Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Ezekieli

      • Ezekieli anapewa mugao wa kuwa nabii (1-10)

        • ‘Kama watasikiliza ao hapana’ (5)

        • Anaonyeshwa kitabu cha kukunjwa chenye nyimbo za huzuni (9, 10)

Ezekieli 2:1

Maelezo ya Chini

  • *

    “Mwana wa binadamu”; hii ni mara ya kwanza kati ya mara 93 yenye maneno haya yanapatikana katika kitabu cha Ezekieli.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 10:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 133

Ezekieli 2:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 3:24

Ezekieli 2:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 36:15; Eze 33:7
  • +Isa 1:4; Yer 16:12
  • +Kum 9:24; Zab 78:8; Yer 3:25; Mdo 7:51

Ezekieli 2:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wenye uso mugumu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 3:7

Ezekieli 2:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 12:2
  • +Eze 3:11; 33:4, 15, 33; Yoh 15:22; Mdo 20:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2008, uku. 11

Ezekieli 2:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “hata kama watu wako kichwa-nguvu na wako kama vitu vyenye kukutoboa-toboa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 1:15; Lu 12:4
  • +Mik 7:4
  • +Isa 51:7
  • +Yer 1:8; Eze 3:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/7/2007, uku. 12

Ezekieli 2:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 1:17

Ezekieli 2:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 15:16; Ufu 10:9, 10

Ezekieli 2:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 1:9
  • +Eze 3:1

Ezekieli 2:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nyimbo za maombolezo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ufu 5:1
  • +Eze 19:1

Maandiko ingine

Eze. 2:1Da. 10:11
Eze. 2:2Eze 3:24
Eze. 2:32Nya 36:15; Eze 33:7
Eze. 2:3Isa 1:4; Yer 16:12
Eze. 2:3Kum 9:24; Zab 78:8; Yer 3:25; Mdo 7:51
Eze. 2:4Eze 3:7
Eze. 2:5Eze 12:2
Eze. 2:5Eze 3:11; 33:4, 15, 33; Yoh 15:22; Mdo 20:26
Eze. 2:62 Fal. 1:15; Lu 12:4
Eze. 2:6Mik 7:4
Eze. 2:6Isa 51:7
Eze. 2:6Yer 1:8; Eze 3:9
Eze. 2:7Yer 1:17
Eze. 2:8Yer 15:16; Ufu 10:9, 10
Eze. 2:9Yer 1:9
Eze. 2:9Eze 3:1
Eze. 2:10Ufu 5:1
Eze. 2:10Eze 19:1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Ezekieli 2:1-10

Ezekieli

2 Kisha akaniambia: “Mwana wa binadamu,* simama kwa miguu yako ili nizungumuze na wewe.”+ 2 Wakati alizungumuza na mimi, roho ikaingia ndani yangu na kunifanya nisimame kwa miguu yangu+ ili niweze kumusikia Ule mwenye kuzungumuza na mimi.

3 Akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, ninakutuma kwa watu wa Israeli,+ kwa mataifa yenye kuasi ambayo yameniasi.+ Wao na mababu zao wamenikosea mupaka leo hii.+ 4 Ninakutuma kwa wana wenye kuwa kichwa-nguvu* na wenye moyo mugumu,+ na unapaswa kuwaambia, ‘Haya ndiyo mambo yenye Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema.’ 5 Nao, kama watasikiliza ao watakataa kusikiliza​—⁠kwa maana wao ni nyumba yenye kuasi+​—⁠hakika watajua pia kwamba nabii alikuwa kati yao.+

6 “Lakini wewe, mwana wa binadamu, usiwaogope,+ na usiogope maneno yao, hata kama umezungukwa na michongoma na miiba*+ na unakaa kati ya nge. Usiogope maneno yao+ na usitishwe na nyuso zao,+ kwa maana wao ni nyumba yenye kuasi. 7 Unapaswa kuwaambia maneno yangu, kama watasikiliza ao hapana, kwa maana wao ni watu wenye kuasi.+

8 “Lakini wewe, mwana wa binadamu, sikiliza kile ninakuambia. Usikuwe muasi kama nyumba hii yenye kuasi. Fungua kinywa chako na ukule kile ninakupatia.”+

9 Wakati niliangalia, niliona mukono wenye ulikuwa umenyooshwa kunielekea,+ na katika mukono huo niliona kitabu cha kukunjwa chenye kuandikwa.+ 10 Wakati alikikunjua mbele yangu, kilikuwa kimeandikwa mbele na nyuma.+ Nyimbo za huzuni* na maombolezo na vilio vilikuwa vimeandikwa kwenye kitabu hicho.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine