Habari Zenye Kuwa Ndani
JUMA LA TAREHE 31/07–6/08/2017
4 Yehova Anatufariji Katika Ziki Yetu Yote
Hata kama sisi wote tunapatwa na ziki na magumu, Yehova anatutolea faraja yenye tuko nayo lazima. Habari hii inazungumuzia mambo ya maana yenye tunaweza kutumia ili kupata faraja leo na wakati unaokuja.
JUMA LA TAREHE 7-13/08/2017
9 Kaza Moyo Wako juu ya Hazina za Kiroho
Habari hii itatusaidia kutumia somo lenye Yesu alifundisha katika mufano wa mufanya-biashara mwenye kutafuta lulu. Itatusaidia pia kuchunguza mawazo yetu juu ya kazi ya kuhubiri yenye kuokoa uzima yenye Wakristo wamepewa, na juu ya kweli zenye tumejifunza kwa miaka mingi.
14 Usiangalie Tu Sura ya Mutu!
16 Utamaliza Kukosa Kuelewana na Kuendeleza Amani?
21 “Busara Yako na Ibarikiwe!”
JUMA LA TAREHE 14-20/08/2017
22 Kaza Macho Yako juu ya Jambo la Maana
JUMA LA TAREHE 21-27/08/2017
27 Unga Mukono Haki ya Yehova ya Kutawala!
Kwa sababu ya mahangaiko ya maisha, inaweza kuwa vyepesi kusahau jambo la maana. Habari hizi zitatusaidia kuona kuwa utawala wa Yehova ndilo jambo la maana na kuelewa namna tunaweza kuunga mukono utawala huo.
32 ULIJUA?