Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 26
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Mambo ya Nyakati

      • Vikundi vya walinzi wa milango mikubwa (1-19)

      • Waweka-hazina na maofisa wengine (20-32)

1 Mambo ya Nyakati 26:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 9:2, 22; 2Nya 23:16, 19
  • +1Nya 26:14, 19

1 Mambo ya Nyakati 26:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 26:14, 19

1 Mambo ya Nyakati 26:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 16:33

1 Mambo ya Nyakati 26:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 26:4, 5

1 Mambo ya Nyakati 26:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 26:10, 11

1 Mambo ya Nyakati 26:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 26:15

1 Mambo ya Nyakati 26:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 26:16

1 Mambo ya Nyakati 26:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “vitu vyenye vilitolewa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 7:51; 14:25, 26; 1Nya 9:26; 18:10, 11

1 Mambo ya Nyakati 26:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 29:8

1 Mambo ya Nyakati 26:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 15:18

1 Mambo ya Nyakati 26:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 3:27

1 Mambo ya Nyakati 26:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 18:3, 4
  • +1Nya 23:17

1 Mambo ya Nyakati 26:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 31:50; 1Nya 18:10, 11
  • +1Nya 29:3, 4
  • +1Nya 29:6, 7

1 Mambo ya Nyakati 26:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 31:28
  • +Yosh. 6:19

1 Mambo ya Nyakati 26:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 9:9
  • +1 Sa. 14:50
  • +2 Sa. 20:23
  • +2 Sa. 2:18

1 Mambo ya Nyakati 26:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 23:12
  • +Kum 17:9; 2Nya 19:8

1 Mambo ya Nyakati 26:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 23:12

1 Mambo ya Nyakati 26:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 23:19
  • +1Nya 29:26, 27
  • +Yosh. 13:24, 25; 21:8, 39

Maandiko ingine

1 Nya. 26:11Nya 9:2, 22; 2Nya 23:16, 19
1 Nya. 26:11Nya 26:14, 19
1 Nya. 26:91Nya 26:14, 19
1 Nya. 26:13Mez. 16:33
1 Nya. 26:151Nya 26:4, 5
1 Nya. 26:161Nya 26:10, 11
1 Nya. 26:171Nya 26:15
1 Nya. 26:181Nya 26:16
1 Nya. 26:201 Fal. 7:51; 14:25, 26; 1Nya 9:26; 18:10, 11
1 Nya. 26:211Nya 29:8
1 Nya. 26:221 Fal. 15:18
1 Nya. 26:23Hes 3:27
1 Nya. 26:25Kut 18:3, 4
1 Nya. 26:251Nya 23:17
1 Nya. 26:26Hes 31:50; 1Nya 18:10, 11
1 Nya. 26:261Nya 29:3, 4
1 Nya. 26:261Nya 29:6, 7
1 Nya. 26:27Hes 31:28
1 Nya. 26:27Yosh. 6:19
1 Nya. 26:281 Sa. 9:9
1 Nya. 26:281 Sa. 14:50
1 Nya. 26:282 Sa. 20:23
1 Nya. 26:282 Sa. 2:18
1 Nya. 26:291Nya 23:12
1 Nya. 26:29Kum 17:9; 2Nya 19:8
1 Nya. 26:301Nya 23:12
1 Nya. 26:311Nya 23:19
1 Nya. 26:311Nya 29:26, 27
1 Nya. 26:31Yosh. 13:24, 25; 21:8, 39
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Mambo ya Nyakati 26:1-32

Cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

26 Ni hivyo vilikuwa vikundi vya walinzi wa milango mikubwa:+ kati ya Wakora, Meshelemia+ mwana wa Kore kati ya wana wa Asafu. 2 Na Meshelemia alikuwa na wana: Zekaria muzaliwa wa kwanza, wa pili Yediaeli, wa tatu (3) Zebadia, wa ine (4) Yatnieli, 3 wa tano (5) Elamu, wa sita (6) Yehohanani, wa saba (7) Elieho-enai. 4 Na Obed-edomu alikuwa na wana: Shemaya muzaliwa wa kwanza, wa pili Yehozabadi, wa tatu (3) Yoa, wa ine (4) Sakari, wa tano (5) Netaneli, 5 wa sita (6) Amieli, wa saba (7) Isakari, na wa munane (8) Peuletai; kwa maana Mungu alikuwa amemubariki.

6 Na Shemaya mwana wake alizaa wana wenye walikuwa watawala wa jamaa zao za upande wa baba, kwa maana walikuwa wenye nguvu, wanaume wenye uwezo. 7 Wana wa Shemaya: Otni, Refaeli, Obedi, na Elzabadi; na ndugu zake Elihu na Semakia, walikuwa pia wanaume wenye uwezo. 8 Hao wote walikuwa wa wana wa Obed-edomu; wao pamoja na wana wao na ndugu zao walikuwa wanaume wenye uwezo na wenye kustahili kwa ajili ya utumishi, wanaume makumi sita na mbili (62) wa Obed-edomu. 9 Na Meshelemia+ alikuwa na wana na ndugu, wanaume kumi na munane (18) wenye uwezo. 10 Na Hosa kutoka kati ya wana wa Merari alikuwa na wana. Shimri ndiye alikuwa kichwa, kwa maana hata kama hakukuwa muzaliwa wa kwanza, baba yake alimuweka kuwa kichwa, 11 wa pili Hilkia, wa tatu (3) Tebalia, wa ine (4) Zekaria. Wana wote wa Hosa na ndugu zake walikuwa kumi na tatu (13).

12 Kati ya vikundi hivyo vya walinzi wa milango mikubwa, vichwa walikuwa na kazi kama vile zile zenye ndugu zao walikuwa nazo, kufanya utumishi kwenye nyumba ya Yehova. 13 Basi wakapiga kura,+ mudogo sawa na mukubwa kulingana na jamaa zao za upande wa baba, kwa ajili ya milango mikubwa mbalimbali. 14 Kisha kura ya upande wa mashariki ikaangukia Shelemia. Kwa ajili ya Zekaria mwana wake, mushauri mwenye busara, wakapiga kura, na kura yake ikaangukia upande wa kaskazini. 15 Obed-edomu alipata yake upande wa kusini, na wana wake+ walipewa madepo. 16 Shupimu na Hosa+ walipata yao upande wa mangaribi, karibu na Mulango Mukubwa wa Shaleketi karibu na njia kubwa yenye kupanda, kikundi cha ulinzi kikielekeana na kikundi kingine cha ulinzi; 17 kulikuwa Walawi sita (6) upande wa mashariki; ine (4) kila siku upande wa kaskazini, na ine kila siku upande wa kusini; na kwa ajili ya madepo,+ wawili-wawili; 18 kwa ajili ya baraza upande wa mangaribi, kulikuwa ine (4) kwenye njia kubwa+ na wawili kwenye baraza. 19 Ni hivyo vilikuwa vikundi vya walinzi wa milango mikubwa kutoka kwa wana wa Wakora na wana wa Wamerari.

20 Kuhusu Walawi, Ahiya alisimamia hazina za nyumba ya Mungu wa kweli na hazina za vitu vyenye vilifanywa kuwa vitakatifu.*+ 21 Wana wa Ladani: wana wa Mugershoni wa Ladani, vichwa vya jamaa za upande wa baba za Ladani Mugershoni, Yehieli+ 22 na wana wa Yehieli, Zetamu na Yoeli ndugu yake. Walisimamia hazina za nyumba ya Yehova.+ 23 Kutoka kwa Waamramu, Waishari, Wahebroni, na Wauzieli,+ 24 Shebueli mwana wa Gershomu mwana wa Musa alikuwa kiongozi mwenye kusimamia madepo. 25 Na kuhusu ndugu zake, kutoka kwa Eliezeri,+ kulikuwa Rehabia+ mwana wake, Yeshaya mwana wake, Yoramu mwana wake, Zikri mwana wake, na Shelomoti mwana wake. 26 Huyu Shelomoti na ndugu zake walisimamia hazina zote za vitu vyenye vilifanywa kuwa vitakatifu,+ vyenye Mufalme Daudi,+ vichwa vya jamaa za upande wa baba,+ wakubwa wa maelfu na wa mamia, na wakubwa wa jeshi walikuwa wamefanya kuwa vitakatifu. 27 Sehemu ya vitu vyenye vilichukuliwa+ katika vita+ mbalimbali, walikuwa wamefanya vitu hivyo kuwa vitakatifu ili kutunza nyumba ya Yehova; 28 pia, vyote vyenye Samweli muonaji,+ Sauli mwana wa Kishi, Abneri+ mwana wa Neri, na Yoabu+ mwana wa Seruya+ walikuwa wamefanya kuwa vitakatifu. Kitu chochote chenye mutu yeyote alifanya kuwa kitakatifu kiliwekwa chini ya usimamizi wa Shelomiti na ndugu zake.

29 Kati ya Waishari,+ Kenania na wana wake walipewa kazi za inje za usimamizi wakiwa maofisa na waamuzi+ wa Israeli.

30 Kati ya Wahebroni,+ Hashabia na ndugu zake, wanaume elfu moja na mia saba (1 700) wenye uwezo, walikuwa kwenye usimamizi wa Israeli katika eneo lenye kuwa upande wa mangaribi wa Yordani kwa ajili ya kazi zote za Yehova na kwa ajili ya utumishi wa mufalme. 31 Kati ya Wahebroni, Yeriya+ alikuwa kichwa cha Wahebroni kulingana na ukoo wa jamaa yao ya upande wa baba. Katika mwaka wa makumi ine (40) wa ufalme wa Daudi,+ walitafutwa, na wanaume wenye nguvu, wenye uwezo wakapatikana kati yao katika Yazeri+ katika Gileadi. 32 Na ndugu zake walikuwa elfu mbili na mia saba (2 700), wanaume wenye uwezo, vichwa vya jamaa za upande wa baba. Basi Mufalme Daudi akawaweka wasimamie Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Wamanase, kwa ajili ya kila jambo la Mungu wa kweli na kila jambo la mufalme.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine