Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 135
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Mumusifu Yah kwa sababu ya ukubwa wake

        • Alama na miujiza juu ya Misri (8, 9)

        • “Jina lako linadumu milele” (13)

        • Sanamu zenye hazina uzima (15-18)

Zaburi 135:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Haleluya!” “Yah” ni kifupi cha jina Yehova.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 113:1; Ufu 19:5

Zaburi 135:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 96:8; 116:19

Zaburi 135:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Mupigie jina lake muziki.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:68; Mt 19:17

Zaburi 135:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mali yake yenye anapendezwa nayo sana.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:5; Kum 7:6

Zaburi 135:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 10:17; Zab 97:9

Zaburi 135:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 115:3; Isa 46:10

Zaburi 135:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mivuke ipande.”

  • *

    Ao pengine, “Anatengeneza milango kwa ajili ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 14:21; Hes 11:31; Yer 10:13; 51:16; Yon 1:4

Zaburi 135:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:12, 29

Zaburi 135:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 7:20; 8:6, 17; 9:6, 10, 23; 10:12, 21
  • +Zab 136:15

Zaburi 135:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 44:2
  • +Yosh. 12:7, 8

Zaburi 135:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:23, 24
  • +Hes 21:33-35

Zaburi 135:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 11:23

Zaburi 135:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “jina lako linadumu.” Tnn., “ukumbusho wako unadumu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 3:15; Zab 102:12

Zaburi 135:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “atatetea mashitaka ya.”

  • *

    Ao “atasikitikia.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 14:31
  • +Kum 32:36

Zaburi 135:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 115:4-8; Isa 46:6; Mdo 17:29; 1 Kor. 10:19

Zaburi 135:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hab 2:19

Zaburi 135:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 10:14

Zaburi 135:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 44:9
  • +Zab 97:7

Zaburi 135:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 10:8

Zaburi 135:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 48:1; 132:13
  • +Yer 3:17
  • +Ufu 19:6

Maandiko ingine

Zb. 135:1Zab 113:1; Ufu 19:5
Zb. 135:2Zab 96:8; 116:19
Zb. 135:3Zab 119:68; Mt 19:17
Zb. 135:4Kut 19:5; Kum 7:6
Zb. 135:5Kum 10:17; Zab 97:9
Zb. 135:6Zab 115:3; Isa 46:10
Zb. 135:7Kut 14:21; Hes 11:31; Yer 10:13; 51:16; Yon 1:4
Zb. 135:8Kut 12:12, 29
Zb. 135:9Kut 7:20; 8:6, 17; 9:6, 10, 23; 10:12, 21
Zb. 135:9Zab 136:15
Zb. 135:10Zab 44:2
Zb. 135:10Yosh. 12:7, 8
Zb. 135:11Hes 21:23, 24
Zb. 135:11Hes 21:33-35
Zb. 135:12Yosh. 11:23
Zb. 135:13Kut 3:15; Zab 102:12
Zb. 135:14Kut 14:31
Zb. 135:14Kum 32:36
Zb. 135:15Zab 115:4-8; Isa 46:6; Mdo 17:29; 1 Kor. 10:19
Zb. 135:16Hab 2:19
Zb. 135:17Yer 10:14
Zb. 135:18Isa 44:9
Zb. 135:18Zab 97:7
Zb. 135:20Kum 10:8
Zb. 135:21Zab 48:1; 132:13
Zb. 135:21Yer 3:17
Zb. 135:21Ufu 19:6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 135:1-21

Zaburi

135 Mumusifu Yah!*

Musifu jina la Yehova;

Mutoe sifa, ninyi watumishi wa Yehova,+

 2 Ninyi wenye kusimama katika nyumba ya Yehova,

Katika viwanja vya nyumba ya Mungu wetu.+

 3 Mumusifu Yah, kwa maana Yehova ni mwema.+

Muimbie jina lake sifa,* kwa maana ni lenye kupendeza.

 4 Kwa maana Yah amemuchagua Yakobo kwa ajili yake mwenyewe,

Israeli kuwa mali yake ya pekee.*+

 5 Kwa maana ninajua muzuri kwamba Yehova ni mukubwa;

Bwana wetu ni mukubwa kuliko miungu mingine yote.+

 6 Yehova anafanya kila kitu chenye anapenda kufanya+

Katika mbingu na juu ya dunia, katika bahari na katika sehemu za chini kabisa.

 7 Anafanya mawingu yapande* kutoka kwenye miisho ya dunia;

Anatokeza umeme wa radi kwa ajili ya* mvua;

Analeta upepo kutoka katika madepo yake.+

 8 Alipiga na kuua muzaliwa wa kwanza wa Misri,

Mwanadamu na munyama pia.+

 9 Alituma alama na miujiza kati yako, Ee Misri,+

Juu ya Farao na watumishi wake wote.+

10 Alipiga na kuua mataifa mengi+

Na kuua wafalme wenye nguvu+

11 ​—⁠Sihoni mufalme wa Waamori,+

Ogu mufalme wa Bashani,+

Na falme zote za Kanaani.

12 Alitoa inchi yao kuwa uriti,

Uriti kwa watu wake Israeli.+

13 Ee Yehova, jina lako linadumu milele.

Ee Yehova, sifa yako inadumu* katika vizazi vyote.+

14 Kwa maana Yehova atatetea* watu wake,+

Na atasikilia huruma* watumishi wake.+

15 Sanamu za mataifa ni feza na zahabu,

Kazi ya mikono ya mwanadamu.+

16 Ziko na kinywa, lakini haziwezi kusema;+

Ziko na macho, lakini haziwezi kuona;

17 Ziko na masikio, lakini haziwezi kusikia.

Hakuna pumuzi katika kinywa chao.+

18 Watu wenye kuzitengeneza watakuwa kama vile sanamu hizo,+

Na wale wote wenye kuzitegemea.+

19 Ee nyumba ya Israeli, mumusifu Yehova.

Ee nyumba ya Haruni, mumusifu Yehova.

20 Ee nyumba ya Lawi, mumusifu Yehova.+

Ninyi wenye kumuogopa Yehova, mumusifu Yehova.

21 Yehova asifiwe kutoka Sayuni,+

Yeye mwenye kukaa Yerusalemu.+

Mumusifu Yah!+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine