Habari za Kujifunza
08/2017
HABARI ZA KUJIFUNZA:TAREHE 25/09–22/10, 2017
© 2017 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
PICHA KWENYE JALADA:
UHOLANZI (PAYS-BAS)
Mapainia wawili katika Amsterdam wanazungumuza juu ya ujumbe wa Ufalme pamoja na mutu wenye kupita katika njia
WAHUBIRI
29 839
MAFUNZO YA BIBLIA
12 802
HUZURIO KWENYE UKUMBUSHO (2016)
51 404
Gazeti hili haliko la kuuzisha. Linasaidia kufundisha watu Biblia katika dunia yote; feza za kusaidia kazi hiyo iendelee ni michango ya kujipendea yenye watu wanatoa.
Ili kujua namna ya kutoa muchango, tafazali ufungue adresi yetu www.jw.org.
Maandiko yamechukuliwa katika Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya. Ikiwa andiko linachukuliwa katika tafsiri ingine ya Biblia, jambo hilo litaonyeshwa.