Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 19
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Mambo ya Nyakati

      • Yehu anamukemea Yehoshafati (1-3)

      • Mabadiliko yenye yalifanywa na Yehoshafati (4-11)

2 Mambo ya Nyakati 19:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kwa amani.”

  • *

    Ao “nyumba yake mwenyewe ya kifalme.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 18:31, 32

2 Mambo ya Nyakati 19:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 16:1
  • +2Nya 16:7
  • +1 Fal. 21:25
  • +Zab 139:21

2 Mambo ya Nyakati 19:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

  • *

    Ao “moyo wako umeazimia.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 14:1, 13
  • +2Nya 17:3-6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2015, uku. 6

    1/12/2005, uku. 21

    1/7/2003, uku. 17

    Mkaribie Yehova,

    uku. 245

2 Mambo ya Nyakati 19:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 17:14, 15
  • +2Nya 15:8

2 Mambo ya Nyakati 19:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 16:18

2 Mambo ya Nyakati 19:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 1:16, 17; Zab 82:1

2 Mambo ya Nyakati 19:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kata-midomo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 18:21
  • +Mwa 18:25; Kum 32:4
  • +Mdo 10:34; Rom. 2:11; 1 Pe. 1:17
  • +Kum 10:17; 16:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/8/2011, uku. 28

2 Mambo ya Nyakati 19:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 17:9; 21:5; 25:1

2 Mambo ya Nyakati 19:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wenye kujitoa kikamili.”

2 Mambo ya Nyakati 19:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 17:8

2 Mambo ya Nyakati 19:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “akuwe pamoja na mambo ya muzuri.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mal 2:7
  • +2Nya 15:2

Maandiko ingine

2 Nya. 19:12Nya 18:31, 32
2 Nya. 19:21 Fal. 16:1
2 Nya. 19:22Nya 16:7
2 Nya. 19:21 Fal. 21:25
2 Nya. 19:2Zab 139:21
2 Nya. 19:31 Fal. 14:1, 13
2 Nya. 19:32Nya 17:3-6
2 Nya. 19:4Yosh. 17:14, 15
2 Nya. 19:42Nya 15:8
2 Nya. 19:5Kum 16:18
2 Nya. 19:6Kum 1:16, 17; Zab 82:1
2 Nya. 19:7Kut 18:21
2 Nya. 19:7Mwa 18:25; Kum 32:4
2 Nya. 19:7Mdo 10:34; Rom. 2:11; 1 Pe. 1:17
2 Nya. 19:7Kum 10:17; 16:19
2 Nya. 19:8Kum 17:9; 21:5; 25:1
2 Nya. 19:10Kum 17:8
2 Nya. 19:11Mal 2:7
2 Nya. 19:112Nya 15:2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Mambo ya Nyakati 19:1-11

Cha Pili cha Mambo ya Nyakati

19 Kisha Mufalme Yehoshafati wa Yuda akarudia salama* kabisa+ kwenye nyumba yake mwenyewe* katika Yerusalemu. 2 Yehu+ mwana wa Hanani+ muonaji akaenda kukutana naye na akamuambia Mufalme Yehoshafati: “Je, waovu ndio unapaswa kusaidia,+ na je, wale wenye wanamuchukia Yehova ndio unapaswa kupenda?+ Kwa sababu hiyo kasirani ya Yehova iko juu yako. 3 Hata hivyo, kuko mambo ya muzuri yenye yamepatikana ndani yako,+ kwa sababu uliondoa kabisa miti mitakatifu* katika inchi na umetayarisha moyo wako* ili kumutafuta Mungu wa kweli.”+

4 Yehoshafati akaendelea kuishi katika Yerusalemu, na akatoka tena na kuenda kati ya watu kuanzia Beer-sheba mupaka kwenye eneo lenye milima la Efraimu,+ ili kuwarudisha kwa Yehova Mungu wa mababu zao.+ 5 Pia, aliweka waamuzi katika inchi yote katika miji yote ya Yuda yenye ngome, muji kisha muji.+ 6 Na akaambia waamuzi: “Mukuwe waangalifu juu ya mambo yenye munatenda, kwa maana hamuhukumu kwa ajili ya mwanadamu lakini kwa ajili ya Yehova, na yeye iko* pamoja na ninyi wakati munatoa hukumu.+ 7 Sasa woga wa Yehova ukuwe juu yenu.+ Mukuwe waangalifu juu ya mambo yenye munatenda, kwa maana kwa Yehova Mungu wetu hakuna ukosefu wa haki,+ hakuna ubaguzi,+ hakuna kupokea rushwa.”*+

8 Katika Yerusalemu pia, Yehoshafati aliweka Walawi fulani na makuhani na vichwa fulani vya jamaa za upande wa baba za Israeli ili watumike wakiwa waamuzi kwa ajili ya Yehova na kutatua kesi za hukumu kwa ajili ya wakaaji wa Yerusalemu.+ 9 Na akawaamuru: “Ni hivi munapaswa kufanya katika woga wa Yehova, kwa uaminifu na kwa moyo kamili:* 10 Kila mara wakati ndugu zenu wenye wanaishi katika miji yao wanaleta kesi ya hukumu yenye inahusu umwangaji wa damu+ ao ulizo juu ya sheria fulani, amri, masharti, ao maamuzi, munapaswa kuwaonya ili wasikuwe na hatia mbele ya Yehova; tofauti na hilo kasirani yake itakuja juu yenu na ndugu zenu. Hilo ndilo munapaswa kufanya, ili musikuwe na hatia. 11 Ndiye huyu Amaria mukubwa wa makuhani mwenye anawasimamia ninyi kwa ajili ya kila jambo la Yehova.+ Zebadia mwana wa Ishmaeli ndiye kiongozi wa nyumba ya Yuda kwa ajili ya kila jambo lenye linahusu mufalme. Na Walawi watatumika wakiwa maofisa kwa ajili yenu. Mukuwe wenye nguvu na mutende, na Yehova akuwe pamoja na wale wenye wanafanya mambo ya muzuri.”*+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine