Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Kumbukumbu la Torati

      • Kutanga-tanga katika jangwa kwa miaka makumi tatu na munane (1-23)

      • Ushindi juu ya Mufalme Sihoni wa Heshboni (24-37)

Kumbukumbu la Torati 2:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 14:25

Kumbukumbu la Torati 2:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 20:14; Kum 23:7
  • +Mwa 27:39, 40; 36:8, 9
  • +Kut 15:15; 23:27

Kumbukumbu la Torati 2:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Musiwachokoze.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:8; Yosh. 24:4; Mdo 17:26

Kumbukumbu la Torati 2:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 20:18, 19

Kumbukumbu la Torati 2:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 29:5; Ne 9:21; Zab 23:1; 34:9, 10

Kumbukumbu la Torati 2:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 20:20, 21
  • +2Nya 8:17
  • +Hes 21:13; Amu 11:17, 18; 2Nya 20:10

Kumbukumbu la Torati 2:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 19:36, 37

Kumbukumbu la Torati 2:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 14:5

Kumbukumbu la Torati 2:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 3:11; 1Nya 20:6
  • +Hes 13:22, 33

Kumbukumbu la Torati 2:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 14:6; 36:20
  • +Mwa 27:39, 40

Kumbukumbu la Torati 2:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Bonde la Muto.”

  • *

    Ao “Bonde la Muto.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:12

Kumbukumbu la Torati 2:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Bonde la Muto.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 14:33; 32:11; Kum 1:35; Zab 95:11; Ebr 3:18; Yud 5

Kumbukumbu la Torati 2:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 10:1, 5

Kumbukumbu la Torati 2:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 26:63, 64

Kumbukumbu la Torati 2:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 19:36, 38; Kum 2:9; Amu 11:15; 2Nya 20:10; Mdo 17:26

Kumbukumbu la Torati 2:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 15:18-20; Kum 3:11

Kumbukumbu la Torati 2:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 13:33; Kum 9:1, 2

Kumbukumbu la Torati 2:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 36:8
  • +Mwa 14:6; Kum 2:12

Kumbukumbu la Torati 2:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, Krete.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 10:19
  • +Mwa 10:13, 14

Kumbukumbu la Torati 2:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Bonde la Muto la Arnoni.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:13
  • +Hes 21:23

Kumbukumbu la Torati 2:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “watakuwa na maumivu kama ya kuzaa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 15:14; 23:27; Kum 11:25; Yosh. 2:9, 10

Kumbukumbu la Torati 2:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 13:15, 18; 21:8, 37
  • +Kum 20:10

Kumbukumbu la Torati 2:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:21, 22

Kumbukumbu la Torati 2:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 9:18
  • +Hes 21:25

Kumbukumbu la Torati 2:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 32:33; Zab 135:10-12

Kumbukumbu la Torati 2:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:23, 24; Amu 11:20

Kumbukumbu la Torati 2:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 20:16, 17

Kumbukumbu la Torati 2:36

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Bonde la Muto la Arnoni.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 3:12; 4:47, 48; Yosh. 13:8, 9
  • +Zab 44:3

Kumbukumbu la Torati 2:37

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Bonde la Muto.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 3:16; Amu 11:15
  • +Hes 21:23, 24

Maandiko ingine

Kum. 2:1Hes 14:25
Kum. 2:4Hes 20:14; Kum 23:7
Kum. 2:4Mwa 27:39, 40; 36:8, 9
Kum. 2:4Kut 15:15; 23:27
Kum. 2:5Kum 32:8; Yosh. 24:4; Mdo 17:26
Kum. 2:6Hes 20:18, 19
Kum. 2:7Kum 29:5; Ne 9:21; Zab 23:1; 34:9, 10
Kum. 2:8Hes 20:20, 21
Kum. 2:82Nya 8:17
Kum. 2:8Hes 21:13; Amu 11:17, 18; 2Nya 20:10
Kum. 2:9Mwa 19:36, 37
Kum. 2:10Mwa 14:5
Kum. 2:11Kum 3:11; 1Nya 20:6
Kum. 2:11Hes 13:22, 33
Kum. 2:12Mwa 14:6; 36:20
Kum. 2:12Mwa 27:39, 40
Kum. 2:13Hes 21:12
Kum. 2:14Hes 14:33; 32:11; Kum 1:35; Zab 95:11; Ebr 3:18; Yud 5
Kum. 2:151 Kor. 10:1, 5
Kum. 2:16Hes 26:63, 64
Kum. 2:19Mwa 19:36, 38; Kum 2:9; Amu 11:15; 2Nya 20:10; Mdo 17:26
Kum. 2:20Mwa 15:18-20; Kum 3:11
Kum. 2:21Hes 13:33; Kum 9:1, 2
Kum. 2:22Mwa 36:8
Kum. 2:22Mwa 14:6; Kum 2:12
Kum. 2:23Mwa 10:19
Kum. 2:23Mwa 10:13, 14
Kum. 2:24Hes 21:13
Kum. 2:24Hes 21:23
Kum. 2:25Kut 15:14; 23:27; Kum 11:25; Yosh. 2:9, 10
Kum. 2:26Yosh. 13:15, 18; 21:8, 37
Kum. 2:26Kum 20:10
Kum. 2:27Hes 21:21, 22
Kum. 2:30Rom. 9:18
Kum. 2:30Hes 21:25
Kum. 2:31Hes 32:33; Zab 135:10-12
Kum. 2:32Hes 21:23, 24; Amu 11:20
Kum. 2:34Kum 20:16, 17
Kum. 2:36Kum 3:12; 4:47, 48; Yosh. 13:8, 9
Kum. 2:36Zab 44:3
Kum. 2:37Kum 3:16; Amu 11:15
Kum. 2:37Hes 21:23, 24
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Kumbukumbu la Torati 2:1-37

Kumbukumbu la Torati

2 “Kisha tukageuka na kuenda katika jangwa kupitia njia ya Bahari Nyekundu, kama vile Yehova alikuwa ameniambia,+ na tulizunguka-zunguka Mulima Seiri kwa siku nyingi. 2 Mwishowe Yehova akaniambia, 3 ‘Mumezunguka-zunguka mulima huu wakati murefu sana. Sasa mugeuke kuelekea kaskazini. 4 Na uamuru watu hivi: “Mutapita karibu na mupaka wa ndugu zenu, wazao wa Esau,+ wenye wanakaa Seiri,+ na watawaogopa ninyi,+ na munapaswa kuwa waangalifu sana. 5 Musijiingize katika uadui pamoja nao,* kwa sababu sitawapatia sehemu yoyote ya inchi yao, hata mahali pa alama ya muguu, kwa sababu nimemupatia Esau Mulima Seiri kuwa eneo lake.+ 6 Munapaswa kuwapatia feza kwa ajili ya chakula chenye mutakula, na munapaswa kulipia maji yenye mutakunywa.+ 7 Kwa maana Yehova Mungu wako amekubariki katika mambo yote yenye umefanya. Anajua muzuri kabisa safari yako katika jangwa hili kubwa. Yehova Mungu wako amekuwa pamoja na wewe miaka hii makumi ine (40), na haujakosa kitu.”’+ 8 Kwa hiyo tulipita karibu na ndugu zetu, wazao wa Esau,+ wenye wanakaa Seiri, tukaepuka njia ya Araba, kutoka Elati na kutoka Esion-geberi.+

“Kisha tukageuka na kupitia njia ya jangwa la Moabu.+ 9 Halafu Yehova akaniambia, ‘Usijiingize katika uadui wala kupigana vita na Moabu, kwa sababu sitakupatia sehemu yoyote ya inchi yao kuwa eneo lako kwa sababu nimepatia wazao wa Loti inchi ya Ari kuwa eneo lao.+ 10 (Waemi+ waliishi kule zamani, walikuwa watu wenye nguvu na wengi sana na warefu kama Waanaki. 11 Warefaimu+ pia walionwa kama Waanaki,+ na Wamoabu walikuwa wanawaita Waemi. 12 Zamani, Wahori+ waliishi Seiri, lakini wazao wa Esau walikamata inchi yao na kuwaharibu na kukaa mahali pao,+ kama vile Israeli atafanya katika inchi yenye ni eneo lao, yenye hakika Yehova atawapatia.) 13 Sasa muende na muvuke Bonde* la Zeredi.’ Kwa hiyo tukavuka Bonde* la Zeredi.+ 14 Tulitembea miaka makumi tatu na munane (38) kutoka Kadesh-barnea mupaka wakati tulivuka Bonde* la Zeredi, mupaka wakati kizazi chote cha wanaume wa vita kiliangamia katika kambi, kama vile Yehova alikuwa amewaapia.+ 15 Mukono wa Yehova ulikuwa juu yao ili kuwaangamiza katika kambi mupaka wakati walikuwa wamemalizika.+

16 “Wakati tu wanaume wote wa vita walikuwa wamekufa na kumalizika kati ya watu,+ 17 Yehova akasema tena na mimi, na kuniambia, 18 ‘Leo utapita karibu na eneo la Moabu, ni kusema, Ari. 19 Wakati utafika karibu na Waamoni, usiwashambulie wala kuwachokoza, kwa sababu sitakupatia sehemu yoyote ya inchi ya Waamoni kuwa eneo lako, kwa maana nimeipatia wazao wa Loti kuwa eneo lao.+ 20 Inchi hiyo pia ilionwa kuwa inchi ya Warefaimu.+ (Warefaimu waliishi kule zamani, na Waamoni walikuwa wanawaita Wazamzumi. 21 Walikuwa watu wenye nguvu na wengi sana na warefu kama Waanaki;+ lakini Yehova aliwaharibu mbele ya Waamoni, na Waamoni wakawafukuza na kuishi mahali pao. 22 Ni vile alifanya kwa ajili ya wazao wa Esau, wenye sasa wanakaa Seiri,+ wakati aliharibu Wahori+ kutoka mbele yao, ili wakamate inchi yao na kukaa mahali pao mupaka leo. 23 Na kuhusu Waavi, walikuwa wanaishi katika makao kufikia Gaza,+ mupaka wakati Wakaftori,+ wenye walitoka Kaftori,* waliwaharibu na kukaa mahali pao.)

24 “‘Musimame, na kuvuka Bonde la Arnoni.*+ Angalia, nimemutia katika mukono wako Sihoni+ Mwamori, mufalme wa Heshboni. Kwa hiyo anza kukamata inchi yake, na upigane vita naye. 25 Leo nitaanza kufanya watu wote wenye kuwa chini ya mbingu wenye wanasikia habari zako wakuhofu na kukuogopa wewe. Watakuwa na wasiwasi na watatetemeka* kwa sababu yako.’+

26 “Kisha nilituma wajumbe kutoka katika jangwa la Kedemoti,+ mupaka kwa Mufalme Sihoni wa Heshboni, wakiwa na maneno haya ya amani,+ 27 ‘Uniruhusu nipite katika inchi yako. Nitatembea katika barabara tu na sitageuka kuenda kuume wala kushoto.+ 28 Nitakula tu chakula na kunywa tu maji yenye utanipatia ninunue. Uniruhusu tu nipite kwa miguu, 29 ⁠—​ni vile wazao wa Esau wenye wanakaa Seiri na Wamoabu wenye wanakaa Ari walinifanyia⁠—​mupaka wakati nitakuwa nimevuka Yordani na kuingia katika inchi yenye Yehova Mungu wetu anatupatia sisi.’ 30 Lakini Mufalme Sihoni wa Heshboni hakuturuhusu tupite, kwa sababu Yehova Mungu wako aliacha roho yake ikuwe na kiburi+ na moyo wake ukuwe mugumu, ili amutie katika mukono wako kama vile hali iko leo.+

31 “Kisha Yehova akaniambia, ‘Angalia, tayari nimeanza kutia katika mukono wako Sihoni pamoja na inchi yake. Anza kukamata inchi yake.’+ 32 Wakati Sihoni alitoka na watu wake wote ili kupigana na sisi kule Yahazi,+ 33 Yehova Mungu wetu alimutia katika mukono wetu, kwa hiyo tukamushinda yeye, wana wake, na watu wake wote. 34 Tulikamata miji yake yote wakati huo na kuharibu kila muji, pamoja na wanaume, wanamuke, na watoto. Hatukuacha mutu yeyote aponyoke.+ 35 Tulinyanganya tu mifugo kwa ajili yetu pamoja na vitu vya miji yenye tulikuwa tumekamata. 36 Kuanzia Aroeri,+ muji wenye kuwa pembeni ya Bonde la Arnoni* (pamoja na muji wenye kuwa katika bonde), mupaka Gileadi, hakuna muji wenye hatukuweza kufikia. Yehova Mungu wetu aliitia yote katika mukono wetu.+ 37 Lakini, haukukaribia inchi ya Waamoni,+ eneo lote la pembeni ya Bonde* la Yaboki+ na miji ya eneo lenye milima, wala eneo lingine lolote lenye lilikatazwa na Yehova Mungu wetu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine