Habari Zenye Kuwa Ndani
3 Habari Juu ya Maisha ya Watu—Kufanya Mambo Yenye Yehova Anaomba Kunaleta Baraka
JUMA LA TAREHE 27/11–3/12/2017
7 “Tupendane . . . kwa Tendo na Kweli”
Upendo wa kweli unatambulisha Wakristo wa kweli. Katika habari hii tutazungumuzia njia kenda ambamo tunaweza kuonyesha upendo “usio na unafiki.”—2 Kor. 6:6.
JUMA LA TAREHE 4-10/12/2017
12 Kweli Hailete “Amani, Bali Upanga”
Upinzani wa watu wa jamaa wenye hawako Mashahidi unaweza kuletea watu wa Yehova magumu katika maisha. Katika habari hii, tutajifunza namna tunaweza kupambana muzuri na magumu yenye kuletwa na upinzani wa watu wa familia.
17 Yosefu wa Arimathea Anakamata Musimamo
JUMA LA TAREHE 11-17/12/2017
21 Maono ya Zekaria, Yanakuhusu Namna Gani?
JUMA LA TAREHE 18-24/12/2017
26 Taji na Magari ya Kukokotwa Vinawalinda
Habari hizi zinazungumuzia maono ya sita, ya saba, na ya munane ya Zekaria. Maono ya sita na ya saba yatatusaidia tupendezwe na pendeleo letu la kutumika katika tengenezo la Mungu lenye kuwa safi. Maono ya munane yatatufundisha namna Yehova anatolea waabudu wake ulinzi ili waweze kufanya ibada ya kweli.
31 Tendo Moja la Wema wa Kikristo
32 Ulijua?