Habari Zenye Kuwa Ndani
JUMA LA TAREHE 25-31/12/2017
3 Imba kwa Sauti Yenye Shangwe!
Tangu zamani, kuimba kumekuwa sehemu ya maana sana ya ibada ya watu wa Yehova. Hata hivyo, watu fulani wanaweza kusikia haya ya kuimba mbele ya watu wengi. Namna gani tunaweza kumaliza woga wa kutumia sauti yetu ili kumuimbia Yehova sifa? Habari hii inatutolea sababu za muzuri za kuimba kwa sauti yenye shangwe na inatoa mashauri fulani juu ya namna ya kufanya sauti zetu zikuwe muzuri zaidi wakati tunaimba.
JUMA LA TAREHE 1-7/01/2018
JUMA LA TAREHE 8-14/01/2018
13 Uige Haki na Rehema ya Yehova
Tunaweza kujifunza mambo mengi juu ya mupango wa miji ya makimbilio katika Israeli ya zamani. Katika habari ya kwanza, utaona hatua zenye mutenda-zambi anapaswa kukamata ili kumukimbilia Yehova leo. Katika habari ya pili, utaona namna gani mufano wa Yehova unaweza kutusaidia kusamehe wengine, kuheshimia uzima, na kutenda kwa haki.
18 Mutu Mwenye Kuonyesha “Ukarimu Atabarikiwa”
JUMA LA TAREHE 15-21/01/2018
JUMA LA TAREHE 22-28/01/2018
25 Usiache Jambo Lolote Likuzuie Kupata Zawadi
Habari hizi mbili zinategemea mashauri yenye kuongozwa na roho ya Mungu yenye mutume Paulo aliandikia Wakristo katika Kolosai. Habari ya kwanza inaeleza namna ya kutenda wakati tunasikia mawazo ya ulimwengu yenye yanaweza kutuchochea ao kutusadikisha. Habari ya pili inatukumbusha namna tunaweza kuepuka mawazo yenye yanaweza kutuzuia kupata baraka zenye Yehova ametuahidi.