Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w17 Mwezi wa 10 uku. 2
  • Habari Zenye Kuwa Ndani

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Habari Zenye Kuwa Ndani
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2017
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2017
w17 Mwezi wa 10 uku. 2

Habari Zenye Kuwa Ndani

3 Habari Juu ya Maisha ya Watu​—Kufanya Mambo Yenye Yehova Anaomba Kunaleta Baraka

JUMA LA TAREHE 27/11–3/12/2017

7 “Tupendane . . . kwa Tendo na Kweli”

Upendo wa kweli unatambulisha Wakristo wa kweli. Katika habari hii tutazungumuzia njia kenda ambamo tunaweza kuonyesha upendo “usio na unafiki.”​—2 Kor. 6:6.

JUMA LA TAREHE 4-10/12/2017

12 Kweli Hailete “Amani, Bali Upanga”

Upinzani wa watu wa jamaa wenye hawako Mashahidi unaweza kuletea watu wa Yehova magumu katika maisha. Katika habari hii, tutajifunza namna tunaweza kupambana muzuri na magumu yenye kuletwa na upinzani wa watu wa familia.

17 Yosefu wa Arimathea Anakamata Musimamo

JUMA LA TAREHE 11-17/12/2017

21 Maono ya Zekaria, Yanakuhusu Namna Gani?

JUMA LA TAREHE 18-24/12/2017

26 Taji na Magari ya Kukokotwa Vinawalinda

Habari hizi zinazungumuzia maono ya sita, ya saba, na ya munane ya Zekaria. Maono ya sita na ya saba yatatusaidia tupendezwe na pendeleo letu la kutumika katika tengenezo la Mungu lenye kuwa safi. Maono ya munane yatatufundisha namna Yehova anatolea waabudu wake ulinzi ili waweze kufanya ibada ya kweli.

31 Tendo Moja la Wema wa Kikristo

32 Ulijua?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine