Habari Zenye Kuwa Ndani
JUMA LA TAREHE 30/04–6/05/2018
3 Ubatizo—Ni wa Maana Sana kwa Wakristo
JUMA LA TAREHE 7-13/05/2018
8 Wazazi, Munasaidia Watoto Wenu Wafikie Ubatizo?
Tunapaswa kuwa na muradi gani wakati tunaongoza funzo la Biblia? Sababu gani inaweza kuwa makosa kukawisha ubatizo? Ni nini imefanya wazazi fulani Wakristo wachochee watoto wao wacheleweshe ubatizo? Maulizo haya na mengine yatazungumuziwa katika habari hizi mbili.
JUMA LA TAREHE 14-20/05/2018
14 Kukaribisha Wageni Kunaleta Furaha na Ni Jambo la Maana Sana!
Mutume Petro alitia moyo hivi Wakristo wa wakati wa mitume: ‘Mukaribishane.’ (1 Pet. 4:9) Sababu gani shauri hilo ni la maana sana katika siku zetu? Tunaweza kuonyesha sifa hiyo katika njia gani fulani zenye kufaa? Na namna gani tunaweza kuwa wageni wazuri? Habari hii itajibia maulizo hayo.
19 Habari juu ya Maisha ya Watu—Yehova Hajaacha Kunisaidia Hata Kidogo!
JUMA LA TAREHE 21-27/05/2018
23 Nizamu Inaonyesha Upendo wa Mungu
JUMA LA TAREHE 28/05–3/06/2018
28 Sikiliza Nizamu ili Ukuwe na Hekima
Habari hizi mbili zitatusaidia kuelewa kama nizamu ya Yehova inaonyesha upendo mwingi wenye iko nao kwetu. Lakini, namna gani Mungu anatupatia nizamu? Tunapaswa kutenda namna gani wakati anatupatia nizamu? Na namna gani tunaweza kukomalisha sifa ya kujitia nizamu? Utapata majibu katika habari hizi.