Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 3
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Ezekieli

      • Ezekieli anapaswa kula kitabu cha kukunjwa chenye Mungu alimupatia (1-15)

      • Ezekieli anapaswa kuwa mulinzi (16-27)

        • Kupuuza kunaleta hatia ya damu (18-21)

Ezekieli 3:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kula kitu chenye unapata.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ufu 10:9, 10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Utumishi na Maisha ya Mukristo—Buku la Mukutano,

    6/2017, uku. 5

Ezekieli 3:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:103; Yer 15:16; Ufu 10:9, 10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Utumishi na Maisha ya Mukristo—Buku la Mukutano,

    6/2017, uku. 5

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2008, uku. 8-9

    1/7/2007, uku. 12

Ezekieli 3:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yon 3:4, 5; Mt 11:21

Ezekieli 3:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 10:16
  • +Kut 34:9; Yer 3:3; 5:3

Ezekieli 3:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 1:18, 19; 15:20; Mik 3:8

Ezekieli 3:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 50:7
  • +Yer 17:18

Ezekieli 3:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wa wana wa watu wako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 24:12, 14
  • +Eze 2:5

Ezekieli 3:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 8:3

Ezekieli 3:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mipeto; pneus.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 1:24
  • +Eze 10:16

Ezekieli 3:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 1:3
  • +Yer 23:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/7/2007, uku. 13

Ezekieli 3:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 21:8; 62:6; Yer 6:17
  • +Isa 58:1; Eze 33:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 137

Ezekieli 3:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nitakuomba utoe hesabu kwa sababu ya damu yake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 2:40; 1 Tim. 4:16
  • +Eze 33:4
  • +Eze 33:8

Ezekieli 3:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 33:9; Mdo 18:6; 20:26

Ezekieli 3:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ yenye hayako ya haki.”

  • *

    Ao “nitakuomba utoe hesabu kwa sababu ya damu yake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 18:24, 26; 33:12, 18
  • +Law. 19:17; Eze 33:6; Ebr 13:17

Ezekieli 3:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 17:10; Eze 33:14, 15; Yak 5:19, 20

Ezekieli 3:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 1:27, 28
  • +Eze 1:1

Ezekieli 3:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 2:2; Da. 10:19

Ezekieli 3:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/12/2003, uku. 29

Ezekieli 3:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 24:27; 33:22
  • +Mt 11:15
  • +Isa 30:9

Maandiko ingine

Eze. 3:1Ufu 10:9, 10
Eze. 3:3Zab 119:103; Yer 15:16; Ufu 10:9, 10
Eze. 3:6Yon 3:4, 5; Mt 11:21
Eze. 3:7Lu 10:16
Eze. 3:7Kut 34:9; Yer 3:3; 5:3
Eze. 3:8Yer 1:18, 19; 15:20; Mik 3:8
Eze. 3:9Isa 50:7
Eze. 3:9Yer 17:18
Eze. 3:112 Fal. 24:12, 14
Eze. 3:11Eze 2:5
Eze. 3:12Eze 8:3
Eze. 3:13Eze 1:24
Eze. 3:13Eze 10:16
Eze. 3:15Eze 1:3
Eze. 3:15Yer 23:9
Eze. 3:17Isa 21:8; 62:6; Yer 6:17
Eze. 3:17Isa 58:1; Eze 33:7
Eze. 3:18Mdo 2:40; 1 Tim. 4:16
Eze. 3:18Eze 33:4
Eze. 3:18Eze 33:8
Eze. 3:19Eze 33:9; Mdo 18:6; 20:26
Eze. 3:20Eze 18:24, 26; 33:12, 18
Eze. 3:20Law. 19:17; Eze 33:6; Ebr 13:17
Eze. 3:21Mez. 17:10; Eze 33:14, 15; Yak 5:19, 20
Eze. 3:23Eze 1:27, 28
Eze. 3:23Eze 1:1
Eze. 3:24Eze 2:2; Da. 10:19
Eze. 3:27Eze 24:27; 33:22
Eze. 3:27Mt 11:15
Eze. 3:27Isa 30:9
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Ezekieli 3:1-27

Ezekieli

3 Kisha akaniambia: “Mwana wa binadamu, kula kitu chenye kuwa mbele yako.* Kula kitabu hiki cha kukunjwa, na uende, uzungumuze na nyumba ya Israeli.”+

2 Kwa hiyo nikafungua kinywa changu, na akanikulisha kile kitabu. 3 Akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, kula kitabu hiki cha kukunjwa chenye ninakupatia, na ukijaze katika tumbo lako.” Kwa hiyo nikaanza kukikula, na kilikuwa kitamu kama asali katika kinywa changu.+

4 Akaniambia: “Mwana wa binadamu, ingia kati ya nyumba ya Israeli na uwaambie maneno yangu. 5 Kwa maana hautumwe kwa watu wenye kuzungumuza luga yenye haieleweke wala usemi wenye haujulikane, lakini kwa nyumba ya Israeli. 6 Hautumwe kwa vikundi vingi vya watu wenye kuzungumuza luga yenye haieleweke wala usemi wenye haujulikane, wenye maneno yao hauwezi kuelewa. Kama ningekutuma kwao, wangekusikiliza.+ 7 Lakini nyumba ya Israeli, watakataa kukusikiliza, kwa maana hawataki kunisikiliza mimi.+ Watu wote wa nyumba ya Israeli wako kichwa-nguvu na wako na moyo mugumu.+ 8 Angalia! Nimefanya uso wako ukuwe mugumu sawasawa na nyuso zao na paji la uso wako likuwe nguvu sawasawa na mapaji ya nyuso zao.+ 9 Nimefanya paji la uso wako likuwe kama almasi, nguvu kuliko jiwe ngumu.+ Usiwaogope, wala kutetemeshwa na nyuso zao,+ kwa maana wao ni nyumba yenye kuasi.”

10 Akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, tia katika moyo wako na usikilize maneno yangu yote yenye ninakuambia. 11 Ingia kati ya watu wenye walihamishwa wa watu wako*+ na uzungumuze nao. Uwaambie, ‘Haya ndiyo mambo yenye Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema,’ kama watasikiliza ao watakataa kusikiliza.”+

12 Kisha roho ikanibeba+ na nikasikia nyuma yangu sauti ya mungurumo mukubwa yenye ilisema: “Utukufu wa Yehova ubarikiwe katika mahali pake.” 13 Kulikuwa sauti ya mabawa ya vile viumbe vyenye uzima wakati yaligusana,+ na sauti ya magurudumu* karibu nayo,+ na sauti ya mungurumo mukubwa. 14 Na roho ikanipeleka na kunibeba, na nikaenda kwa uchungu na kwa kasirani kali ya roho yangu, na mukono wa Yehova ukatulia juu yangu kwa nguvu. 15 Kwa hiyo nikaenda kule Tel-abibu kwa watu wenye walihamishwa, wenye walikuwa wanakaa pembeni ya muto Kebari,+ na nilibakia kule kwenye walikuwa wanakaa; na katika hali ya kushangaa sana,+ nikakaa kati yao kwa siku saba (7).

16 Katika mwisho wa siku saba (7) neno la Yehova likakuja kwangu:

17 “Mwana wa binadamu, nimekuweka kuwa mulinzi kwa ajili ya nyumba ya Israeli;+ na wakati unasikia neno kutoka katika kinywa changu, unapaswa kuwaonya kutoka kwangu.+ 18 Wakati ninamuambia mutu muovu, ‘Hakika utakufa,’ lakini wewe haumuonye, na hauseme ili kumuonya muovu aache njia yake ya uovu kusudi aendelee kuishi,+ yeye atakufa kwa sababu ya kosa lake kwa kuwa yeye ni muovu,+ lakini damu yake nitaiomba kwako.*+ 19 Lakini kama unamuonya mutu muovu na hageuke na kuacha uovu wake na njia yake ya uovu, atakufa kwa sababu ya kosa lake, lakini wewe hakika utaokoa uzima wako* mwenyewe.+ 20 Lakini wakati mwenye haki anaacha haki yake na anafanya mabaya,* nitatia kikwazo mbele yake na atakufa.+ Kama haukumuonya, atakufa kwa sababu ya zambi yake na matendo yake yenye haki hayatakumbukwa, lakini nitakuomba damu yake.*+ 21 Lakini kama umemuonya mwenye haki ili asitende zambi, naye hatende zambi, hakika ataendelea kuishi kwa sababu alionywa,+ na wewe utakuwa umeokoa uzima wako.”*

22 Mukono wa Yehova ukakuja juu yangu kule, naye akaniambia: “Simama, uende kwenye bonde tambarare, na mimi nitazungumuza na wewe kule.” 23 Kwa hiyo nikasimama na kuenda kwenye bonde tambarare, na angalia! utukufu wa Yehova ulikuwa kule,+ kama utukufu wenye niliona pembeni ya muto Kebari,+ na nikaanguka uso chini. 24 Kisha roho ikaingia ndani yangu na kunifanya nisimame kwa miguu yangu,+ naye akazungumuza na mimi na kusema:

“Uende, ujifungie ndani ya nyumba yako. 25 Sasa wewe, mwana wa binadamu, watatia kamba juu yako na kukufunga nazo ili usiweze kutoka kati yao. 26 Na nitafanya ulimi wako ukamatane na sehemu ya juu ya kinywa chako, na utakuwa bubu, hautaweza kuwakaripia, kwa sababu wao ni nyumba yenye kuasi. 27 Lakini wakati nitazungumuza na wewe nitafungua kinywa chako, na unapaswa kuwaambia,+ ‘Haya ndiyo mambo yenye Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema.’ Mwenye kusikiliza asikilize,+ na mwenye kukataa kusikiliza akatae, kwa sababu wao ni nyumba yenye kuasi.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine