Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Sefania SEFANIA HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Siku ya hukumu ya Yehova iko karibu (1-18) Siku ya Yehova inakuja haraka sana (14) Feza na zahabu haviwezi kuokoa (18) 2 Mumutafute Yehova mbele siku yake ya kasirani ifike (1-3) Mutafute haki na upole (3) “Pengine mutafichwa” (3) Hukumu juu ya mataifa jirani (4-15) 3 Yerusalemu, muji wenye uasi na upotovu (1-7) Kuhukumiwa na kurudishwa katika hali ya muzuri (8-20) Kubadilisha luga ya watu kuwa luga safi (9) Watu wanyenyekevu na wapole wataokolewa (12) Yehova atashangilia kwa sababu ya Sayuni (17)