Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Rutu RUTU HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Elimeleki na familia yake wanahamia Moabu (1, 2) Naomi, Orpa, na Rutu wanafiwa na bwana zao (3-6) Rutu anaonyesha ushikamanifu kwa Naomi na kwa Mungu wa Naomi (7-17) Naomi anarudia Betlehemu pamoja na Rutu (18-22) 2 Rutu anaokota masalio katika shamba la Boazi (1-3) Rutu na Boazi wanakutana (4-16) Rutu anamuelezea Naomi juu ya fazili za Boazi (17-23) 3 Naomi anamupatia Rutu maagizo (1-4) Rutu na Boazi kwenye kiwanja cha kupigia-pigia nafaka (5-15) Rutu anarudia kwa Naomi (16-18) 4 Boazi anakuwa mukombozi (1-12) Boazi na Rutu wanamuzaa Obedi (13-17) Ukoo wa Daudi (18-22)