Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w18 Mwezi wa 2 uku. 2
  • Habari Zenye Kuwa Ndani

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Habari Zenye Kuwa Ndani
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2018
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2018
w18 Mwezi wa 2 uku. 2

HABARI ZENYE KUWA NDANI

JUMA LA TAREHE 2-8/04/2018

3 Uige Imani na Utii wa Noa, Danieli, na Ayubu

JUMA LA TAREHE 9-15/04/2018

8 Unamujua Yehova Kama Vile Noa, Danieli, na Ayubu Walimujua?

Noa, Danieli, na Ayubu walipatwa na magumu mengi kama yale yenye tunapambana nayo leo. Ni nini iliwasaidia waendelee kuwa waaminifu na wenye kutii? Namna gani walifikia kumujua Yehova muzuri sana hivi kwamba hakuna kitu chenye kingeweza kuvunja ushikamanifu wao? Habari hizi mbili zitazungumuzia maulizo hayo.

13 Habari juu ya Maisha ya Watu​— Kwa Yehova Mambo Yote Yanawezekana

JUMA LA TAREHE 16-22/04/2018

18 Kuwa Mutu wa Kiroho, Maana Yake Nini?

JUMA LA TAREHE 23-29/04/2018

23 Endelea Kukomaa Kiroho!

Katika habari ya kwanza, tutaona maana ya kuwa mutu wa kiroho na mifano ya watu wa kiroho inaweza kutufundisha nini. Kisha, katika habari ya pili, tutazungumuzia namna tunaweza kukomaa kiroho na kujikaza sana kuonyesha kama tuko watu wa kiroho katika maisha yetu ya kila siku.

28 Shangwe​—Sifa Yenye Tunapata Kutoka kwa Mungu

31 Vitu vya Maana Sana vya Historia Yetu

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine