Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Wimbo wa Sulemani 5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Wimbo wa Sulemani

    • MUSHULAMI AKIWA YERUSALEMU (3:6–8:4)

Wimbo wa Sulemani 5:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Wim 4:16
  • +Wim 4:13, 14
  • +Wim 4:11
  • +Wim 1:2

Wimbo wa Sulemani 5:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Wim 3:1
  • +Lu 2:8

Wimbo wa Sulemani 5:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nafsi yangu ilizimia.”

  • *

    Ao pengine, “nafsi yangu ilinitoka wakati alisema.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Wim 3:1, 3

Wimbo wa Sulemani 5:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kitambaa cha kufunika kichwa.”

Wimbo wa Sulemani 5:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “vishada vya tende.”

Wimbo wa Sulemani 5:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, pembeni ya chemchemi.

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2015, uku. 30

    15/11/2006, uku. 19

Wimbo wa Sulemani 5:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Wim 6:2
  • +Wim 1:13

Wimbo wa Sulemani 5:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2006, uku. 19

Wimbo wa Sulemani 5:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 92:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2006, uku. 19

Wimbo wa Sulemani 5:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Kaakaa lake.” Kaakaa ni sehemu ya juu ndani ya kinywa.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Wim 2:3

Maandiko ingine

Wim. 5:1Wim 4:16
Wim. 5:1Wim 4:13, 14
Wim. 5:1Wim 4:11
Wim. 5:1Wim 1:2
Wim. 5:2Wim 3:1
Wim. 5:2Lu 2:8
Wim. 5:6Wim 3:1, 3
Wim. 5:13Wim 6:2
Wim. 5:13Wim 1:13
Wim. 5:15Zab 92:12
Wim. 5:16Wim 2:3
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Wimbo wa Sulemani 5:1-16

Wimbo wa Sulemani

5 “Nimeingia katika bustani yangu,+

Ee dada yangu, bibi-arusi wangu.

Nimechuma manemane pamoja na manukato yangu.+

Nimekula sega la asali na asali yangu;

Nimekunywa divai yangu na maziwa yangu.”+

“Mukule, marafiki wangu!

Mukunywe na mulewe maonyesho ya upendo!”+

 2 “Nimelala, lakini moyo wangu uko macho.+

Kuko sauti ya mupenzi wangu akipiga hodi!

‘Unifungulie, Ee dada yangu, mupenzi wangu,

Njiwa wangu, wangu mwenye hana kasoro!

Kwa maana kichwa changu kimelowana umande,

Mashungi ya nywele zangu yamejaa umajimaji wa usiku.’+

 3 Nimetosha kanzu yangu.

Niivae tena?

Nimenawisha miguu yangu.

Niichafue tena?

 4 Mupenzi wangu aliondoa mukono wake kwenye tundu la mulango,

Na hisia zangu kumuelekea zikaamushwa.

 5 Nilisimama ili nimufungulie mupenzi wangu;

Mikono yangu ikaangusha matone-matone ya manemane,

Na vidole vyangu manemane ya maji,

Ikaangukia kwenye mikono ya kifungio cha mulango.

 6 Nilimufungulia mupenzi wangu,

Lakini mupenzi wangu alikuwa amegeuka, alikuwa ameenda zake.

Nilivunjika moyo* wakati alienda.*

Nilimutafuta, lakini sikumupata.+

Nikamuita, lakini hakunijibu.

 7 Walinzi wenye walikuwa wanazunguka katika muji walinipata.

Wakanipiga, wakaniumiza.

Walinzi wa kuta wakaninyanganya kitambaa changu kikubwa.*

 8 Ninawaapisha, Enyi mabinti wa Yerusalemu:

Kama munamupata mupenzi wangu,

Mumuambie kwamba ninagonjwa ugonjwa wa mapenzi.”

 9 “Mupenzi wako anashindia wapenzi wengine wote na nini,

Wewe mwenye sura na umbo ya muzuri sana kuliko wanamuke wote?

Mupenzi wako anashindia wapenzi wengine wote na nini,

Ili utuapishe vile?”

10 “Mupenzi wangu anangaa na ni mwekundu;

Anavutia zaidi kati ya wanaume elfu kumi (10 000).

11 Kichwa chake ni zahabu, zahabu safi sana.

Mashungi ya nywele zake ni kama majani ya muti wa mutende yenye kutikisika.*

Ni meusi kama kunguru.

12 Macho yake ni kama njiwa pembeni ya mito midogo ya maji,

Wananawa miili yao ndani ya maziwa,

Wamekaa pembeni ya kiziwa cha maji chenye kujaa sana.*

13 Mashavu yake ni kama bustani ya manukato,+

Vilima vya mimea yenye harufu ya muzuri.

Midomo yake ni maua ya mayungiyungi, yanaangusha matone-matone ya manemane ya maji.+

14 Mikono yake ni viviringo vya zahabu, vyenye kupambwa na krisolito.

Tumbo lake ni pembe ya tembo yenye kungarishwa na kupambwa na yakuti.

15 Miguu yake ni nguzo za marumaru zenye kuwekwa kwenye vikalio vya zahabu safi.

Sura yake ni kama Lebanoni, ni ya muzuri sana kama miti ya mierezi.+

16 Kinywa chake* ni utamu tu,

Na kila kitu kumuhusu ni chenye kupendeza.+

Huyo ndiye mupenzi wangu, huyo ndiye mupendwa wangu, Enyi mabinti wa Yerusalemu.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine