Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 21
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Kumbukumbu la Torati

      • Mauaji yenye yalifanywa na watu wenye hawajulikane (1-9)

      • Kuoa wanamuke wenye walikamatwa mateka (10-14)

      • Haki ya muzaliwa wa kwanza (15-17)

      • Mwana mwenye iko kichwa-nguvu (18-21)

      • Mutu mwenye alitundikwa kwenye muti amelaaniwa (22, 23)

Kumbukumbu la Torati 21:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 16:18

Kumbukumbu la Torati 21:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “bonde la muto.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 35:33

Kumbukumbu la Torati 21:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 28:1
  • +Hes 6:23-27; 1Nya 23:13
  • +Kum 17:8, 9

Kumbukumbu la Torati 21:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 26:6; Mt 27:24

Kumbukumbu la Torati 21:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:23
  • +Isa 26:21; Yer 26:15

Kumbukumbu la Torati 21:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 31:9; Kum 20:13, 14

Kumbukumbu la Torati 21:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 20:29; Kum 34:8

Kumbukumbu la Torati 21:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kulingana na nafsi yake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 24:1

Kumbukumbu la Torati 21:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

  • *

    Tnn., “bibi wawili, mumoja anapendwa na mwingine anachukiwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 29:30, 33

Kumbukumbu la Torati 21:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 25:31; 2Nya 21:3

Kumbukumbu la Torati 21:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:12; Kum 27:16; Mez. 1:8; Efe 6:1
  • +Kum 8:5; Mez. 13:24; 19:18; 23:13; Ebr 12:9

Kumbukumbu la Torati 21:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 28:7
  • +Rom. 13:13; 1 Kor. 6:10; Efe 5:18

Kumbukumbu la Torati 21:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 13:10, 11

Kumbukumbu la Torati 21:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 25:5
  • +Yosh. 10:26; Mdo 10:39

Kumbukumbu la Torati 21:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 8:29; Yoh 19:31
  • +Gal 3:13
  • +Hes 35:34

Maandiko ingine

Kum. 21:2Kum 16:18
Kum. 21:4Hes 35:33
Kum. 21:5Kut 28:1
Kum. 21:5Hes 6:23-27; 1Nya 23:13
Kum. 21:5Kum 17:8, 9
Kum. 21:6Zab 26:6; Mt 27:24
Kum. 21:82 Sa. 7:23
Kum. 21:8Isa 26:21; Yer 26:15
Kum. 21:10Hes 31:9; Kum 20:13, 14
Kum. 21:13Hes 20:29; Kum 34:8
Kum. 21:14Kum 24:1
Kum. 21:15Mwa 29:30, 33
Kum. 21:17Mwa 25:31; 2Nya 21:3
Kum. 21:18Kut 20:12; Kum 27:16; Mez. 1:8; Efe 6:1
Kum. 21:18Kum 8:5; Mez. 13:24; 19:18; 23:13; Ebr 12:9
Kum. 21:20Mez. 28:7
Kum. 21:20Rom. 13:13; 1 Kor. 6:10; Efe 5:18
Kum. 21:21Kum 13:10, 11
Kum. 21:22Hes 25:5
Kum. 21:22Yosh. 10:26; Mdo 10:39
Kum. 21:23Yosh. 8:29; Yoh 19:31
Kum. 21:23Gal 3:13
Kum. 21:23Hes 35:34
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Kumbukumbu la Torati 21:1-23

Kumbukumbu la Torati

21 “Kama mutu anapatikana ameuawa katika eneo la mashamba la inchi yenye Yehova Mungu wako anakupatia ili uiriti na haijulikane ni nani alimuua, 2 wazee na waamuzi wako+ wataenda na kupima umbali kutoka kwenye maiti hiyo mupaka kwenye miji yenye kuizunguka. 3 Kisha wazee wa muji wa karibu sana na maiti hiyo watakamata katika mifugo mwana-ngombe mwenye hajatumiwa hata siku moja kufanya kazi, mwenye hajakokota nira hata siku moja, 4 na wazee wa muji huo watapeleka mwana-ngombe huyo kwenye bonde* lenye kutiririka maji lenye halijalimwa wala kupandwa mbegu, na watamuvunja shingo mwana-ngombe huyo kule katika bonde.+

5 “Na makuhani, Walawi, watakaribia kwa sababu Yehova Mungu wako amewachagua wamutolee utumishi,+ watangaze baraka katika jina la Yehova.+ Watatangaza namna kila mabishano yenye kuhusisha jeuri yanapaswa kumalizwa.+ 6 Kisha wazee wote wa muji wenye kuwa karibu sana na maiti hiyo watanawa mikono yao+ juu ya mwana-ngombe huyo mwenye alivunjwa shingo katika bonde, 7 na watasema, ‘Mikono yetu haikumwanga damu hii, wala macho yetu hayakuona wakati ilimwangwa. 8 Usihesabie jambo hili juu ya watu wako Israeli, wenye ulikomboa,+ Ee Yehova, na usiache hatia ya damu yenye haina kosa ibakie kati ya watu wako Israeli.’+ Basi hatia hiyo ya damu haitahesabiwa juu yao. 9 Katika njia hiyo utaondoa hatia ya damu yenye haina kosa katikati yako kwa kufanya mambo yenye kuwa sawa mbele ya macho ya Yehova.

10 “Kama unaenda kupigana vita na maadui wako na Yehova Mungu wako anawashinda kwa ajili yako na unawakamata mateka,+ 11 na unaona mwanamuke mwenye sura na umbo ya muzuri kati ya watu hao wenye walikamatwa mateka na unavutiwa naye na unataka kumukamata akuwe bibi yako, 12 unaweza kumuleta katika nyumba yako. Kisha atanyoa kichwa chake, atatunza kucha zake, 13 na kutosha nguo yake ya utekwa, na atakaa katika nyumba yako. Atamulia baba yake na mama yake kwa mwezi muzima,+ na kisha unaweza kulala naye; utakuwa bwana yake naye atakuwa bibi yako. 14 Lakini kama haupendezwe naye, basi utamuacha aende zake+ mahali popote penye anataka.* Lakini hauwezi kumuuzisha ili upate feza ao kumutendea kwa ukali, kwa sababu umemupatisha haya.

15 “Kama mwanaume iko* na bibi wawili na anamupenda mumoja kupita mwingine* na wote wawili wamemuzalia wana na mwana muzaliwa wa kwanza ni wa mwanamuke mwenye hapendwe,+ 16 siku atapatia wana wake uriti wake, hataruhusiwa kumutendea mwana wa mwanamuke mwenye anapendwa sawa vile ni muzaliwa wake wa kwanza na kupuuza mwana wa mwanamuke mwenye hapendwe, ule muzaliwa wa kwanza. 17 Anapaswa kumutambua mwana wa mwanamuke mwenye hapendwe kuwa muzaliwa wa kwanza kwa kumupatia sehemu mbili za kila kitu chenye iko* nacho, kwa sababu mwana huyo ndiye mwanzo wa nguvu zake za uzazi. Haki ya muzaliwa wa kwanza ni yake.+

18 “Kama mutu iko* na mwana mwenye iko* kichwa-nguvu na muasi na hamutii baba yake ao mama yake,+ na wamejaribu kumurekebisha lakini anakataa kuwasikiliza,+ 19 baba yake na mama yake watamushika na kumupeleka kwa wazee kwenye mulango mukubwa wa muji wake 20 na kuambia wazee wa muji wake, ‘Huyu mwana wetu iko* kichwa-nguvu na ni muasi, anakataa kututii. Ni mulafi+ na mulevi.’+ 21 Basi watu wote wa muji wake wanapaswa kumuua kwa kumupiga majiwe. Ni vile unapaswa kuondoa mambo ya mubaya katikati yako, na Israeli wote watasikia na kuogopa.+

22 “Kama mutu anatenda zambi yenye kustahili hukumu ya kifo na ameuawa+ na umemutundika kwenye muti,+ 23 maiti yake haipaswe kubakia kwenye muti usiku wote.+ Lakini, utahakikisha kwamba unamuzika siku hiyo, kwa sababu mutu mwenye ametundikwa ni kitu chenye kulaaniwa na Mungu,+ na haupaswe kuchafua inchi yako yenye Yehova Mungu wako anakupatia kuwa uriti.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine