Habari Zenye Kuwa Ndani
JUMA LA TAREHE 6-12/08/2018
3 “Ufalme Wangu Si Sehemu ya Ulimwengu Huu”
JUMA LA TAREHE 13-19/08/2018
8 Sisi Wote Tukuwe na Umoja Kama Vile Yehova na Yesu Wako na Umoja
Watu wa wakati wa Yesu walikuwa wamegawanyika kwa sababu ya mambo ya politike, hali ya maisha, na tofauti kati ya makabila. Katika habari hizi mbili, tutaona namna Yesu alifundisha wanafunzi wake wakuwe na umoja na kuachana na ubaguzi wenye kugawanya watu. Tutaona pia namna tunaweza kuwaiga katika ulimwengu huu wenye mugawanyiko.
JUMA LA TAREHE 20-26/08/2018
16 Uache Sheria na Kanuni za Mungu Zizoeze Zamiri Yako
Ili zamiri yetu ituongoze muzuri, inapaswa kuzoezwa. Kwa upendo, Yehova ametupatia sheria na kanuni ili kutusaidia kuzoeza zamiri yetu na kuona mambo namna anayaona. Habari hii inazungumuzia namna tunaweza kutumikisha kanuni za Biblia katika maisha yetu.
JUMA LA TAREHE 27/08/2018–2/09/2018
21 ‘Muache Nuru Yenu Iangaze’ ili Kumutukuza Yehova
Yesu aliambia wanafunzi wake waache nuru yao iangaze ili kumutukuza Mungu. Habari hii inatoa mashauri yenye kufaa. Na ikiwa tunayatumikisha, yatatusaidia kabisa ‘kuacha nuru yetu iangaze’ zaidi.
26 Habari Juu Ya Maisha Ya Watu—Nimefarijiwa Katika Mahangaiko Yangu Yote
32 Unakumbuka?