kule ndiko kulikuwa hema ya mukutano ya Mungu wa kweli, hema yenye Musa mutumishi wa Yehova alikuwa ametengeneza katika jangwa. 4 Hata hivyo, Daudi alikuwa amepandisha Sanduku la Mungu wa kweli kutoka Kiriat-yearimu+ na kulileta mahali kwenye Daudi alikuwa ametayarisha kwa ajili yake; alikuwa amejenga hema kwa ajili ya Sanduku hilo katika Yerusalemu.+ 5 Na ile mazabahu ya shaba+ yenye Bezaleli+ mwana wa Uri mwana wa Huru alikuwa ametengeneza ilikuwa imewekwa mbele ya tabenakulo ya Yehova; na Sulemani na kutaniko walikuwa wanasali mbele ya mazabahu hiyo.* 6 Sasa Sulemani akatoa matoleo pale mbele ya Yehova, na akatoa matoleo elfu moja (1 000) ya kuteketezwa kwenye mazabahu ya shaba+ ya hema ya mukutano.

7 Usiku huo Mungu akamutokea Sulemani na kumuambia: “Omba kile unataka nikupatie.”+ 8 Halafu Sulemani akamuambia Mungu: “Umemuonyesha baba yangu Daudi upendo mwingi mushikamanifu,+ na umenifanya kuwa mufalme pa nafasi yake.+ 9 Sasa, Ee Yehova Mungu, ahadi yako yenye ulimutolea Daudi baba yangu ikuwe ya uaminifu,+ kwa maana umenifanya kuwa mufalme juu ya watu wengi sana kama chembe za mavumbi ya dunia.+ 10 Sasa unipatie hekima na ujuzi+ ili niongoze watu hawa,* kwa maana ni nani mwenye anaweza kuhukumu watu wako hawa wenye ni wengi?”+

11 Kisha Mungu akaambia Sulemani: “Kwa sababu hii ndiyo tamaa ya moyo wako na haukuomba mali, utajiri, na heshima ao kifo cha* wale wenye wanakuchukia, ao haukuomba maisha ya murefu,* lakini umeomba hekima na ujuzi ili uhukumu watu wangu wenye nimekufanya kuwa mufalme juu yao,+ 12 utapewa hekima na ujuzi; lakini nitakupatia pia mali na utajiri na heshima vyenye hakuna mufalme yeyote mwenye amevipata mbele yako na hakuna mufalme yeyote kisha wewe mwenye atavipata.”+

13 Basi Sulemani akatoka mahali pa juu kule Gibeoni,+ akatoka mbele ya hema ya mukutano, akakuja Yerusalemu; na akatawala juu ya Israeli. 14 Sulemani akaendelea kukusanya magari na farasi;* alikuwa na magari elfu moja mia ine (1 400) na farasi* elfu kumi na mbili (12 000),+ na aliviweka katika miji ya magari+ na karibu na mufalme katika Yerusalemu.+ 15 Mufalme alifanya feza na zahabu katika Yerusalemu ikuwe nyingi kama majiwe,+ na mierezi kuwa mingi kama mikuyu katika Shefela.+ 16 Farasi wa Sulemani waliletwa kutoka Misri,+ na wafanyabiashara wa mufalme walikuwa wanapata makundi ya farasi* kwa bei moja.+ 17 Kila gari lenye lililetwa kutoka Misri lilinunuliwa kwa vipande mia sita (600) vya feza, na farasi mumoja alinunuliwa kwa vipande mia moja makumi tano (150); kisha walikuwa wanaviuzisha kwa wafalme wote wa Wahiti na wafalme wa Siria.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine