Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 17
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Kumbukumbu la Torati

      • Zabihu hazipaswe kuwa na kasoro (1)

      • Kushugulikia mambo ya uasi-imani (2-7)

      • Kuamua mambo yenye kuwa nguvu (8-13)

      • Maagizo kwa ajili ya mufalme mwenye atatawala (14-20)

        • Mufalme anapaswa kuandika kopi ya Sheria (18)

Kumbukumbu la Torati 17:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 22:20; Kum 15:21; Mal 1:8

Kumbukumbu la Torati 17:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:23; 13:6-9

Kumbukumbu la Torati 17:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:19
  • +Kum 13:12-15

Kumbukumbu la Torati 17:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 7:51

Kumbukumbu la Torati 17:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 13:6, 10

Kumbukumbu la Torati 17:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kinywa cha.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 18:16; Yoh 8:17; 1 Tim. 5:19; Ebr 10:28
  • +Hes 35:30; Kum 19:15

Kumbukumbu la Torati 17:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 13:5; 1 Kor. 5:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 213

Kumbukumbu la Torati 17:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 35:11
  • +Kum 12:5; 1 Fal. 3:16, 28; Zab 122:2, 5

Kumbukumbu la Torati 17:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 7:15, 16
  • +Kum 19:17; 21:5

Kumbukumbu la Torati 17:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mal 2:7
  • +Kum 5:32; 12:32

Kumbukumbu la Torati 17:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 11:2; Ebr 10:28
  • +Kum 13:5; 1 Kor. 5:13

Kumbukumbu la Torati 17:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 13:11; 19:20

Kumbukumbu la Torati 17:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 8:5, 20; 10:19

Kumbukumbu la Torati 17:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 9:17; 10:24; 16:12, 13

Kumbukumbu la Torati 17:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 20:1; 2 Sa. 8:4; Zab 20:7; Mez. 21:31
  • +Isa 31:1

Kumbukumbu la Torati 17:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 11:1-3; Ne 13:26
  • +Yob 31:24, 28; 1 Tim. 6:9

Kumbukumbu la Torati 17:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kitabu cha kukunjwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 31:9, 26; 2 Fal. 22:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/3/2007, uku. 20

    “Kila Andiko,” uku. 36

Kumbukumbu la Torati 17:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 34:18
  • +Zab 1:2; 119:97

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2002, uku. 12-17

    1/10/2000, uku. 8

Maandiko ingine

Kum. 17:1Law. 22:20; Kum 15:21; Mal 1:8
Kum. 17:2Kum 4:23; 13:6-9
Kum. 17:3Kum 4:19
Kum. 17:3Kum 13:12-15
Kum. 17:4Yoh 7:51
Kum. 17:5Kum 13:6, 10
Kum. 17:6Mt 18:16; Yoh 8:17; 1 Tim. 5:19; Ebr 10:28
Kum. 17:6Hes 35:30; Kum 19:15
Kum. 17:7Kum 13:5; 1 Kor. 5:13
Kum. 17:8Hes 35:11
Kum. 17:8Kum 12:5; 1 Fal. 3:16, 28; Zab 122:2, 5
Kum. 17:91 Sa. 7:15, 16
Kum. 17:9Kum 19:17; 21:5
Kum. 17:11Mal 2:7
Kum. 17:11Kum 5:32; 12:32
Kum. 17:12Mez. 11:2; Ebr 10:28
Kum. 17:12Kum 13:5; 1 Kor. 5:13
Kum. 17:13Kum 13:11; 19:20
Kum. 17:141 Sa. 8:5, 20; 10:19
Kum. 17:151 Sa. 9:17; 10:24; 16:12, 13
Kum. 17:16Kum 20:1; 2 Sa. 8:4; Zab 20:7; Mez. 21:31
Kum. 17:16Isa 31:1
Kum. 17:171 Fal. 11:1-3; Ne 13:26
Kum. 17:17Yob 31:24, 28; 1 Tim. 6:9
Kum. 17:18Kum 31:9, 26; 2 Fal. 22:8
Kum. 17:192Nya 34:18
Kum. 17:19Zab 1:2; 119:97
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Kumbukumbu la Torati 17:1-20

Kumbukumbu la Torati

17 “Haupaswe kumutolea Yehova Mungu wako zabihu ya ngombe-dume ao kondoo mwenye kasoro ao mwenye kuwa na tatizo lolote, kwa sababu jambo hilo litakuwa chukizo kwa Yehova Mungu wako.+

2 “Kama mwanaume ao mwanamuke anapatikana kati yako, katika muji mumoja kati ya miji yenye Yehova Mungu wako anakupatia, mwenye kuzoea kufanya mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova Mungu wako na kuvunja agano lake,+ 3 na anajiendesha mubaya na kuabudu miungu mingine na kuinamia miungu hiyo ao jua ao mwezi ao jeshi lote la mbinguni,+ jambo lenye sijaamuru.+ 4 Wakati unaambiwa ao kusikia habari hiyo, basi unapaswa kuchunguza jambo hilo kwa uangalifu. Kama inahakikishwa kuwa ni kweli+ jambo hilo lenye kuchukiza limefanywa katika Israeli, 5 unapaswa kumupeleka inje ya milango mikubwa ya muji mwanaume ao mwanamuke mwenye amefanya uovu huo, na mwanaume ao mwanamuke huyo anapaswa kuuawa kwa kupigwa majiwe.+ 6 Kwa ushuhuda wa* mashahidi wawili ao watatu (3)+ ule mwenye anapaswa kufa atauawa. Hapaswe kuuawa kwa ushuhuda wa shahidi mumoja.+ 7 Mukono wa mashahidi unapaswa kuwa wa kwanza kuja juu yake ili kumuua, na mukono wa watu wote utafuata. Unapaswa kuondoa mambo ya mubaya katikati yako.+

8 “Kama kunatokea kesi ya hukumu yenye kuwa ngumu sana kwako kuamua katika muji mumoja kati ya miji yako, ikuwe kesi ya hukumu yenye inahusu kumwanga damu+ ao jambo la kuomba haki limetokezwa ao tendo la jeuri limefanywa ao mambo mengine ya mabishano, utasimama na kuenda mahali kwenye Yehova Mungu wako atachagua.+ 9 Uende kwa makuhani Walawi na kwa muamuzi+ mwenye kutumikia wakati huo, na uulize, na watakupatia uamuzi.+ 10 Kisha unapaswa kutenda kulingana na uamuzi wenye wanakupatia mahali pale kwenye Yehova anachagua. Ukuwe muangalifu ili kufanya kulingana na mambo yote yenye wanakuagiza. 11 Unapaswa kutenda kulingana na sheria yenye watakuonyesha na kulingana na uamuzi wenye watakuambia.+ Usigeuke na kuacha uamuzi wenye watakupatia, kwa kuenda kuume ao kushoto.+ 12 Mutu mwenye anatenda kwa kimbelembele kwa kukosa kumusikiliza kuhani mwenye anamutumikia Yehova Mungu wako ao kwa kukosa kumusikiliza muamuzi anapaswa kufa.+ Unapaswa kuondoa mambo ya mubaya katika Israeli.+ 13 Basi watu wote watasikia na kuogopa, na hawatatenda tena kwa kimbelembele.+

14 “Wakati utaingia katika inchi yenye Yehova Mungu wako anakupatia na wakati utakuwa umeikamata na kuishi ndani yake, na useme, ‘Niweke mufalme juu yangu kama vile mataifa yote yenye kunizunguka,’+ 15 katika hali hiyo, unapaswa kabisa kumuweka mufalme mwenye Yehova Mungu wako atachagua.+ Utamuweka mufalme kutoka kati ya ndugu zako. Unakatazwa kuweka juu yako mugeni mwenye haiko ndugu yako. 16 Lakini, hapaswe kujipatia farasi wengi+ ao kufanya watu warudie Misri ili kupata farasi wengi zaidi,+ kwa sababu Yehova aliwaambia, ‘Hamupaswe hata kidogo kurudia tena kupitia njia hii.’ 17 Wala hapaswe kujichukulia bibi wengi, ili moyo wake usipotoke;+ wala hapaswe kujipatia feza na zahabu nyingi sana.+ 18 Wakati atakaa kwenye kiti cha ufalme wake, anapaswa kujiandikia katika kitabu* kopi ya Sheria hii, kutoka katika kopi yenye makuhani Walawi wanaweka.+

19 “Kopi hiyo inapaswa kubakia pamoja naye, na anapaswa kusoma ndani yake siku zote za maisha yake,+ kusudi ajifunze kumuogopa Yehova Mungu wake na kushika maneno yote ya Sheria hii na masharti haya kwa kuyatenda.+ 20 Hivyo moyo wake hautajiinua juu ya ndugu zake, na hataacha amri hiyo, kwa kuenda kuume ao kushoto, ili abakie wakati murefu juu ya ufalme wake, yeye na wana wake katikati ya Israeli.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine