Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Muhubiri 6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Muhubiri

      • Mali bila furaha (1-6)

      • Furahia vitu vyenye uko navyo sasa (7-12)

Muhubiri 6:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “musiba mwingine mubaya sana wenye.”

Muhubiri 6:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hakose kitu chochote kwa ajili ya nafsi yake.”

  • *

    Ao “ubatili.”

Muhubiri 6:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yake haifurahie.”

  • *

    Ao “na hata kaburi halijakuwa lake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 4:2, 3

Muhubiri 6:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “iko na pumuziko zaidi kuliko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 3:11, 13; 14:1

Muhubiri 6:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 30:23; Mhu. 3:20; Rom. 5:12

Muhubiri 6:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 3:19; Mez. 16:26

Muhubiri 6:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kutembea mbele ya wazima.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 49:10; Mhu. 2:15, 16

Muhubiri 6:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kutanga-tanga kwa nafsi.”

  • *

    Ao “ubatili.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    2/2014, uku. 8

    2/2011, uku. 28

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2006, uku. 15

Muhubiri 6:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kutetea jambo lake mbele ya.”

Muhubiri 6:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “vitu.”

  • *

    Ao “ubatili.”

Muhubiri 6:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ubatili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 29:15; Yob 8:9; 14:1, 2; Zab 102:11

Maandiko ingine

Muh. 6:3Mhu. 4:2, 3
Muh. 6:5Yob 3:11, 13; 14:1
Muh. 6:6Yob 30:23; Mhu. 3:20; Rom. 5:12
Muh. 6:7Mwa 3:19; Mez. 16:26
Muh. 6:8Zab 49:10; Mhu. 2:15, 16
Muh. 6:121Nya 29:15; Yob 8:9; 14:1, 2; Zab 102:11
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Muhubiri 6:1-12

Muhubiri

6 Kuko jambo lingine la mubaya sana lenye* nimeona chini ya jua, na linatokea mara nyingi kati ya wanadamu: 2 Mungu wa kweli anapatia mutu utajiri na vitu vya kimwili na utukufu, na hivyo mutu hakose kitu chochote chenye anatamani;* lakini Mungu wa kweli hamuwezeshe kuvifurahia, hata kama mugeni anaweza kuvifurahia. Jambo hili ni bure* na ni mateso makubwa. 3 Kama mwanaume anazaa watoto mia moja (100) na kuishi miaka mingi na kuzeeka, lakini hafurahie* vitu vyake vya muzuri mbele aingie katika kaburi,* ninapaswa kusema kwamba mutoto mwenye alizaliwa akiwa amekufa anashindia mwanaume huyo.+ 4 Kwa maana mutoto huyo alikuja bure na kuenda katika giza, na jina lake limefunikwa katika giza. 5 Hata kama hakuona jua wala kujua kitu, anashindia* tu mwanaume huyo.+ 6 Kuko faida gani kuishi miaka elfu moja (1 000) mara mbili bila kuwa na furaha? Je, wote hawaende mahali pamoja?+

7 Kazi yote ya nguvu yenye mutu anafanya ni kwa ajili ya kujaza kinywa chake;+ lakini hamu yake ya kula* haitoshelezwe hata kidogo. 8 Kwa maana mwenye hekima anamupita mujinga kwa njia gani,+ ao mutu maskini anapata faida gani kwa sababu ya kujua kupambana na maisha?* 9 Ni muzuri zaidi kufurahia mambo yenye macho yanaona kuliko mutu kuhangaikia tamaa zake.* Jambo hili pia ni bure,* ni kufuatilia upepo.

10 Kila kitu chenye kiko kimekwisha kupewa jina, na inajulikana mwanadamu ni nini; na hawezi kubishana na* ule mwenye kuwa na nguvu kuliko yeye. 11 Wingi wa maneno,* ni wingi wa mambo ya bure;* na maneno mengi yanamuletea mwanadamu faida gani? 12 Ni nani anajua jambo la muzuri zaidi kwa mwanadamu kufanya katika siku kidogo za maisha yake ya bure,* yenye anapitisha kama kivuli?+ Kwa maana ni nani anaweza kumuambia mambo yenye yatatokea chini ya jua kisha yeye kufa?

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine