Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • wp18 na. 3 uku. 2
  • Utangulizi

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Utangulizi
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2018
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mungu Anajisikia Namna Gani Juu ya Mateso Yako?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2018
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2018
wp18 na. 3 uku. 2

Utangulizi

MUNGU ANAKUHANGAIKIA?

Wakati musiba unatokea ao wakati watu wanateseka na kufa, tunaweza kujiuliza ikiwa Mungu anaona ao ikiwa anahangaikia jambo hilo. Biblia inasema hivi:

“Kwa maana macho ya Yehova yako juu ya wenye haki, na masikio yake yanasikiliza sala yao ya kumulilia Mungu, lakini uso wa Yehova unapinga wale wenye kutenda mambo ya mubaya.”​—1 Petro 3:12.

Gazeti hili la Munara wa Mulinzi linaonyesha namna Mungu anatusaidia na jambo lenye iko anafanya ili kuondoa mateso yote.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine