Wakati mutu Mwenye Unapenda Anakufa
Na. 3 2016
© 2016 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
GAZETI HILI, Munara wa Mulinzi, linamuheshimu Yehova Mungu, Mutawala wa Ulimwengu wote. Linawafariji watu kupitia habari njema ya kwamba hivi karibuni Ufalme wa Mungu, serikali iliyo mbinguni, utaondoa mambo yote mabaya na kuigeuza dunia hii kuwa paradiso. Tena, gazeti hili linawatia watu moyo wamuamini Yesu Kristo; yeye alikufa ili tupate uzima wa milele na yeye sasa ni Mufalme wa Ufalme wa Mungu. Gazeti hili limekuwa likichapishwa na Mashahidi wa Yehova tangu mwaka wa 1879, nalo halijiingize katika mambo ya siasa ao politike. Linategemea mawazo ya Biblia tu.
Gazeti hili haliko la kuuzisha. Linasaidia kufundisha watu Biblia katika dunia yote; feza za kusaidia kazi hiyo iendelee ni michango ya kujipendea yenye watu wanatoa.
Ili kutoa muchango wako, tafazali fungua adresi yetu ya Internete www.jw.org.
Maandiko yamechukuliwa moja kwa moja katika Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya. Ikiwa andiko linachukuliwa katika tafsiri ingine ya Biblia, jambo hilo litaonyeshwa.