Habari Zenye Kuwa Ndani
JUMA LA TAREHE 4-10/06/2018
3 Namna ya Kupata Uhuru wa Kweli
JUMA LA TAREHE 11-17/06/2018
8 Umutumikie Yehova, Mungu wa Uhuru
Watu katika dunia yote wanaomba wakuwe na uhuru zaidi. Namna gani Wakristo wanapaswa kuona uhuru? Habari hizi mbili zitazungumuzia maana ya uhuru wa kweli, namna tunaweza kupata uhuru huo, na namna tunaweza kutumia leo uhuru wetu wenye mipaka ili tupate faida sisi wenyewe na wengine pia. Zaidi ya yote, tutajifunza namna ya kumutukuza Yehova, Mungu wa uhuru wa kweli.
13 Wanaume Wenye Kuwa na Madaraka—Muige Mufano wa Timotheo
JUMA LA TAREHE 18-24/06/2018
15 Umuige Yehova—Mungu Mwenye Kutia Moyo
JUMA LA TAREHE 25/06–1/07/2018
20 Tutiane Moyo, Zaidi Sana Leo
Habari hizi mbili zinaonyesha kama sikuzote Yehova ametia moyo watumishi wake na wamefuata mufano wake tangu zamani. Tutaona sababu gani ni jambo la maana sana kutiana moyo leo kuliko wakati mwingine wowote.
JUMA LA TAREHE 2-8/07/2018
25 Vijana, Munakaza Akili juu ya Miradi ya Kiroho?
Vijana katika kutaniko wanapata faida ikiwa wanakaza akili yao juu ya kumupendeza Yehova. Habari hii inazungumuzia sababu zenye zinaweza kuchochea vijana wajiwekee miradi ya kiroho mbele ya wakati katika maisha na kutia kazi ya kuhubiri pa nafasi ya kwanza.