Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w17 Mwezi wa 2 uku. 2
  • Habari Zenye Kuwa Ndani

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Habari Zenye Kuwa Ndani
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2017
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2017
w17 Mwezi wa 2 uku. 2

Habari Zenye Kuwa Ndani

JUMA LA TAREHE 3-9/04/2017

3 Kusudi la Yehova Litatimia!

JUMA LA TAREHE 10-16/04/2017

8 Zabihu ya Ukombozi—Zawadi “Kamilifu” Kutoka kwa Baba

Zabibu ya ukombozi ya Kristo ni jambo la musingi la imani yetu na inafanya iwezekane kusudi la Yehova kwa wanadamu litimie. Habari hizi mbili zinazungumuzia sababu gani zabihu ya ukombozi ilikuwa ya lazima, na namna tunaweza kuonyesha kama tuko wenye shukrani sana kwa ajili ya zawadi hiyo ya upendo zaidi kuliko zawadi zote kutoka kwa Baba yetu wa mbinguni.

13 Habari Juu ya Maisha ya Watu—Tuliona Katika Njia Nyingi Fazili za Mungu Zenye Hatustahili

JUMA LA TAREHE 17-23/04/2017

18 Yehova Anaongoza Watu Wake

JUMA LA TAREHE 24-30/04/2017

23 Ni Nani Anaongoza Watu wa Mungu Leo?

Kwa maelfu ya miaka, Yehova ametumia wanaume ili kuongoza watu wake. Sababu gani tunaweza kusema kama Yehova ametegemeza wanaume hao, na namna gani tunajua kama leo anaendelea kusaidia mutumwa mwaminifu na mwenye busara? Habari hizi zitazungumuzia mambo tatu yenye yanaweza kutusaidia kutambua sikuzote watu wenye Mungu ametumia ili kuongoza watu wake.

29 Maulizo ya Wasomaji Wetu

31 Vitu Vya Maana Sana Vya Historia Yetu

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine