Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 9
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Ezekieli

      • Wanaume sita wenye kuleta azabu na mwanaume mwenye chombo cha kuwekea wino (1-11)

        • Hukumu itaanzia patakatifu (6)

Ezekieli 9:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 20:2; Eze 8:3
  • +2Nya 4:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Utumishi na Maisha ya Mukristo—Buku la Mukutano,

    6/2017, uku. 6

Ezekieli 9:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Hapa kizingiti ni ubao wenye kuwa chini ya mulango.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 3:23; 8:3, 4; 11:22
  • +Eze 10:4

Ezekieli 9:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:53; 2 Pe. 2:7, 8
  • +Eze 5:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Utumishi na Maisha ya Mukristo—Buku la Mukutano,

    6/2017, uku. 6

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    6/2016, uku. 31-32

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2008, uku. 5-6

Ezekieli 9:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 32:26, 27; Eze 7:4

Ezekieli 9:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 36:17
  • +Kut 12:23; Yosh. 2:17-19; Ufu 9:4
  • +2 Fal. 25:18, 21; Yer 25:29
  • +Eze 8:11

Ezekieli 9:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Omb 2:21

Ezekieli 9:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 18:23; Eze 11:13

Ezekieli 9:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 36:14; Isa 1:4
  • +2 Fal. 21:16; Yer 2:34; Mt 23:30
  • +Eze 22:29
  • +Isa 29:15; Eze 8:12

Ezekieli 9:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 5:11; 7:4

Maandiko ingine

Eze. 9:2Yer 20:2; Eze 8:3
Eze. 9:22Nya 4:1
Eze. 9:3Eze 3:23; 8:3, 4; 11:22
Eze. 9:3Eze 10:4
Eze. 9:4Zab 119:53; 2 Pe. 2:7, 8
Eze. 9:4Eze 5:11
Eze. 9:5Kut 32:26, 27; Eze 7:4
Eze. 9:62Nya 36:17
Eze. 9:6Kut 12:23; Yosh. 2:17-19; Ufu 9:4
Eze. 9:62 Fal. 25:18, 21; Yer 25:29
Eze. 9:6Eze 8:11
Eze. 9:7Omb 2:21
Eze. 9:8Mwa 18:23; Eze 11:13
Eze. 9:92Nya 36:14; Isa 1:4
Eze. 9:92 Fal. 21:16; Yer 2:34; Mt 23:30
Eze. 9:9Eze 22:29
Eze. 9:9Isa 29:15; Eze 8:12
Eze. 9:10Eze 5:11; 7:4
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Ezekieli 9:1-11

Ezekieli

9 Kisha akaita katika masikio yangu kwa sauti kubwa, na kusema: “Ita wale wenye wataleta azabu juu ya muji, kila mumoja wao akiwa na silaha yake ya kuharibu katika mukono wake!”

2 Nikaona wanaume sita (6) wakikuja kutoka upande wa mulango mukubwa wa juu+ wenye kuelekea kaskazini, kila mumoja alikuwa na silaha yake ya kuponda-ponda katika mukono wake; na kulikuwa mwanaume mumoja kati yao mwenye kuvaa nguo ya kitani, alikuwa na chombo cha mwandishi cha kuwekea wino kwenye kiuno chake, nao wakaingia na kusimama pembeni ya mazabahu ya shaba.+

3 Kisha utukufu wa Mungu wa Israeli,+ ukainuka kutoka kwenye ulikuwa umetulia juu ya makerubi na kuenda kwenye kizingiti* cha muingilio wa nyumba hiyo,+ naye akaanza kumuita ule mwanaume mwenye alikuwa amevaa nguo ya kitani, ambaye kwenye kiuno chake kulikuwa chombo cha mwandishi cha kuwekea wino. 4 Yehova akamuambia: “Pita katika muji wote, katika Yerusalemu yote, na utie alama kwenye mapaji ya nyuso za watu wenye kusumbuka na kulia kwa maumivu+ kwa sababu ya machukizo yote yenye kufanywa katika muji.”+

5 Naye akaambia wale wengine katika masikio yangu: “Mupite katika muji wote nyuma yake na kupiga. Jicho lenu lisisikitike, na musisikie huruma yoyote.+ 6 Muzee, kijana mwanaume, bikira, mutoto mudogo, na wanamuke mutawaua kabisa.+ Lakini musimukaribie mutu yeyote mwenye kuwa na ile alama juu yake.+ Mutaanzia patakatifu pangu.”+ Kwa hiyo wakaanza na wale wazee wenye walikuwa mbele ya nyumba.+ 7 Kisha akawaambia: “Muchafue nyumba na mujaze viwanja watu wenye kuuawa.+ Muende!” Basi wakaenda na wakapiga na kuua watu katika muji.

8 Wakati walikuwa wanapiga na kuua, mimi peke yangu ndiye niliachwa, na nikaanguka uso chini na kusema kwa sauti kubwa: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova! Je, utaharibu mabaki wote wa Israeli wakati unamwanga kasirani yako kali juu ya Yerusalemu?”+

9 Kwa hiyo akaniambia: “Kosa la nyumba ya Israeli na Yuda ni kubwa, kubwa sana.+ Inchi imejaa umwangaji wa damu,+ na muji umejaa upotovu.+ Kwa maana wanasema, ‘Yehova ameacha inchi hii, na Yehova haone.’+ 10 Lakini mimi, jicho langu halitasikitika; wala sitakuwa na huruma.+ Nitaleta matokeo ya njia yao juu ya kichwa chao wenyewe.”

11 Kisha nikamuona ule mwanaume mwenye kuvaa nguo ya kitani mwenye alikuwa na chombo cha kuwekea wino kwenye kiuno chake akirudia na kutoa habari, na kusema: “Nimefanya kama vile umeniamuru.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine