Habari Zilizozungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi 2013
Inaonyesha tarehe ya gazeti ambamo habari inapatikana
BIBLIA
BIBLIA INABADILISHA MAISHA YA WATU
“Nilianza Kufikiri kwa Uzito Ikiwa Maisha Yangu Yalikuwa Yanaelekea Wapi” (A. Hancock), 01/08
“Sijisikie Tena Kuwa Ninapaswa Kubadilisha Dunia” (J. Sylgren), 01/07
“Walitaka Mimi Mwenyewe Nivumbue Mambo Ambayo Biblia Inasema Kabisa” (L. Alifonso), 01/02
HABARI ZA KUJIFUNZA
Kazi ya Upainia Inatia Nguvu Uhusiano Wetu Pamoja na Mungu, 15/09
Linda Uriti Wako wa Kiroho kwa Kuchukua Maamuzi Mazuri, 15/05
‘Ni Nani kwa Kweli Mutumwa Mwaminifu na Mwenye Busara?’ 15/07
Ni Nani Walio Wachungaji Saba na Watawala Wadogo Wanane Leo? 15/11
Tumia Neno la Mungu ili Kujisaidia na Kuwasaidia Wengine, 15/04
Wazee wa Kutaniko—Ni ‘Wafanyakazi Wenzetu kwa Furaha Yetu,’ 15/01
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
Kushugulika na Wale Walio Inje ya Familia Ambayo Bibi ao Bwana Ana Watoto Wake, 01/05
Petro na Anania Walisema Uwongo—Tunaweza Kujifunza Somo Gani? 01/03
MAMBO MENGINE
Alilindwa “Akiwa Salama Pamoja na Wengine Saba” (Noa), 01/08
Je, Hekalu la Yerusalemu Lilijengwa Tena Kisha Mwaka wa 70? 15/04
Sababu Gani Watu Fulani Ambao Wanazungumuziwa Katika Biblia Hawatajwe Majina, 01/08
MASHAHIDI WA YEHOVA
Mushiriki Mupya wa Baraza Linaloongoza (M. Sanderson), 15/07
Walibaki Imara Katika “Saa ya Jaribu” (Vita ya Kwanza ya Ulimwengu), 15/05
MASIMULIZI KUHUSU MAISHA YA WATU
Kumutii Yehova Kumeniletea Baraka Nyingi (E. Piccioli), 15/06
Miaka 50 Karibu na Cercle Arctique (A. na A. Mattila), 15/04
Nimefanya Kumutumikia Yehova Iwe Kazi Yangu ya Maisha (B. Walden), 01/12
Tulikuwa Tayari Kumutumikia Yehova Kila Mahali (M. na J. Hartlief), 15/07
Yehova ‘Ananibebea Muzigo Wangu Kila Siku’ (M. du Raan), 15/08