Gazeti la Funzo
04/2017
HABARI ZA KUJIFUNZA: TAREHE 29/05–2/07, 2017
© 2016 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
PICHA KWENYE JALADA:
ZAMBIA
Wahubiri wenye bidii katika kikundi cha mahubiri wanaanza kazi ya kuhubiri katika Lusaka, Zambia. Ndugu wanatunza muzuri Jumba lao la Ufalme, na hilo linatoa ushahidi muzuri sana juu ya Yehova
WAHUBIRI
183586
MAFUNZO YA BIBLIA
415706
HUZURIO KWENYE UKUMBUSHO (2016)
782527
Gazeti hili haliko la kuuzisha. Linasaidia kufundisha watu Biblia katika dunia yote; feza za kusaidia kazi hiyo iendelee ni michango ya kujipendea yenye watu wanatoa.
Ili kujua namna ya kutoa muchango, tafazali ufungue adresi yetu www.jw.org.
Maandiko yamechukuliwa moja kwa moja katika Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya. Ikiwa andiko linachukuliwa katika tafsiri ingine ya Biblia, jambo hilo litaonyeshwa.