Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • wp18 na. 3 uku. 1-2
  • Mungu Anakuhangaikia?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mungu Anakuhangaikia?
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2018
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2018
wp18 na. 3 uku. 1-2
Gazeti Munara wa Mulinzi, Na. 3, 2018 | Mungu Anakuhangaikia?

Mungu Anakuhangaikia?

© 2018 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania

Picha yenye kuwa kwenye jalada inaonyesha mukimbizi mwenye kukimbia musiba wa asili

Gazeti hili haliko la kuuzisha. Linasaidia kufundisha watu Biblia katika dunia yote; feza za kusaidia kazi hiyo iendelee ni michango ya kujipendea yenye watu wanatoa. Ili kujua namna ya kutoa muchango wako, tafazali ufungue site yetu ya Enternete www.jw.org. Maandiko yamechukuliwa katika Biblia​—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya. Ikiwa andiko linachukuliwa katika tafsiri ingine ya Biblia, jambo hilo litaonyeshwa.

GAZETI HILI, Munara wa Mulinzi, linamuheshimu Yehova Mungu, Mutawala wa Ulimwengu wote. Linawafariji watu kupitia habari njema ya kwamba hivi karibuni Ufalme wa Mungu, serikali iliyo mbinguni, utaondoa mambo yote mabaya na kuigeuza dunia hii kuwa paradiso. Tena, gazeti hili linawatia watu moyo wamuamini Yesu Kristo; yeye alikufa ili tupate uzima wa milele na yeye sasa ni Mufalme wa Ufalme wa Mungu. Gazeti hili limekuwa likichapishwa na Mashahidi wa Yehova tangu mwaka wa 1879, nalo halijiingize katika mambo ya siasa ao politike. Linategemea mawazo ya Biblia tu.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine