Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 27
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Ezekieli

      • Wimbo wa huzuni kuhusu mashua yenye kuzama ya Tiro (1-36)

Ezekieli 27:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wimbo wa maombolezo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 26:17

Ezekieli 27:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 23:9; Eze 28:2, 12

Ezekieli 27:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 3:8, 9; 1Nya 5:23

Ezekieli 27:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Kasia ni chombo chenye kufanana na mwiko chenye kinatumiwa kuendesha mashua.

  • *

    Omo ni sehemu ya mbele ya mashua.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 10:2, 4

Ezekieli 27:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tanga ni kitambaa kikubwa chenye kinafungwa kwenye mashua na kinasukumwa na upepo ili mashua iende mbele.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 10:2, 4

Ezekieli 27:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashua ya maji; bateau.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 10:15, 18
  • +1 Fal. 9:27

Ezekieli 27:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Wanaume wazee.”

  • *

    Ao “Mashua za maji; Bateaux.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 13:2, 5
  • +Eze 27:27

Ezekieli 27:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 10:6; Yer 46:9

Ezekieli 27:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 10:2, 4; Yon 1:3
  • +2Nya 9:21
  • +Yer 10:9

Ezekieli 27:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 66:19
  • +Mwa 10:2
  • +Yoe 3:6

Ezekieli 27:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 10:2, 3; Eze 38:6

Ezekieli 27:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 10:7
  • +1 Fal. 10:22

Ezekieli 27:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 11:12, 33
  • +Mwa 43:11
  • +Yer 8:22
  • +1 Fal. 5:9; Ezr 3:7; Mdo 12:20

Ezekieli 27:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “manyoya ya kondoo ya rangi ya nyekundu-kijivu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 7:8

Ezekieli 27:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Muti wa familia moja na mudalasini.

  • *

    Kane ni utete wenye harufu ya muzuri.

Ezekieli 27:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nguo za vitambaa vyenye kusukwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 25:3

Ezekieli 27:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 25:13
  • +2Nya 17:11; Isa 60:7

Ezekieli 27:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 10:7
  • +1 Fal. 10:1, 2; Isa 60:6

Ezekieli 27:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 11:31
  • +2 Fal. 19:12; Amo 1:5
  • +Mwa 25:3; Yob 6:19
  • +Mwa 10:22

Ezekieli 27:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “tapis.”

Ezekieli 27:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Mashua za maji; Bateaux.”

  • *

    Ao pengine, “na utukufu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 10:22; Isa 23:14

Ezekieli 27:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashua ya maji; bateau.”

  • *

    Tnn., “Kutaniko lote lenye.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 27:8, 9
  • +Eze 27:10, 11
  • +Eze 26:14

Ezekieli 27:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashua ya maji; bateau.”

Ezekieli 27:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashua ya maji; bateau.”

Ezekieli 27:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 23:1; Eze 26:17

Ezekieli 27:31

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kwa uchungu wa nafsi.”

Ezekieli 27:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 26:5

Ezekieli 27:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 27:14, 16
  • +Zek 9:3

Ezekieli 27:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 26:19
  • +Eze 27:27

Ezekieli 27:35

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 26:15
  • +Eze 28:17

Ezekieli 27:36

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 37:10

Maandiko ingine

Eze. 27:2Eze 26:17
Eze. 27:3Isa 23:9; Eze 28:2, 12
Eze. 27:5Kum 3:8, 9; 1Nya 5:23
Eze. 27:6Mwa 10:2, 4
Eze. 27:7Mwa 10:2, 4
Eze. 27:8Mwa 10:15, 18
Eze. 27:81 Fal. 9:27
Eze. 27:9Yosh. 13:2, 5
Eze. 27:9Eze 27:27
Eze. 27:10Mwa 10:6; Yer 46:9
Eze. 27:12Mwa 10:2, 4; Yon 1:3
Eze. 27:122Nya 9:21
Eze. 27:12Yer 10:9
Eze. 27:13Isa 66:19
Eze. 27:13Mwa 10:2
Eze. 27:13Yoe 3:6
Eze. 27:14Mwa 10:2, 3; Eze 38:6
Eze. 27:15Mwa 10:7
Eze. 27:151 Fal. 10:22
Eze. 27:17Amu 11:12, 33
Eze. 27:17Mwa 43:11
Eze. 27:17Yer 8:22
Eze. 27:171 Fal. 5:9; Ezr 3:7; Mdo 12:20
Eze. 27:18Isa 7:8
Eze. 27:20Mwa 25:3
Eze. 27:21Mwa 25:13
Eze. 27:212Nya 17:11; Isa 60:7
Eze. 27:22Mwa 10:7
Eze. 27:221 Fal. 10:1, 2; Isa 60:6
Eze. 27:23Mwa 11:31
Eze. 27:232 Fal. 19:12; Amo 1:5
Eze. 27:23Mwa 25:3; Yob 6:19
Eze. 27:23Mwa 10:22
Eze. 27:251 Fal. 10:22; Isa 23:14
Eze. 27:27Eze 27:8, 9
Eze. 27:27Eze 27:10, 11
Eze. 27:27Eze 26:14
Eze. 27:30Isa 23:1; Eze 26:17
Eze. 27:32Eze 26:5
Eze. 27:33Eze 27:14, 16
Eze. 27:33Zek 9:3
Eze. 27:34Eze 26:19
Eze. 27:34Eze 27:27
Eze. 27:35Eze 26:15
Eze. 27:35Eze 28:17
Eze. 27:36Zab 37:10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Ezekieli 27:1-36

Ezekieli

27 Neno la Yehova likakuja tena kwangu, na kusema: 2 “Sasa wewe, mwana wa binadamu, imbia Tiro wimbo wa huzuni,*+ 3 na umuambie Tiro,

‘Wewe mwenye kukaa katika miingilio ya bahari,

Mufanyabiashara wa vikundi vya watu wa visiwa vingi,

Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi:

“Ee Tiro, wewe mwenyewe umesema, ‘Niko na uzuri mukamilifu.’+

 4 Maeneo yako yanapatikana katika moyo wa bahari.

Na wajenzi wako wamekamilisha uzuri wako.

 5 Walitengeneza mbao zako zote kutokana na miti ya miberoshi ya Seniri,+

Nao walikamata mwerezi wa Lebanoni ili kukutengenezea mulingoti.

 6 Walitengeneza makasia* yako kutokana na mialoni ya Bashani.

Na omo* yako ilitengenezwa kwa muti wa muvinje na kupambwa kwa pembe za tembo kutoka visiwa vya Kitimu.+

 7 Kitani chenye rangi mbalimbali kutoka Misri kilikuwa tanga* yako.

Na sitaha yako ilifunikwa kwa uzi ya rangi ya bluu na manyoya ya kondoo ya rangi ya zambarau kutoka visiwa vya Elisha.+

 8 Wakaaji wa Sidoni na Arvadi+ walikuwa wapiga-makasia wako.

Watu wako wenye ufundi, Ee Tiro, walikuwa watumishi wako wa mashua.*+

 9 Wanaume wenye uzoefu* na wenye ufundi wa Gebali+ walifunga mipasuko yako kwa kalafati.+

Mashua* zote za bahari na wafanyakazi wake wa mashua walikuja kwako ili kufanya biashara.

10 Watu wa Uajemi, Ludi, na Putu+​—⁠walikuwa katika jeshi lako, watu wako wa vita.

Walitundika ngao na kofia zao za chuma ndani yako, nao walikuletea utukufu.

11 Watu wa Arvadi katika jeshi lako walikuwa juu ya kuta zako kuzunguka pande zote,

Na wanaume hodari walilinda minara yako.

Walitundika ngao zao za muviringo kuzunguka kuta zako pande zote

Nao walikamilisha uzuri wako.

12 “‘“Tarshishi+ alifanya biashara pamoja na wewe kwa sababu ya mali yako nyingi.+ Walibadilisha feza, chuma, bati, na risasi kwa ajili ya vitu vyako.+ 13 Yavani, Tubali,+ na Mesheki+ walifanya biashara pamoja na wewe, wakibadilisha watumwa+ na vitu vya shaba kwa ajili ya vitu vyako vya biashara. 14 Nyumba ya Togarma+ ilibadilisha farasi na farasi wa vita na nyumbu kwa ajili ya vitu vyako. 15 Watu wa Dedani+ walifanya biashara pamoja na wewe; ulitumikisha wafanyabiashara kwenye visiwa vingi; walitoa pembe za tembo+ na mbao za mupingo kuwa ushuru. 16 Edomu alifanya biashara pamoja na wewe kwa sababu ya wingi wa vitu vyako vya biashara. Walitoa feruzi, manyoya ya kondoo ya rangi ya zambarau, michoro ya uzi ya rangi mbalimbali, kitambaa kizuri, marijani, na zabarijadi ili kubadilishana na vitu vyako.

17 “‘“Yuda na inchi ya Israeli walifanya biashara pamoja na wewe, wakitoa ngano ya Miniti,+ vyakula vya muzuri, asali,+ mafuta, na zeri+ ili kubadilishana na vitu vyako.+

18 “‘“Damasko+ alifanya biashara pamoja na wewe kwa sababu ya wingi wa vitu vyako vya biashara na mali yako yote, akifanya biashara ya divai ya Helboni na manyoya ya kondoo ya Zahari.* 19 Vedani na Yavani kutoka Uzali walitoa chuma chenye kufuliwa, kida,* na kane* ili kubadilishana na vitu vyako. 20 Dedani+ alifanya biashara pamoja na wewe kwa vitambaa* vya kuikalia juu ya farasi. 21 Ulitumikisha Waarabu na wakubwa wote wa Kedari,+ wenye walikuwa wafanyabiashara wa wana-kondoo na kondoo-dume na mbuzi.+ 22 Wafanyabiashara wa Sheba na Raama+ walifanya biashara pamoja na wewe; walitoa kila namna ya manukato ya muzuri sana, majiwe yenye samani, na zahabu ili kubadilishana na vitu vyako.+ 23 Harani,+ Kane, Edeni,+ wafanyabiashara wa Sheba,+ Asihuru,+ na Kilmadi walifanya biashara pamoja na wewe. 24 Katika soko lako walifanya biashara ya nguo zenye kupendeza, nguo za inje zenye kutengenezwa kwa kitambaa cha rangi ya bluu, michoro ya uzi ya rangi mbalimbali, na mazulia* ya rangi mbalimbali, yote yalifungwa na kukazwa kwa kamba.

25 Mashua* za Tarshishi+ zilikuwa misururu ya wasafiri kwa ajili ya vitu vyako vya biashara,

Kwa hiyo ukajaa na kulemewa na muzigo* katika moyo wa bahari kubwa.

26 Wapiga-makasia wako wamekuingiza katika bahari kubwa;

Upepo wa mashariki umekuvunja katika moyo wa bahari kubwa.

27 Utajiri wako, vitu vyako, vitu vyako vya biashara, wafanyakazi wako wa mashua, na watumishi wako wa mashua,*

Wale wenye kufunga mipasuko yako kwa kalafati, wale wenye kufanya biashara ya vitu vyako vya biashara,+ na watu wote wa vita+

⁠—​Kikundi chote cha watu wenye* kuwa ndani yako⁠—

Wote watazama katika moyo wa bahari kubwa siku yenye utaanguka.+

28 Wakati watumishi wako wa mashua* watalia kwa sauti kubwa, maeneo ya pembeni ya bahari yatatetemeka.

29 Wapiga-makasia wote, wafanyakazi wa mashua, watumishi wengine wa mashua*

Watashuka kutoka kwenye mashua zao na kusimama kwenye inchi kavu.

30 Watapandisha sauti zao na kukulilia kwa uchungu+

Watakuwa wakijitupia mavumbi kwenye vichwa vyao na kujigeuza-geuza katika majivu.

31 Watajitia upara na kuvaa nguo za magunia;

Watakuombolezea kwa uchungu* wakilia sana.

32 Katika maombolezo yao wataimba wimbo wa huzuni na kukuimbia,

‘Ni nani mwenye kuwa kama Tiro, mwenye sasa amenyamazishwa katikati ya bahari?+

33 Wakati vitu vyako vilifika kutoka katika bahari kubwa, ulishibisha vikundi vingi vya watu.+

Utajiri wako mwingi na vitu vyako vya biashara vilifanya wafalme wa dunia wakuwe matajiri.+

34 Sasa umevunjwa katika bahari kubwa, katika maji yenye kuenda chini sana,+

Na vitu vyako vyote vya biashara na watu wako wamezama pamoja na wewe.+

35 Wakaaji wote wa visiwa watakuangalia kwa mushangao,+

Na wafalme wao watatetemeka kwa sababu ya woga mukubwa+⁠—​nyuso zao zitakuwa na wasiwasi.

36 Wafanyabiashara kati ya mataifa watapiga muluzi kwa sababu ya kile chenye kilikupata.

Mwisho wako utafika kwa kushitukia na utakuwa mubaya,

Na wewe hautakuwa tena kwa wakati wote.’”’”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine