Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Waebrania WAEBRANIA HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Mungu anasema kupitia Mwana wake (1-4) Mwana ni mukubwa kuliko malaika (5-14) 2 Kukaza uangalifu zaidi kuliko kawaida (1-4) Vitu vyote vimetiishwa chini ya Yesu (5-9) Yesu na ndugu zake (10-18) Kiongozi Mukubwa wa wokovu wao (10) Kuhani mukubwa mwenye rehema (17) 3 Yesu ni mukubwa kuliko Musa (1-6) Vitu vyote vilijengwa na Mungu (4) Onyo juu ya kukosa imani (7-19) “Leo kama munasikiliza sauti yake” (7, 15) 4 Hatari ya kukosa kuingia katika pumuziko la Mungu (1-10) Kitia-moyo cha kuingia katika pumuziko la Mungu (11-13) Neno la Mungu liko na uzima (12) Yesu, kuhani mukubwa zaidi (14-16) 5 Yesu ni mukubwa kuliko makuhani wakubwa wanadamu (1-10) Kwa mufano wa Melkisedeki (6, 10) Alijifunza kutii kutokana na mateso (8) Iko na daraka la wokovu wa milele (9) Onyo juu ya kukosa ukomavu (11-14) 6 Kusonga mbele kuelekea ukomavu (1-3) Wale wenye wanaanguka wanamupigilia tena Mwana misumari kwenye muti (4-8) Mufanye tumaini lenu kuwa hakika (9-12) Uhakika wa ahadi ya Mungu (13-20) Ahadi na kiapo cha Mungu havibadilike (17, 18) 7 Melkisedeki, mufalme na kuhani wa pekee (1-10) Ukubwa wa ukuhani wa Kristo (11-28) Kristo anaweza kuokoa kwa ukamili (25) 8 Tabenakulo yenye kufananisha vitu vya mbinguni (1-6) Tofauti kati ya agano jipya na agano la kale (7-13) 9 Utumishi mutakatifu katika hekalu la duniani (1-10) Kristo anaingia mbinguni akiwa na damu yake (11-28) Mupatanishi wa agano jipya (15) 10 Zabihu za wanyama hazina uwezo (1-4) Sheria ni kivuli (1) Zabihu ya Kristo mara moja kwa wakati wote (5-18) Njia mupya na yenye uzima ya kupitia (19-25) Tusiache kukutana pamoja (24, 25) Onyo juu ya zambi ya kimakusudi (26-31) Uhakika na imani ili kuvumilia (32-39) 11 Maana ya imani (1, 2) Mifano ya imani (3-40) Haiwezekane kumupendeza Mungu bila imani (6) 12 Yesu, Mukamilishaji wa imani yetu (1-3) Wingu kubwa la mashahidi (1) Usizarau nizamu ya Yehova (4-11) Fanyia miguu yako njia zenye kunyooka (12-17) Kukaribia Yerusalemu la mbinguni (18-29) 13 Vitia-moyo vya kumalizia, na salamu (1-25) Musisahau ukaribishaji-wageni (2) Ndoa iheshimiwe (4) Mutii wale wenye wanaongoza (7, 17) Kutoa zabihu ya sifa (15, 16)