Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 22
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Kumbukumbu la Torati

      • Kuheshimia wanyama wa majirani (1-4)

      • Mwanaume kuvaa nguo za mwanamuke na mwanamuke kuvaa nguo za mwanaume (5)

      • Kutendea wanyama muzuri (6, 7)

      • Ukuta mufupi kwa ajili ya sehemu ya juu ya nyumba (8)

      • Michanganyiko yenye haifae (9-11)

      • Mafundo kwenye nguo (12)

      • Sheria kuhusu kuvunja kanuni katika mambo ya ngono (13-30)

Kumbukumbu la Torati 22:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:4

Kumbukumbu la Torati 22:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 7:12

Kumbukumbu la Torati 22:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:5; Law. 19:18; Lu 10:27; Gal 6:10

Kumbukumbu la Torati 22:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    9/2016, uku. 15

Kumbukumbu la Torati 22:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nyumba ya; kiota cha.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 22:28; Zab 145:9; Mez. 12:10; Mt 10:29

Kumbukumbu la Torati 22:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 11:2; Mdo 10:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/4/2013, uku. 10

    1/2/2001, uku. 4-5

Kumbukumbu la Torati 22:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 19:19

Kumbukumbu la Torati 22:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 12:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2003, uku. 32

Kumbukumbu la Torati 22:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 19:19

Kumbukumbu la Torati 22:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 15:38; Mt 23:2, 5

Kumbukumbu la Torati 22:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kisha anamukataa.”

Kumbukumbu la Torati 22:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Kumbukumbu la Torati 22:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “anamukataa.”

Kumbukumbu la Torati 22:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Kumbukumbu la Torati 22:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 18:21; Kum 1:13; 16:18
  • +Kum 25:2; Mez. 10:13; 19:29

Kumbukumbu la Torati 22:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “faini.”

  • *

    Shekeli moja ilikuwa sawa na grame 11.4 (aunsi troi 0.367). Angalia Nyongeza B14.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mal 2:16

Kumbukumbu la Torati 22:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ukahaba.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 13:4
  • +Law. 21:9
  • +Law. 11:45; 1 Kor. 5:13

Kumbukumbu la Torati 22:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 20:3; Kut 20:14; Law. 20:10; 1 Kor. 6:9, 10, 18

Kumbukumbu la Torati 22:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 20:10; Kum 5:18; 1 Tes. 4:3, 6; Ebr 13:4

Kumbukumbu la Torati 22:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “anamuua, anaua nafsi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 4:8; Hes 35:20, 21; Yak 2:11

Kumbukumbu la Torati 22:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 34:2, 5

Kumbukumbu la Torati 22:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 34:11, 12; Kut 22:16

Kumbukumbu la Torati 22:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “asifunue upindo wa nguo ya baba yake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 18:8; 20:11; Kum 27:20; 1 Kor. 5:1

Maandiko ingine

Kum. 22:1Kut 23:4
Kum. 22:2Mt 7:12
Kum. 22:4Kut 23:5; Law. 19:18; Lu 10:27; Gal 6:10
Kum. 22:6Law. 22:28; Zab 145:9; Mez. 12:10; Mt 10:29
Kum. 22:82 Sa. 11:2; Mdo 10:9
Kum. 22:9Law. 19:19
Kum. 22:10Mez. 12:10
Kum. 22:11Law. 19:19
Kum. 22:12Hes 15:38; Mt 23:2, 5
Kum. 22:18Kut 18:21; Kum 1:13; 16:18
Kum. 22:18Kum 25:2; Mez. 10:13; 19:29
Kum. 22:19Mal 2:16
Kum. 22:21Ebr 13:4
Kum. 22:21Law. 21:9
Kum. 22:21Law. 11:45; 1 Kor. 5:13
Kum. 22:22Mwa 20:3; Kut 20:14; Law. 20:10; 1 Kor. 6:9, 10, 18
Kum. 22:24Law. 20:10; Kum 5:18; 1 Tes. 4:3, 6; Ebr 13:4
Kum. 22:26Mwa 4:8; Hes 35:20, 21; Yak 2:11
Kum. 22:28Mwa 34:2, 5
Kum. 22:29Mwa 34:11, 12; Kut 22:16
Kum. 22:30Law. 18:8; 20:11; Kum 27:20; 1 Kor. 5:1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Kumbukumbu la Torati 22:1-30

Kumbukumbu la Torati

22 “Kama unamuona ngombe-dume wa ndugu yako ao kondoo wake akipotea njia, usijifanye kama haumuone. + Unapaswa kumurudisha kwa ndugu yako. 2 Lakini kama ndugu yako haishi karibu na wewe ao haumujue, utamupeleka munyama huyo kwenye nyumba yako, na atabakia kwako mupaka wakati ndugu yako atamutafuta. Kisha utamurudishia munyama huyo.+ 3 Ni vile utafanyia punda wake, nguo yake, na kitu chochote chenye ndugu yako amepoteza na wewe umekipata. Haupaswe kujifanya kama haukione.

4 “Kama unamuona punda wa ndugu yako ao ngombe-dume wake akianguka katika barabara, haupaswe kumuacha kwa makusudi. Unapaswa kumusaidia kusimamisha munyama huyo.+

5 “Mwanamuke hapaswe kuvaa nguo ya mwanaume, na mwanaume hapaswe kuvaa nguo ya mwanamuke. Kwa maana kila mutu mwenye kufanya vile ni chukizo kwa Yehova Mungu wako.

6 “Kama unapata katika njia chicha ya* ndege yenye vitoto ao mayai, ikuwe katika muti ao chini, na mama amekaa juu ya vitoto ao mayai, haupaswe kukamata mama pamoja na kitoto chake.+ 7 Hakikisha umemufukuza mama, lakini unaweza kukamata kitoto kwa ajili yako. Fanya vile ili mambo yakuendee muzuri na uishi wakati murefu.

8 “Kama unajenga nyumba mupya, unapaswa pia kujenga ukuta mufupi kwa ajili ya sehemu ya juu ya nyumba yako,+ ili usilete hatia ya damu juu ya nyumba yako kwa sababu ya mutu kuanguka kutoka kwenye nyumba yako.

9 “Haupaswe kupanda aina mbili za mbegu katika shamba lako la mizabibu.+ Kama unafanya vile, mazao yote ya mbegu yenye ulipanda na pia mazao ya shamba la mizabibu yatanyanganywa kwa ajili ya patakatifu.

10 “Haupaswe kulima kwa kutumia ngombe-dume na punda pamoja.+

11 “Haupaswe kuvaa nguo yenye ilitengenezwa kwa kuchanganya manyoya ya kondoo na kitani.+

12 “Utatengeneza mafundo kwenye pembe ine (4) za nguo yenye unavaa.+

13 “Kama mwanaume anachukua bibi na kulala naye lakini kisha anafikia kumuchukia* 14 na anamushitaki kwamba iko* na mwenendo mubaya na kumuharibishia sifa kwa kusema, ‘Nimechukua mwanamuke huyu, lakini wakati nililala naye, sikupata alama ya kuonyesha kwamba alikuwa bikira,’ 15 baba na mama ya mutoto huyo mwanamuke wataonyesha alama ya ubikira wa mutoto huyo mwanamuke kwa wazee kwenye mulango mukubwa wa muji. 16 Baba ya mutoto huyo mwanamuke atawaambia wazee hao, ‘Nilipatia mwanaume huyu binti yangu ili akuwe bibi yake, lakini anamuchukia* 17 na anamushitaki kwamba iko* na mwenendo mubaya kwa kusema, “Nimevumbua kwamba binti yako hana alama ya ubikira.” Sasa hii ndiyo alama ya ubikira wa binti yangu.’ Kisha watatandika nguo hiyo mbele ya wazee wa muji. 18 Wazee wa muji+ watamuchukua mwanaume huyo na kumutia nizamu.+ 19 Watamulipisha amande* ya shekeli* mia moja (100) za feza na kuzipatia baba ya mutoto huyo mwanamuke, kwa sababu mwanaume huyo alimuharibishia sifa bikira wa Israeli,+ na ataendelea kuwa bibi yake. Mwanaume huyo hataruhusiwa kuvunja ndoa naye sikuzote za maisha yake.

20 “Lakini, kama mashitaka hayo ni ya kweli, na hakuna alama ya kuonyesha kwamba mutoto huyo mwanamuke alikuwa bikira, 21 watapeleka inje mutoto huyo mwanamuke mupaka kwenye muingilio wa nyumba ya baba yake, na wanaume wa muji wake watamuua kwa kumupiga majiwe, kwa sababu ametenda jambo la haya+ katika Israeli kwa kufanya uasherati* katika nyumba ya baba yake.+ Ni vile unapaswa kuondoa mambo ya mubaya katikati yako.+

22 “Kama mwanaume anapatikana akilala na mwanamuke ambaye ni bibi ya mwanaume mwingine, wote wawili wanapaswa kuuawa pamoja, ule mwanaume mwenye alilala na mwanamuke na ule mwanamuke vilevile.+ Ni vile unapaswa kuondoa mambo ya mubaya katika Israeli.

23 “Kama bikira amechumbiwa na mwanaume, na mwanaume mwingine anakutana naye katika muji na kulala naye, 24 utawapeleka inje wote wawili mupaka kwenye mulango mukubwa wa muji huo na kuwaua kwa kuwapiga majiwe, mutoto huyo mwanamuke kwa sababu hakulalamika katika muji na mwanaume huyo kwa sababu alimupatisha haya bibi ya mwanaume mwenzake.+ Ni vile unapaswa kuondoa uovu katikati yako.

25 “Lakini, kama mwanaume huyo alikuta mutoto huyo mwanamuke mwenye kuchumbiwa katika eneo la mashamba na mwanaume huyo alimukamata kwa nguvu na kulala naye, mwanaume huyo mwenye alilala naye atakufa peke yake, 26 na haupaswe kumutendea jambo lolote mutoto huyo mwanamuke. Mutoto huyo mwanamuke hakutenda zambi yenye kustahili kifo. Hali hii ni sawa na ya mutu mwenye anashambulia mwenzake na kumuua.*+ 27 Kwa maana mwanaume huyo alimukuta katika eneo la mashamba, na mutoto huyo mwanamuke mwenye kuchumbiwa akalalamika, lakini hapakukuwa mutu wa kumuokoa.

28 “Kama mwanaume anakutana na mutoto mwanamuke mwenye kuwa bikira ambaye hajachumbiwa na anamukamata kwa nguvu na kulala naye na wanavumbuliwa,+ 29 mwanaume mwenye alilala naye anapaswa kupatia baba ya mutoto huyo mwanamuke shekeli makumi tano (50) za feza, na atakuwa bibi yake.+ Kwa sababu mwanaume huyo alimupatisha haya, hataruhusiwa kuvunja ndoa naye siku zote za maisha yake.

30 “Mwanaume yeyote hapaswe kuchukua bibi ya baba yake, ili asimupatishe haya baba yake.*+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine