Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Ezra EZRA HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Mufalme Koreshi anatoa amri ya kujenga upya hekalu (1-4) Watu wenye walikuwa wamepelekwa katika uhamisho wanajitayarisha kuondoka Babiloni (5-11) 2 Majina ya watu wenye walitoka Babiloni (1-67) Watumishi wa hekalu (43-54) Wana wa watumishi wa Sulemani (55-57) Matoleo ya kujipendea kwa ajili ya hekalu (68-70) 3 Mazabahu inajengwa upya na zabihu zinatolewa (1-6) Kazi ya kujenga upya hekalu inaanza (7-9) Musingi wa hekalu unawekwa (10-13) 4 Kazi ya kujenga upya hekalu inapingwa (1-6) Maadui wanatuma malalamiko kwa Mufalme Artashasta (7-16) Artashasta anajibu (17-22) Ujenzi wa hekalu unasimamishwa (23, 24) 5 Wayahudi wanaanza tena kujenga hekalu (1-5) Barua yenye Tatenai alimutumia Mufalme Dario (6-17) 6 Uchunguzi na amri ya Dario (1-12) Ujenzi wa hekalu unamalizika na hekalu linazinduliwa (13-18) Pasaka inafanywa (19-22) 7 Ezra anakuja Yerusalemu (1-10) Barua yenye Artashasta alimutumia Ezra (11-26) Ezra anamusifu Yehova (27, 28) 8 Majina ya wale wenye walirudia pamoja na Ezra (1-14) Matayarisho ya safari (15-30) Kuondoka Babiloni na kufika Yerusalemu (31-36) 9 Israeli wanaoa wanamuke wa kigeni (1-4) Sala ya kutubu ya Ezra (5-15) 10 Agano la kufukuza wanamuke wa kigeni (1-14) Wanamuke wa kigeni wanafukuzwa (15-44)