Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 7
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Ezekieli

      • Mwisho umekuja (1-27)

        • Musiba wa pekee (5)

        • Feza zitatupwa katika barabara (19)

        • Hekalu litachafuliwa (22)

Ezekieli 7:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 5:11
  • +Yer 16:18; Eze 16:43
  • +Eze 6:13

Ezekieli 7:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 21:12; Da. 9:12

Ezekieli 7:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “utaamuka.”

Ezekieli 7:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “Taji lako la maua limefika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Sef 1:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/7/2007, uku. 11

Ezekieli 7:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 34:21
  • +Yer 7:20; Eze 5:13

Ezekieli 7:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 13:14
  • +Isa 66:6; Eze 33:29

Ezekieli 7:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “Taji lako la maua limefika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Sef 1:14

Ezekieli 7:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 59:6; Yer 6:7; Mik 6:12

Ezekieli 7:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, wale wenye kununua mali na pia wale wenye kuuzisha hawatapata faida, kwa maana uharibifu utakuja juu yao wote.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Sef 1:18

Ezekieli 7:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “kwa kosa lake.”

Ezekieli 7:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 4:5
  • +Yer 7:20; 12:12

Ezekieli 7:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:25
  • +Yer 14:18; Eze 5:12

Ezekieli 7:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 59:11

Ezekieli 7:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, kutokana na kukojoa kwa sababu ya woga.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 21:7

Ezekieli 7:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kumewafunika.”

  • *

    Ni kusema, vichwa vyao vitanyolewa kwa sababu ya maombolezo.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 3:24
  • +Isa 22:12

Ezekieli 7:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nafsi zao hazitashiba.”

  • *

    Ni kusema, feza yao na zahabu yao.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 11:4; Sef 1:18

Ezekieli 7:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, vitu vyao vya zahabu na feza.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 21:1, 7; Yer 7:30

Ezekieli 7:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, feza na zahabu yao yenye walitumia ili kutengeneza sanamu.

Ezekieli 7:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Inaonekana ni sehemu ya ndani kabisa ya patakatifu pa Yehova.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 18:17
  • +2Nya 36:19; Omb 1:10

Ezekieli 7:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, minyororo ya utekwa.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 39:6, 7; Omb 3:7
  • +2 Fal. 21:16; 24:3, 4; Yer 2:34; Eze 9:9
  • +Isa 59:6; Mik 2:2

Ezekieli 7:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:48-51; Eze 21:31; Hab 1:6
  • +Yer 6:12; Omb 5:2
  • +Eze 21:2

Ezekieli 7:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 57:21; Yer 8:15

Ezekieli 7:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “agizo litakosekana.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 21:1, 2; 37:17
  • +Zab 74:9; Omb 2:9; Eze 20:3

Ezekieli 7:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ukiwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 52:10
  • +Eze 6:13

Maandiko ingine

Eze. 7:4Eze 5:11
Eze. 7:4Yer 16:18; Eze 16:43
Eze. 7:4Eze 6:13
Eze. 7:52 Fal. 21:12; Da. 9:12
Eze. 7:7Sef 1:14
Eze. 7:82Nya 34:21
Eze. 7:8Yer 7:20; Eze 5:13
Eze. 7:9Yer 13:14
Eze. 7:9Isa 66:6; Eze 33:29
Eze. 7:10Sef 1:14
Eze. 7:11Isa 59:6; Yer 6:7; Mik 6:12
Eze. 7:12Sef 1:18
Eze. 7:14Yer 4:5
Eze. 7:14Yer 7:20; 12:12
Eze. 7:15Law. 26:25
Eze. 7:15Yer 14:18; Eze 5:12
Eze. 7:16Isa 59:11
Eze. 7:17Eze 21:7
Eze. 7:18Isa 3:24
Eze. 7:18Isa 22:12
Eze. 7:19Mez. 11:4; Sef 1:18
Eze. 7:202 Fal. 21:1, 7; Yer 7:30
Eze. 7:22Yer 18:17
Eze. 7:222Nya 36:19; Omb 1:10
Eze. 7:23Yer 39:6, 7; Omb 3:7
Eze. 7:232 Fal. 21:16; 24:3, 4; Yer 2:34; Eze 9:9
Eze. 7:23Isa 59:6; Mik 2:2
Eze. 7:24Kum 28:48-51; Eze 21:31; Hab 1:6
Eze. 7:24Yer 6:12; Omb 5:2
Eze. 7:24Eze 21:2
Eze. 7:25Isa 57:21; Yer 8:15
Eze. 7:26Yer 21:1, 2; 37:17
Eze. 7:26Zab 74:9; Omb 2:9; Eze 20:3
Eze. 7:27Yer 52:10
Eze. 7:27Eze 6:13
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Ezekieli 7:1-27

Ezekieli

7 Neno la Yehova likakuja tena kwangu, na kusema: 2 “Sasa wewe, Mwana wa binadamu, Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anaambia inchi ya Israeli hivi: ‘Mwisho! Ule mwisho umekuja juu ya pembe ine (4) za inchi. 3 Sasa mwisho uko juu yako, na nitaachilia kasirani yangu juu yako, na nitakuhukumu kulingana na njia zako na kukuomba utoe hesabu kwa sababu ya matendo yako yote yenye kuchukiza. 4 Jicho langu halitakusikitikia; wala sitasikia huruma,+ kwa maana nitaleta juu yako matokeo ya njia zako mwenyewe, na utapatwa na matokeo ya matendo yako yenye kuchukiza.+ Na ninyi mutalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’+

5 “Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: ‘Angalia! Musiba, musiba wa pekee, unakuja.+ 6 Mwisho unakuja; ule mwisho utakuja; utainuka wenyewe* juu yako. Angalia! Unakuja. 7 Zamu yako imefika,* wewe mwenye kukaa katika inchi. Wakati unakuja, siku ile iko karibu.+ Kuko muvurugo na haiko makelele ya shangwe kwenye milima.

8 “‘Hivi karibuni nitamwanga kasirani yangu kali juu yako,+ na nitaachilia hasira yangu juu yako,+ na nitakuhukumu kulingana na njia zako na kukuomba utoe hesabu kwa sababu ya matendo yako yote yenye kuchukiza. 9 Jicho langu halitakusikitikia; wala sitasikia huruma.+ Kwa maana nitaleta juu yako matokeo ya njia zako mwenyewe, na utapatwa na matokeo ya matendo yako yenye kuchukiza. Na ninyi mutalazimika kujua kwamba mimi, Yehova, niko nawapiga.+

10 “‘Angalia, ile siku! Angalia, inakuja!+ Zamu yako imefika;* fimbo imetoa maua na kimbelembele kimechipuka. 11 Jeuri imekomaa na kuwa fimbo ya uovu.+ Wao wenyewe wala mali yao wala vikundi vyao vya watu wala sifa yao haitaokoka. 12 Wakati utakuja, siku ile itafika. Mwenye kununua asishangilie, na mwenye kuuzisha asiomboleze, kwa maana kuko kasirani kali juu ya kikundi chao chote cha watu.*+ 13 Kwa maana mwenye kuuzisha hatarudia kwa kitu chenye kiliuzishwa, hata kama uzima wake unaokolewa, kwa maana maono ni juu ya kikundi chote cha watu. Hakuna mwenye atarudia, na kwa sababu ya kosa lake,* hakuna mwenye ataokoa uzima wake.

14 “‘Wamepiga tarumbeta+ na kila mutu iko* tayari, lakini hakuna mwenye anaenda katika vita, kwa sababu niko na gazabu juu ya kikundi chote cha watu.+ 15 Upanga uko inje,+ na ugonjwa wa kuambukiza na njaa viko ndani. Kila mutu mwenye kuwa katika eneo la mashamba atakufa kwa upanga, na njaa na ugonjwa wa kuambukiza vitateketeza wale wenye kuwa katika muji.+ 16 Waokokaji wao wenye wataweza kuponyoka wataenda kwenye milima, na kama vile njiwa wa mabonde, kila mumoja ataomboleza kwa sababu ya kosa lake.+ 17 Mikono yao yote itaninginia kwa uregevu, na magoti yao yote yataangusha matone-matone ya maji.*+ 18 Wamevaa nguo za magunia,+ na kutetemeka kumewashika.* Kila mutu atapatishwa haya, na kila kichwa kitakuwa na upara.*+

19 “‘Watatupa feza yao katika barabara, na zahabu yao itawachukiza. Feza yao wala zahabu yao haitaweza kuwaokoa katika siku ya kasirani kali ya Yehova.+ Hawatashiba,* wala kujaza matumbo yao, kwa maana hiyo* imekuwa kikwazo chenye kinatokeza kosa lao. 20 Walikuwa na kiburi kwa sababu ya uzuri wa mapambo yao, nao wakatumia vitu hivyo* ili kutengeneza mifano yao yenye kuchukiza, sanamu zao zenye kuchukiza.+ Ndiyo sababu nitazifanya kuwa chukizo kwao. 21 Nitatia hiyo* katika mukono wa wageni ili wainyanganye na kwa waovu wa dunia ili waichukue, nao wataichafua.

22 “‘Nitageuza uso wangu kutoka kwao,+ nao watachafua mahali pangu penye kufichwa,* na wanyanganyi watapaingia na kupachafua.+

23 “‘Tengeneza munyororo,*+ kwa maana inchi imejaa hukumu yenye madoa ya damu+ na muji umejaa jeuri.+ 24 Nitaingiza mataifa ya mubaya sana,+ na yatariti nyumba zao,+ na nitamaliza kiburi cha wenye nguvu, na mahali pao patakatifu patachafuliwa.+ 25 Wakati uchungu wao utakuja, watatafuta amani, lakini haitakuwa hata kidogo.+ 26 Musiba utakuja juu ya musiba, na habari moja kisha ingine, na watu watatafuta maono kwa nabii,+ lakini sheria itakosekana* kwa kuhani na shauri kwa wazee.+ 27 Mufalme ataomboleza,+ na mukubwa atavaa hali ya kupoteza tumaini,* na mikono ya watu wa inchi itatetemeka kwa woga. Nitawatendea kulingana na njia zao, na nitawahukumu kama vile wamehukumu. Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine