Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 28
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Mambo ya Nyakati

      • Hotuba ya Daudi juu ya ujenzi wa hekalu (1-8)

      • Maagizo kwa Sulemani; plani ya ujenzi inatolewa (9-21)

1 Mambo ya Nyakati 28:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 27:1
  • +Kut 18:25
  • +1Nya 27:25, 29
  • +1Nya 3:1-9
  • +1Nya 11:10

1 Mambo ya Nyakati 28:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 132:3-5
  • +1Nya 22:2-4

1 Mambo ya Nyakati 28:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 17:4
  • +1Nya 22:7, 8

1 Mambo ya Nyakati 28:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 16:1, 13; 2 Sa. 7:8; Zab 89:20
  • +Mwa 49:10; 1Nya 5:2; Zab 60:7
  • +Ru 4:22
  • +1 Sa. 13:14; 16:11, 12

1 Mambo ya Nyakati 28:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 3:1-9
  • +1Nya 22:9
  • +1Nya 17:14; 2Nya 1:8

1 Mambo ya Nyakati 28:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:13, 14

1 Mambo ya Nyakati 28:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 17:13, 14; Zab 72:8
  • +Kum 12:1; 1 Fal. 6:12

1 Mambo ya Nyakati 28:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 6:3

1 Mambo ya Nyakati 28:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wenye kujitoa kikamili.”

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

  • *

    Ao “yenye kuwa tayari.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 10:12
  • +1 Sa. 16:7; 1Nya 29:17; Mez. 17:3; Ufu 2:23
  • +Kum 31:21; Zab 139:2
  • +Mt 7:7; Ebr 11:6; Yak 4:8
  • +Kum 31:17; 2Nya 15:2; Ebr 10:38

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2015, uku. 12

    1/11/2010, uku. 30

    15/10/2008, uku. 7

    15/2/2005, uku. 19

    Mkaribie Yehova, uku. 242

1 Mambo ya Nyakati 28:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nyumba ya kufunika zambi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 8:5
  • +2Nya 3:4
  • +Law. 16:2; 1 Fal. 6:19

1 Mambo ya Nyakati 28:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kupitia roho.”

  • *

    Ao “vitu vyenye vilitolewa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 6:36; 7:12
  • +1Nya 9:26; 26:20

1 Mambo ya Nyakati 28:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 24:1

1 Mambo ya Nyakati 28:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 4:7

1 Mambo ya Nyakati 28:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, mikate ya wonyesho.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 4:8, 19

1 Mambo ya Nyakati 28:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nyuma.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 7:48, 50

1 Mambo ya Nyakati 28:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 7:48
  • +Zab 18:10
  • +Kut 25:20; 1 Sa. 4:4; 1 Fal. 6:23

1 Mambo ya Nyakati 28:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 25:9, 40
  • +1Nya 28:11

1 Mambo ya Nyakati 28:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 31:6; Yosh. 1:6, 9; Rom. 8:31
  • +Yosh. 1:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    9/2017, uku. 28-29, 32

1 Mambo ya Nyakati 28:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 24:1
  • +1Nya 24:20
  • +Kut 36:1, 2
  • +1Nya 22:17; 28:1

Maandiko ingine

1 Nya. 28:11Nya 27:1
1 Nya. 28:1Kut 18:25
1 Nya. 28:11Nya 27:25, 29
1 Nya. 28:11Nya 3:1-9
1 Nya. 28:11Nya 11:10
1 Nya. 28:2Zab 132:3-5
1 Nya. 28:21Nya 22:2-4
1 Nya. 28:31Nya 17:4
1 Nya. 28:31Nya 22:7, 8
1 Nya. 28:41 Sa. 16:1, 13; 2 Sa. 7:8; Zab 89:20
1 Nya. 28:4Mwa 49:10; 1Nya 5:2; Zab 60:7
1 Nya. 28:4Ru 4:22
1 Nya. 28:41 Sa. 13:14; 16:11, 12
1 Nya. 28:51Nya 3:1-9
1 Nya. 28:51Nya 22:9
1 Nya. 28:51Nya 17:14; 2Nya 1:8
1 Nya. 28:62 Sa. 7:13, 14
1 Nya. 28:71Nya 17:13, 14; Zab 72:8
1 Nya. 28:7Kum 12:1; 1 Fal. 6:12
1 Nya. 28:8Kum 6:3
1 Nya. 28:9Kum 10:12
1 Nya. 28:91 Sa. 16:7; 1Nya 29:17; Mez. 17:3; Ufu 2:23
1 Nya. 28:9Kum 31:21; Zab 139:2
1 Nya. 28:9Mt 7:7; Ebr 11:6; Yak 4:8
1 Nya. 28:9Kum 31:17; 2Nya 15:2; Ebr 10:38
1 Nya. 28:11Ebr 8:5
1 Nya. 28:112Nya 3:4
1 Nya. 28:11Law. 16:2; 1 Fal. 6:19
1 Nya. 28:121 Fal. 6:36; 7:12
1 Nya. 28:121Nya 9:26; 26:20
1 Nya. 28:131Nya 24:1
1 Nya. 28:152Nya 4:7
1 Nya. 28:162Nya 4:8, 19
1 Nya. 28:171 Fal. 7:48, 50
1 Nya. 28:181 Fal. 7:48
1 Nya. 28:18Zab 18:10
1 Nya. 28:18Kut 25:20; 1 Sa. 4:4; 1 Fal. 6:23
1 Nya. 28:19Kut 25:9, 40
1 Nya. 28:191Nya 28:11
1 Nya. 28:20Kum 31:6; Yosh. 1:6, 9; Rom. 8:31
1 Nya. 28:20Yosh. 1:5
1 Nya. 28:211Nya 24:1
1 Nya. 28:211Nya 24:20
1 Nya. 28:21Kut 36:1, 2
1 Nya. 28:211Nya 22:17; 28:1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Mambo ya Nyakati 28:1-21

Cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

28 Kisha Daudi akakusanya wakubwa wote wa Israeli kule Yerusalemu: wakubwa wa makabila, wakubwa wa vikundi+ vyenye kutumikia mufalme, wakubwa wa maelfu na wakubwa wa mamia,+ wakubwa wa mali zote za mufalme na mifugo yake yote+ na wa wana wake,+ pamoja na maofisa wa makao ya mufalme na kila mwanaume mwenye nguvu na mwenye uwezo.+ 2 Kisha Mufalme Daudi akasimama kwa miguu yake na kusema:

“Munisikie, ndugu zangu na watu wangu. Ilikuwa tamaa ya moyo wangu kujenga nyumba kuwa mahali pa kupumuzikia kwa ajili ya sanduku la agano la Yehova na kuwa kiti cha miguu cha Mungu wetu,+ na nilifanya matayarisho ya kujenga.+ 3 Lakini Mungu wa kweli akaniambia, ‘Hautajenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ kwa maana wewe ni mutu wa vita, na umemwanga damu.’+ 4 Hata hivyo, Yehova Mungu wa Israeli alinichagua kutoka katika nyumba yote ya baba yangu nikuwe mufalme juu ya Israeli milele,+ kwa maana alichagua Yuda kuwa kiongozi+ na kutoka katika nyumba ya Yuda, nyumba ya baba yangu,+ na kati ya wana wa baba yangu, mimi ndiye alikubali, ili kunifanya kuwa mufalme juu ya Israeli yote.+ 5 Na kati ya wana wangu wote⁠—​kwa maana Yehova amenipatia wana wengi+⁠—​alimuchagua Sulemani+ mwana wangu akae kwenye kiti cha ufalme cha Yehova juu ya Israeli.+

6 “Akaniambia, ‘Sulemani mwana wako ndiye atajenga nyumba yangu na viwanja vyangu, kwa maana nimemuchagua yeye kuwa mwana wangu na nitakuwa baba yake.+ 7 Nitafanya imara kabisa ufalme wake milele+ kama atashika kabisa amri zangu na maamuzi yangu ya hukumu,+ kama vile anafanya sasa.’ 8 Basi, ninasema mbele ya macho ya Israeli wote, kutaniko la Yehova, na katika masikio ya Mungu wetu: Mushike kwa uangalifu na mutafute amri zote za Yehova Mungu wenu, ili muendelee kuwa katika inchi hii ya muzuri+ na kuiachia wana wenu kuwa uriti wa kudumu kisha ninyi.

9 “Na wewe, Sulemani mwana wangu, umujue Mungu wa baba yako na umutumikie kwa moyo kamili*+ na kwa nafsi* yenye furaha,* kwa maana Yehova anachunguza mioyo yote,+ na anatambua kila muelekeo wa fikira.+ Kama unamutafuta, atajiacha umupate,+ lakini kama unamuacha, atakukataa milele.+ 10 Ona sasa, kwa maana Yehova amekuchagua wewe ujenge nyumba ili ikuwe patakatifu. Ukuwe hodari na uanze kazi.”

11 Kisha Daudi akamupatia Sulemani mwana wake plani+ ya ujenzi ya baraza+ na ya nyumba zake, madepo yake, vyumba vyake vya juu, vyumba vyake vya ndani, na nyumba ya kifuniko cha kufunika zambi.*+ 12 Alimupatia plani ya ujenzi ya kila kitu chenye alijulishwa kupitia muongozo wa roho* kwa ajili ya viwanja+ vya nyumba ya Yehova, kwa ajili ya vyumba vyote vya kukulia chakula vyenye kuizunguka, kwa ajili ya hazina za nyumba ya Mungu wa kweli, na kwa ajili ya hazina za vitu vyenye vilifanywa kuwa vitakatifu;*+ 13 pia kwa ajili ya vikundi vya makuhani+ na Walawi, kwa ajili ya kazi zote za utumishi wa nyumba ya Yehova, na kwa ajili ya vyombo vyote vya utumishi wa nyumba ya Yehova; 14 pia kwa ajili ya uzito wa zahabu, zahabu kwa ajili ya vyombo vyote vya utumishi mbalimbali, uzito wa vyombo vyote vya feza, na kwa ajili ya vyombo vyote vya utumishi mbalimbali; 15 pia uzito kwa ajili ya vinara vya taa vya zahabu+ na taa zake za zahabu, uzito wa vinara mbalimbali vya taa na taa zake, na uzito wa vinara vya taa vya feza, kwa ajili ya kila kinara cha taa na taa zake kulingana na matumizi yake; 16 pia uzito wa zahabu kwa ajili ya meza za mikate yenye kupangwa moja juu ya ingine,*+ kwa ajili ya kila meza, na pia feza kwa ajili ya meza za feza, 17 kwa ajili ya makanya,* mabakuli, mitungi ya zahabu safi, na uzito wa mabakuli ya kidogo ya zahabu,+ kwa ajili ya kila bakuli la kidogo, na uzito wa mabakuli ya kidogo ya feza, kwa ajili ya kila bakuli la kidogo. 18 Pia alitoa uzito kwa ajili ya zahabu yenye ilisafishwa kwa ajili ya mazabahu ya uvumba+ na kwa ajili ya mufano wa lile gari,+ ni kusema, wale makerubi+ wa zahabu wenye walinyoosha mabawa yao na kufunika sanduku la agano la Yehova kwa kivuli. 19 Daudi akasema: “Mukono wa Yehova ulikuwa juu yangu, na alinipatia ufahamu wa kuandika+ mambo yote ya ile plani+ ya ujenzi.”

20 Kisha Daudi akamuambia Sulemani mwana wake: “Ukuwe hodari na mwenye nguvu na uanze kazi. Usiogope wala kuwa na hofu, kwa maana Yehova Mungu, Mungu wangu, iko* pamoja na wewe.+ Hatakuacha ao kukutupa,+ lakini atakuwa pamoja na wewe mupaka wakati kazi yote ya utumishi wa nyumba ya Yehova itamalizika. 21 Na hivi ndivyo vikundi vya makuhani+ na vya Walawi+ kwa ajili ya utumishi wote wa nyumba ya Mungu wa kweli. Uko na wafanyakazi wenye kuwa tayari, na wenye ujuzi wa kufanya utumishi wa kila namna,+ na pia wakubwa+ na watu wote wenye watatimiza maagizo yako yote.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine