Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • wp17 na. 4 uku. 1-2
  • Biblia Inasema Nini Juu ya Uzima na Kifo?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Biblia Inasema Nini Juu ya Uzima na Kifo?
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2017
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2017
wp17 na. 4 uku. 1-2
Gazeti Munara wa Mulinzi, Na. 4, 2017 | Biblia Inasema Nini Juu ya Uzima na Kifo?

Biblia Inasema Nini Juu ya Uzima na Kifo?

Na. 4 2017

© 2017 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania

Gazeti hili haliko la kuuzisha. Linasaidia kufundisha watu Biblia katika dunia yote; feza za kusaidia kazi hiyo iendelee ni michango ya kujipendea yenye watu wanatoa.

Ili kujua namna ya kutoa muchango wako, tafazali ufungue www.jw.org.

Maandiko yamechukuliwa katika Biblia Takatifu​—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya. Ikiwa andiko linachukuliwa katika tafsiri ingine ya Biblia, jambo hilo litaonyeshwa.

GAZETI HILI, Munara wa Mulinzi, linamuheshimu Yehova Mungu, Mutawala wa Ulimwengu wote. Linawafariji watu kupitia habari njema ya kwamba hivi karibuni Ufalme wa Mungu, serikali iliyo mbinguni, utaondoa mambo yote mabaya na kuigeuza dunia hii kuwa paradiso. Tena, gazeti hili linawatia watu moyo wamuamini Yesu Kristo; yeye alikufa ili tupate uzima wa milele na yeye sasa ni Mufalme wa Ufalme wa Mungu. Gazeti hili limekuwa likichapishwa na Mashahidi wa Yehova tangu mwaka wa 1879, nalo halijiingize katika mambo ya siasa ao politike. Linategemea mawazo ya Biblia tu.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine