HABARI ZENYE KUWA NDANI
JUMA LA TAREHE 2-8/04/2018
3 Uige Imani na Utii wa Noa, Danieli, na Ayubu
JUMA LA TAREHE 9-15/04/2018
8 Unamujua Yehova Kama Vile Noa, Danieli, na Ayubu Walimujua?
Noa, Danieli, na Ayubu walipatwa na magumu mengi kama yale yenye tunapambana nayo leo. Ni nini iliwasaidia waendelee kuwa waaminifu na wenye kutii? Namna gani walifikia kumujua Yehova muzuri sana hivi kwamba hakuna kitu chenye kingeweza kuvunja ushikamanifu wao? Habari hizi mbili zitazungumuzia maulizo hayo.
13 Habari juu ya Maisha ya Watu— Kwa Yehova Mambo Yote Yanawezekana
JUMA LA TAREHE 16-22/04/2018
18 Kuwa Mutu wa Kiroho, Maana Yake Nini?
JUMA LA TAREHE 23-29/04/2018
Katika habari ya kwanza, tutaona maana ya kuwa mutu wa kiroho na mifano ya watu wa kiroho inaweza kutufundisha nini. Kisha, katika habari ya pili, tutazungumuzia namna tunaweza kukomaa kiroho na kujikaza sana kuonyesha kama tuko watu wa kiroho katika maisha yetu ya kila siku.