Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 14
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Ezekieli

      • Waabudu-sanamu wanalaumiwa (1-11)

      • Hukumu juu ya Yerusalemu haiwezi kuepukwa (12-23)

        • Noa, Danieli, na Yobu, watu wenye haki (14, 20)

Ezekieli 14:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 33:30, 31

Ezekieli 14:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Pengine neno la Kiebrania lenye linatumiwa hapa linahusiana na maneno “mavi ya wanyama” na linatumiwa ili kuonyesha zarau.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 3:13; Isa 1:15; Yer 11:11

Ezekieli 14:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nitakamata nyumba ya Israeli katika moyo wao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 2:5

Ezekieli 14:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 55:7

Ezekieli 14:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 21:1, 2; Eze 33:31

Ezekieli 14:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 20:2, 3

Ezekieli 14:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 22:21, 22; Yer 4:10; 2 Tes. 2:10, 11

Ezekieli 14:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 24:7; Eze 11:19, 20

Ezekieli 14:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nitavunja fimbo zake za mikate.” Inawezekana ni fimbo zenye zilikuwa zinatumiwa ili kuwekea mikate.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:26
  • +Isa 3:1; Yer 15:2
  • +Yer 7:20

Ezekieli 14:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wangeweza kuokoa nafsi yao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 6:8, 9; Ebr 11:7
  • +Da. 10:11
  • +Yob 1:8; 42:8
  • +Mez. 11:4; Yer 15:1; 2 Pe. 2:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    5/2016, uku. 30

    Amuka!,

    4/2009, uku. 26

Ezekieli 14:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuifanya ikose watoto.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:22; Yer 15:3

Ezekieli 14:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:25; Yer 25:9; Eze 21:3
  • +Sef 1:3

Ezekieli 14:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:21, 22

Ezekieli 14:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wangeokoa nafsi yao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 7:1
  • +Da. 10:11
  • +Yob 1:8; 42:8
  • +Eze 18:20; Sef 2:3

Ezekieli 14:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “matendo yangu ine ya hukumu yenye kuumiza.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 15:2
  • +Eze 5:17; 33:27
  • +Yer 32:43

Ezekieli 14:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:31; 2Nya 36:20; Eze 6:8; Mik 5:7

Ezekieli 14:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 9:33; Yer 22:8, 9; Eze 9:9; Da. 9:7

Maandiko ingine

Eze. 14:1Eze 33:30, 31
Eze. 14:32 Fal. 3:13; Isa 1:15; Yer 11:11
Eze. 14:5Yer 2:5
Eze. 14:6Isa 55:7
Eze. 14:7Yer 21:1, 2; Eze 33:31
Eze. 14:8Law. 20:2, 3
Eze. 14:91 Fal. 22:21, 22; Yer 4:10; 2 Tes. 2:10, 11
Eze. 14:11Yer 24:7; Eze 11:19, 20
Eze. 14:13Law. 26:26
Eze. 14:13Isa 3:1; Yer 15:2
Eze. 14:13Yer 7:20
Eze. 14:14Mwa 6:8, 9; Ebr 11:7
Eze. 14:14Da. 10:11
Eze. 14:14Yob 1:8; 42:8
Eze. 14:14Mez. 11:4; Yer 15:1; 2 Pe. 2:9
Eze. 14:15Law. 26:22; Yer 15:3
Eze. 14:17Law. 26:25; Yer 25:9; Eze 21:3
Eze. 14:17Sef 1:3
Eze. 14:19Kum 28:21, 22
Eze. 14:20Mwa 7:1
Eze. 14:20Da. 10:11
Eze. 14:20Yob 1:8; 42:8
Eze. 14:20Eze 18:20; Sef 2:3
Eze. 14:21Yer 15:2
Eze. 14:21Eze 5:17; 33:27
Eze. 14:21Yer 32:43
Eze. 14:22Kum 4:31; 2Nya 36:20; Eze 6:8; Mik 5:7
Eze. 14:23Ne 9:33; Yer 22:8, 9; Eze 9:9; Da. 9:7
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Ezekieli 14:1-23

Ezekieli

14 Na wamoja kati ya wazee wa Israeli wakakuja na kukaa mbele yangu.+ 2 Kisha neno la Yehova likakuja kwangu, na kusema: 3 “Mwana wa binadamu, wanaume hawa wameazimia kufuata sanamu zao zenye kuchukiza,* na wamesimamisha kikwazo chenye kinafanya watu watende zambi. Je, niwaache waniulize?+ 4 Sasa sema nao na uwaambie, ‘Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: “Kama Mwisraeli ameazimia kufuata sanamu zake zenye kuchukiza na anasimamisha kikwazo chenye kinafanya watu watende zambi na kisha anaenda kumuuliza nabii, Mimi, Yehova, nitamujibu sawasawa kulingana na sanamu zake nyingi zenye kuchukiza. 5 Kwa maana nitaleta woga mukubwa katika mioyo ya nyumba ya Israeli* kwa sababu wote wameniacha na wamefuata sanamu zao zenye kuchukiza.”’+

6 “Basi ambia nyumba ya Israeli, ‘Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: “Murudie na muache sanamu zenu zenye kuchukiza na mugeuze nyuso zenu kutoka kwa mazoea yenu yote yenye kuchukiza.+ 7 Kwa maana kama Mwisraeli yeyote ao mugeni mwenye kuishi katika Israeli anajitenga na mimi na anaazimia kufuata sanamu zake zenye kuchukiza na anasimamisha kikwazo chenye kinafanya watu watende zambi na kisha anakuja kumuuliza nabii wangu,+ Mimi, Yehova, nitamujibu mwenyewe. 8 Nitakunja uso wangu juu ya mutu huyo na kumufanya kuwa alama ya kuonya na usemi wa kimezali, na nitamuondoa asikuwe tena katikati ya watu wangu;+ na ninyi mutalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.”’

9 “‘Lakini kama nabii anadanganywa na anajibu, ni Mimi, Yehova, mwenye nimemudanganya nabii huyo.+ Kisha nitanyoosha mukono wangu juu yake na kumuharibu asikuwe tena katikati ya watu wangu Israeli. 10 Watalazimika kubeba hatia yao; hatia ya mwenye kuuliza itakuwa sawa na hatia ya nabii, 11 ili nyumba ya Israeli iache kutanga-tanga kutoka kwangu na waache kujichafua kupitia makosa yao yote. Nao watakuwa watu wangu, na mimi nitakuwa Mungu wao,’+ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema.”

12 Na neno la Yehova likakuja tena kwangu, na kusema: 13 “Mwana wa binadamu, kama inchi inanitendea zambi kwa kutenda kwa kukosa uaminifu, nitanyoosha mukono wangu juu yake na kuharibu akiba yake ya chakula*+ na nitatuma njaa juu yake+ na kumuondoa mwanadamu na munyama ndani yake.”+ 14 “‘Hata kama watu hawa watatu​—⁠Noa,+ Danieli,+ na Yobu+​—⁠wangekuwa ndani ya inchi hiyo, wangeweza kujiokoa wao wenyewe* tu kwa sababu ya haki yao,’+ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema.”

15 “‘Ao kama ninapitisha wanyama hatari wa pori katika inchi hiyo nao wanaifanya ikuwe bila watu* na kuifanya kuwa eneo lenye kuwa ukiwa bila mutu yeyote wa kupita ndani yake kwa sababu ya wanyama wa pori.+ 16 Kama vile hakika ninaishi,’ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema, ‘hata kama watu hao watatu wangekuwa katika inchi hiyo, hawangeokoa watoto wao wanaume wala watoto wao wanamuke; wangejiokoa wao wenyewe tu, na inchi ingekuwa ukiwa.’”

17 “‘Ao kama ningeleta upanga juu ya inchi hiyo+ na kusema: “Upanga upite katikati ya inchi,” na uondoe mwanadamu na munyama ndani yake,+ 18 hata kama watu hao watatu (3) wangekuwa ndani yake, kama vile hakika ninaishi,’ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema, ‘hawangeokoa watoto wao wanaume wala watoto wao wanamuke; wangejiokoa wao wenyewe tu.’”

19 “‘Ao kama ningeleta ugonjwa wa kuambukiza katika inchi hiyo+ na kumwanga kasirani yangu kali juu yake kwa umwangaji wa damu ili kumuondoa mwanadamu na munyama ndani yake, 20 hata kama Noa,+ Danieli,+ na Yobu+ wangekuwa ndani yake, kama vile hakika ninaishi,’ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema, ‘hawangeokoa watoto wao wanaume wala watoto wao wanamuke; wangejiokoa wao wenyewe* tu kwa sababu ya haki yao.’”+

21 “Kwa maana Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: ‘Itakuwa vile wakati nitatuma azabu zangu ine (4)*+​—⁠upanga, njaa, munyama hatari wa pori, na ugonjwa wa kuambukiza+​—⁠juu ya Yerusalemu ili kumuondoa mwanadamu na munyama ndani yake.+ 22 Lakini, wamoja wenye watabakia ndani yake wataponyoka na kuletwa inje,+ watoto wanaume na watoto wanamuke. Wanakuja kwenu, na wakati mutaona njia zao na matendo yao, kwa hakika mutafarijiwa kuhusu musiba wenye nilileta juu ya Yerusalemu, juu ya kila kitu chenye nilitendea muji huo.’”

23 “‘Watawafariji wakati mutaona njia zao na matendo yao, na mutajua kwamba sikutenda bila sababu wakati nilifanya kile chenye nililazimika kutendea muji huo,’+ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine